Binti wa miaka 28 amekuwa anasumbuliwa sana na tonses za mara kwa mara

SHIGOTTO

Senior Member
Sep 4, 2018
156
280
Ndugu zangu nakuja kwenu kupata ufahamu kwa walionao, nina ndugu yangu binti wa miaka 28 amekuwa anasumbuliwa sana na tonses za mara kwa mara. Najaribu kuangalia mwenendo wake na hali hii ya kuwa na tonses za mara kwa mara napata shaka huenda akawa na complications. Nimejaribu kila njia kumpeleka hospital akachunguzwe amekuwa hatoi ushirikiano. J e anaweza kuwa ameathirika? huwa anarudiwa na hali hiii kwa week mara mbili au zaid. Ushauri wenu utanisaidia
 
Ndugu zangu nakuja kwenu kupata ufahamu kwa walionao, nina ndugu yangu binti wa miaka 28 amekuwa anasumbuliwa sana na tonses za mara kwa mara. Najaribu kuangalia mwenendo wake na hali hii ya kuwa na tonses za mara kwa mara napata shaka huenda akawa na complications. Nimejaribu kila njia kumpeleka hospital akachunguzwe amekuwa hatoi ushirikiano. J e anaweza kuwa ameathirika? huwa anarudiwa na hali hiii kwa week mara mbili au zaid. Ushauri wenu utanisaidia
Tatizo ananyonya sana ko. n...i.i.
 
Mwambie aache kunyonya madudu ya wanaume huwa yana ma bacteria wengi hasa wanaume wafokoa mitaro Matokeo yake haponi hapo ni kutumia antibiotics au kwenda hospital na kuwa mkweli.
Akiacha nyonya mikuyenge ya wanaume atapona
 
1. Mwambie aache kunyonya mbo×2
2. Mwambie aache kulakula hovyo mabarafu sijui ndio ma icecream
3. Mwambie aache kudeka anashindwaje kwenda mwenyewe hospitali na miaka hiyo 28.


4. Na wewe acha uboya mwanamke wa miaka 28 unamwitaje binti huyo ni mama kabisa, hujasikia mwezie wa miaka 30 kanywa sumu na watoto wake wa 5 huko chattle.
 
Ungetoa maelezo kamili hatoi ushirikiano kivipi kwamba hataki kupima au huko anapoenda ushirikiano wao haueleweki
 
Ndugu zangu nakuja kwenu kupata ufahamu kwa walionao, nina ndugu yangu binti wa miaka 28 amekuwa anasumbuliwa sana na tonses za mara kwa mara. Najaribu kuangalia mwenendo wake na hali hii ya kuwa na tonses za mara kwa mara napata shaka huenda akawa na complications. Nimejaribu kila njia kumpeleka hospital akachunguzwe amekuwa hatoi ushirikiano. J e anaweza kuwa ameathirika? huwa anarudiwa na hali hiii kwa week mara mbili au zaid. Ushauri wenu utanisaidia
1. Mwambie aache kutumia vitu vyenye sukari vikiwa baridi.
2. Kama anashindwa kufanyiwa matibabu vituo vya Afya anaweza kujitibu mwenyewe kwa kunywa Maji ya Baridi Ambayo yanaelekea kuganda

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Jibu
Atumie Mzugwa (Coleu, scientific name Coleus forskohlii syn. Plectranthus barbatus (Lamiaceae) ) kuchemsha majani (majani matano mabichi au makavu) na kunywa maji yake mara moja kwa siku kwa siku tano then anaweza kufanya hivyo kila baada ya mwezi mmoja ndani ya miezi mitatu.
Capture.JPG
 
Mwambie aache kunyonya madudu ya wanaume huwa yana ma bacteria wengi hasa wanaume wafokoa mitaro Matokeo yake haponi hapo ni kutumia antibiotics au kwenda hospital na kuwa mkweli.
Akiacha nyonya mikuyenge ya wanaume atapona
Na wewe hujaponaga eeh maana umeonggea kwa experience ya kutosha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom