Binti Huyu Hana Dogo Mmh!

P
Habarini ndugu zangu.

Poleni na hongereni kwa mapambano ya kuzisaka Seenti.

Kuna binti mmoja wa chuo kutokea pwani ni mpenzi au mchumba wa jamaa yangu ya karibu.

Kitu kinachoshangaza ni kuwa baada ya kuwa pamoja ktk mahusiano takribani mwaka mmoja sasa,huku wakiwa wameshadokezana kwa wazazi wao.
Japo waliweka miadi ya kuishi kama mume na mke,Binti bila haya wala aibu ameanza kutangazia watu wake wa karibu kuwa ndoa yake ipo karibu hapo mwakani japo rafiki yangu hajashirikishwa ktk hilo.

Napenda kuuliza je,ni sahihi kwa binti kuanza kujitangazia ndoa ingali bado hawajapanga Situation kamili??je,ni mshawasha wa kuolewa au ni tambo kwa wenzake wajue nae ataolewa??
Mabinti,jaribuni kuwa Na Subra!!!
Nawasilisha kwenu wadau!!
Too personal!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom