alijaribu kuchokoza nyuki kumbe mbio hana,alikuja na hoja ya kumtukana dr slaa na kumtetea jk si miliki wa dowans,ameuliza kama si jk nani mmiliki wa dowans?hakuwa na jibu lolote,hakika wasakatonge wapo wengi,kumbuka baba yako mzee mzindakaya alisema ccm itaangushwa na shule za kata 2015