M middle 8 Member Dec 20, 2012 5 1 Dec 20, 2012 #1 mm ni kijana mtanzania,ninasoma chuo kikuu cha mkwawa namtafuta mrembo wa kubadilishana nae mawazo
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,553 112,494 Dec 20, 2012 #2 middle 8 said: mm ni kijana mtanzania,ninasoma chuo kikuu cha mkwawa namtafuta mrembo wa kubadilishana nae mawazo Click to expand... Badala ya kubadilishana, atakuletea mawazo.....!!! Concentrate na masomo yako tu ....!!!
middle 8 said: mm ni kijana mtanzania,ninasoma chuo kikuu cha mkwawa namtafuta mrembo wa kubadilishana nae mawazo Click to expand... Badala ya kubadilishana, atakuletea mawazo.....!!! Concentrate na masomo yako tu ....!!!
englibertm JF-Expert Member May 1, 2009 9,252 6,207 Dec 20, 2012 #3 hapo mkwawa mbona wapo wengi tu kwanini ukose mwambie mr kaisi akupate moja
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Dec 22, 2012 #5 Mmmh mawazo unaweza hata ha wanaume
sixgates JF-Expert Member Mar 19, 2011 3,979 1,662 Dec 23, 2012 #6 mhhh pick up line yako is too low...mawazo gan hayo,mkwawa si wapo wadada?