Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Katika taarifa ya habari ya saa 10 jioni na Harakati tumepata taarifa kuwa binti wa mika 12 amekutwa juu ya meli katika Bahari ya Hindi huko Dar. Meli hiyo ni ile ya Wataiwan ambayo ilikamatwa kwa uvuvi haramu (samaki wa Magufuli).
Baada ya kuhojiwa amedai kuwa anatokea Mbozi Mbeya na alikuwa akisafiri kwa ungo akiwa na babu yake ajulikanaye kwa jina la Zambi na walikuwa wakielekea China kununua Silaha! Polisi wanafanya utaratibu wa kumrudisha kwa Mbeya.
Baada ya kuhojiwa amedai kuwa anatokea Mbozi Mbeya na alikuwa akisafiri kwa ungo akiwa na babu yake ajulikanaye kwa jina la Zambi na walikuwa wakielekea China kununua Silaha! Polisi wanafanya utaratibu wa kumrudisha kwa Mbeya.