Binti mpweke anahitajika

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,natafuta binti kwaajili ya kumuoa,awe na umri kuanzia 23 mpaka 27,asiwe mwanafunzi labda wa chuo,pia awe sirious,awe anajiamini,nitafute 0769072588,0652505115 na 0786256380
 
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,natafuta binti kwaajili ya kumuoa,awe na umri kuanzia 23 mpaka 27,asiwe mwanafunzi labda wa chuo,pia awe sirious,awe anajiamini,nitafute 0769072588,0652505115 na 0786256380

mbona hazipatikani hizi namba?
 
Hawa wanawake wa siku hizi miaka 23 mpaka 27 naona soo kuwaita mabinti wengi wamechoka balaa........
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,natafuta binti kwaajili ya kumuoa,awe na umri kuanzia 23 mpaka 27,asiwe mwanafunzi labda wa chuo,pia awe sirious,awe anajiamini,nitafute 0769072588,0652505115 na 0786256380

hivi ushaachana na mwajuma?
 
Mi nina vigezo vyote ila bado nipo shule ya msingi. Utaweza kunivumilia? Ila nihakikishie kuwa haupo na mwajuma.
 
mimi ninaumri wa miaka 29 na nusu
bado nasoma
sipendi kuwa serious
kuhusu kujiamini hiyo usiwe na wasiwasi kabisaaaa..
na sipendi kupiga simu ..
na upweke ndo kitu amabacho sikiruhusu maishani mwangu...
Je bado ninahitajika????
 
mimi ninaumri wa miaka 29 na nusu
bado nasoma
sipendi kuwa serious
kuhusu kujiamini hiyo usiwe na wasiwasi kabisaaaa..
na sipendi kupiga simu ..
na upweke ndo kitu amabacho sikiruhusu maishani mwangu...
Je bado ninahitajika????

jitahidi afro uwe mpweke kidogo halafu huo umri wako punguza japo mmoja. Nitakusaidia kutuma maombi.
 
jitahidi afro uwe mpweke kidogo halafu huo umri wako punguza japo mmoja. Nitakusaidia kutuma maombi.

hahahah lol kwa kweli umenichekesha sana
mmmmhhh mwaya hii miumri natamani kuipunguza lakini mmmhhh sintoweza kabisa kwani tayari nsha komaa..
na swala la kuwa mpweke mmmhhh yabidi unisameha ndugu yangu kwani sintoweza kabisa.....lol
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom