Binti mwenye tabia njema, kujitambua na mpenda maendeleo zamu yako kuolewa sasa

Hawaki

JF-Expert Member
Mar 29, 2017
757
1,054
Salaam nyote,

Kama title inavyojieleza. Miaka yangu ni 34, elimu yangu ni Advanced Degrees, nimeajiriwa. Makazi yangu ya kudumu ni Dar, ila kwa sasa naishi South Korea (contract assignment).

Nimtakae: Awe attractive na elimu walau kidato cha 6 na kuendelea, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe (formal economic activity). Umri ni kati ya 25-35. Aifahamu dini yake kiasi cha kutosha. Kwa aliyesomea taaluma za afya atapewa kipaumbele. (Wa kutoka "Jazira"wana kipaumbele maalum).

Nasisitiza awe na tabia njema zitakazoweza kuthibitika even na jamii inayomzunguka. Ukijiona unafit, tukutane PM na PM zenye pic nitazipa upendeleo wa kuzijibu haraka kwani inaonyesha namna alivyo serious, tayari na kujiamini. Hata hivyo PM zote zitajibiwa.

Plz, if you are not serious you better find your way out.
 
Ahahahaah...jazira wana kipaumbele maalumu...ufafanuzi please
1...jazira ndio nani hao
2...kwann jazira na sio a.c. Milan wala juve au hata torino
3...nini moja u hivyo vipaumbele maalumu.
4....umeomba picha ili ujibu maombi fasta je ni picha za aina gani zitajibiwa fasta...video au mnato...za utupu au decent.
 
Ahahahaah...jazira wana kipaumbele maalumu...ufafanuzi please
1...jazira ndio nani hao
2...kwann jazira na sio a.c. Milan wala juve au hata torino
3...nini moja u hivyo vipaumbele maalumu.
4....umeomba picha ili ujibu maombi fasta je ni picha za aina gani zitajibiwa fasta...video au mnato...za utupu au decent.
haahhahhha
 
Ahahahaah...jazira wana kipaumbele maalumu...ufafanuzi please
1...jazira ndio nani hao
2...kwann jazira na sio a.c. Milan wala juve au hata torino
3...nini moja u hivyo vipaumbele maalumu.
4....umeomba picha ili ujibu maombi fasta je ni picha za aina gani zitajibiwa fasta...video au mnato...za utupu au decent.
Mkuu, Jazira ni utambulisho wa watu wenye tabia za kutukuka kabisa katika masuala ya ndoa hasa uvumilivu, kutochepuka nk. Kama huwajui hao basi wewe si mmoja wao. Pole
 
nimechekaaaaa jajira tena we kakaaaa haya jamii inayomzungukaaaa uawaju unz unawajuwa watu wewe nani atake mtoto wa jirani aolewe///////
 
nimechekaaaaa jajira tena we kakaaaa haya jamii inayomzungukaaaa uawaju unz unawajuwa watu wewe nani atake mtoto wa jirani aolewe///////
Heloo njoo uedit huku maana watu wanani pm niwaambie ulichoandika wewe. Nikawaambia nitawaitia mimi nipo kwenye maombi ya kipanki na Drum wasitishe kutunishiana misuli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom