nobodylikedme
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 742
- 766
ndio mkuu demu wangu kwao ni Japan, Kumamoto downtown street Sannenzaka dorimkuu umeoa 'kumamoto'
ndio mkuu demu wangu kwao ni Japan, Kumamoto downtown street Sannenzaka dorimkuu umeoa 'kumamoto'
Kubeba mimba uneshapata mtu wa kukupatiaKuna msichana ambaye tumejuana kwa wiki tatu sasa na tayari ameanza kuniomba pesa za mahitaji yake.
Hii hali sasa imeanza kunichosha naanza kumchukia taratibu siku zingine akipiga simu sipokei maana sipendelei kuombwa pesa kanakwamba mimi nimekuwa baba yake mzazi
Nahisi kuwa anathamini zaidi pesa kuliko uhusiano wetu kwani bado hatujafahamiani vya kutosha.
Nb: Ukiona mtu kaweka mbele pesa zaidi ya uhusiano, kuwa na tahadhari sana kwani msingi wa uhusiano huo utakuwa ni pesa na zikimalizika utaporomoka. Mapenzi bila pesa si mapenzi
Mwanamke anayeomba sana hela huyo ana upungufu wa akili kichwani. Mwanamke anayelia njaa huwa sitaki hata kumsikia sbb huyo analeta umaskini.Japo maisha siyo kutesa kila siku, ila pesa ndiyo kila kitu...
Penye uzia, penyeza rupia...
Wewe upo kwenye ile list ya wale binadamu wabishi sana ndiyo maana unaona shida kumpa pesa mwanamke...
Cc: mahondaw
..No money no honey, more money more broblems
a real woman doesn't help u spend your money she helps u to make more money
Si umpe? Tatizo liko wapi?
Fact indeed mkuu, sema kumpata huyo real woman ndio kazi, wengi ni money mongersa real woman doesn't help u spend your money she helps u to make more money