Binti Mtanzania aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa kwa kazi ya siku 1

[QUOTE="Mbalamwezi1, post: 18931853, member: 189]Mimi yanachonikera malimbukeni yakiendaga ughaibuni kwa nini huwa hayataki kutumia majina ya koo zao?!eti'Herieth Paul' mmxiuuuu
Majina "rafiki" katika mabano husaidia, Diamond Platnumz, Harmonize n.k husaidia kutoka kibiashara. Naamini ukifanya google search utapata majina yote kamilifu kikubwa wasanii wajitambulishe wanatoka Tanzania na siyo Tz, Bongo au K'doni kama wanataka kuwa "rafiki wa google search" au "YouTube search".[/QUOTE]
Mkuu sanaa haina jina rafiki ni utumwa wa kifikra tu unatusumbua waafrika,kina Lupita Nyong'o,Oliver Mtukudzi,Mrisho Mpoto mbona hawana majina hayo unayoita rafiki lkn bado ni wasanii wakubwa tu!Emancipate yourself from mental slavery
 
Majina "rafiki" katika mabano husaidia, Diamond Platnumz, Harmonize n.k husaidia kutoka kibiashara. Naamini ukifanya google search utapata majina yote kamilifu kikubwa wasanii wajitambulishe wanatoka Tanzania na siyo Tz, Bongo au K'doni kama wanataka kuwa "rafiki wa google search" au "YouTube search".
Mkuu sanaa haina jina rafiki ni utumwa wa kifikra tu unatusumbua waafrika,kina Lupita Nyong'o,Oliver Mtukudzi,Mrisho Mpoto mbona hawana majina hayo unayoita rafiki lkn bado ni wasanii wakubwa tu!Emancipate yourself from mental slavery[/QUOTE]

Mkuu,
Ndo hivyo tena kina Lupita Nyong'o na Herieth Paul wamepata bahati ya kuanzia ''huko huko'' lakini Mrisho Mpoto kutoboa kufika ''Huko'' itamchukua miaka mingi labda mpaka afikie umri mkubwa wa Oliver Mtukudzi ndiyo jina litakuwa ''kubwa'', dunia hii kuna mikono nyuma ya pazia inaweka vikwazo ''vingi'' (mapromota, managers, producers, designers, makampuni n.k) Marekani, Ulaya na Mashariki ya Mbali. Pengine Mrisho Mpoto angejipashika rasmi jina la a.k.a M-Swahili Shakespeare kama msanii William Adams a.k.a will.i.am, labda Mpoto wetu umaarufu ungezidi maradufu ulimwenguni watu kujiuliza M-Swahili Shakespeare kwa ku de-code M - Swahili Shakespeare.

Siyo mbaya kutumia majina ya ''kisanii rafiki'' huku kitambulisho chako rasmi chenye majina halisi kikiwa mfukoni hata waki google wanakuta jina lako halisi la kupewa na mababu zetu.

Pia tusiende mbali kuhusu lugha gani utumie kuwafikia walengwa wengi duniani hilo ni jambo jingine. Ila tutazame kwa undani ''kiki'' zinazoleta kutambuliwa zaidi ulimwenguni kwa matumizi ya majina ''rafiki'' ktk mabano:
Mifano katika makundi ya aina mbalimbali ya usanii na sanaa:
 
Unamfahamu Lupita Nyong'o? Unajua alicho wapa wazungu na kumpa umaarufu?

Mzungu si mjinga akupe maburungutu ya hela bila kunufaika na wewe

Nitajie mwanamtindo mwingine aliye wah kupewa kiasi hicho cha hela kwa siku moja
Victoria Secret ndo the highest paying brand kweny fashion so hio hela sio kwamba ni nyingi sana. Na wanalipa hivo sababu wanafanya show mara moja tu kwa mwaka tofauti na brand nyingine pia models wanaofanya Victoria Secret lazim uwe well known kwenye fashion industry, uwe under big modeling agency mfano Herieth yupo women management.

And hio pesa alolipwa ni kutokana alikua kwenye pink segment angekua main line angecash more than that.

Kuna African models wengi tuu wanalipwa vizuri mfano maria borges, Alec wek etc.....
 
Dahh Hongera zake kwa kweli alafu yupo simple, natural
Mkuu nina kadogo kangu kapo hivyohivyo yaan natural mwil unaruhusu miaka hiyohiyo yaan huwa najisemea hqka ningekakutanisha na flaviana matata wangefanya kazi ila nitamtolea wapi huyo flaviana jaman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom