STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,205
hiko ni kingeleza ndio, na they cant meMkuu hiki ni kiingeleza???? Lugha ya wenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiko ni kingeleza ndio, na they cant meMkuu hiki ni kiingeleza???? Lugha ya wenzetu
So ndio maana anafanya hivyo??Huwa ndoa huota mbawa kisha kupeperuka.
Naona uko vzur mkuuMay be,toa ushauri tuh.
Aksante mkuuMwanamke amemdown shkaji
Unadhidi kama sio kuzidi kutuvurugahiko ni kingeleza ndio, na they cant me
Hahha huo ni msemo tu mkuu... You cant me= huniweziUnadhidi kama sio kuzidi kutuvuruga
Ya Nn mkuuNipe namba yake
Kumbe mjin ni Harvard universityHahha huo ni msemo tu mkuu... You cant me= huniwezi
Hahahah... NdomanakeKumbe mjin ni Harvard university
Too personal!Habarini ndugu zangu.
Poleni na hongereni kwa mapambano ya kuzisaka Seenti.
Kuna binti mmoja wa chuo kutokea pwani ni mpenzi au mchumba wa jamaa yangu ya karibu.
Kitu kinachoshangaza ni kuwa baada ya kuwa pamoja ktk mahusiano takribani mwaka mmoja sasa,huku wakiwa wameshadokezana kwa wazazi wao.
Japo waliweka miadi ya kuishi kama mume na mke,Binti bila haya wala aibu ameanza kutangazia watu wake wa karibu kuwa ndoa yake ipo karibu hapo mwakani japo rafiki yangu hajashirikishwa ktk hilo.
Napenda kuuliza je,ni sahihi kwa binti kuanza kujitangazia ndoa ingali bado hawajapanga Situation kamili??je,ni mshawasha wa kuolewa au ni tambo kwa wenzake wajue nae ataolewa??
Mabinti,jaribuni kuwa Na Subra!!!
Nawasilisha kwenu wadau!!