Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Siku ya tukio,baba aliaga asubuhi kuwa anakwenda kazini,baba ni mfanya biashara wa simu za viganjani
"
Ilipofika muda wa mchana mama yake na binti akamuagiza aende kwa rafikie mama yake ili akamwambie awahi kwani walikua na miadi ya kwenda msibani.
"
Mama wa binti huyu hakutaka kumpigia rafiki yake simu kuhofia kuambiwa yuko njiani wakati mtu hajaoga.
"
Pia nyumbani kwa rafiki yake hapakua mbali,hivyo hakuona vibaya kumtuma binti yake
"
Binti alipofika nyumbani kwa rafiki yake mama yake akaona apitie nyuma ya nyumba ili azungumze na mwenyeji kupitia dirishani kisha arudi fasta.
"
Binti alipofik alikwenda moja kwa moja dirishani,alipotupa macho ndani kabla hajazungumza kitu,alimuona baba yake akiwa mtupu kabisa akiwa kitandani na rafiki wa mama yake.
"
Walioko ndani hawakumuona,ilibidi arudi haraka alikotoka.
"
Alipofika akamwambia mama yake kuwa hajamkuta rafiki yake.
"
Sasa binti anajiuliza kama amwambie mama yake,lakini pia anajiuliza kama atapata laana kuuona utupu wa baba yake "aksidentale"!
"
Nimemwambia atulie asiseme chochote kwani kusema kuna maana ya kuwatenganisha wazazi wake.
"
Kuhusu laana nimemwambia asihofu kwani hakukusudia kuuona utupu wa babae,hivyo hakuna laana.
"
Wewe una mawazo gani hapa?
"
Ilipofika muda wa mchana mama yake na binti akamuagiza aende kwa rafikie mama yake ili akamwambie awahi kwani walikua na miadi ya kwenda msibani.
"
Mama wa binti huyu hakutaka kumpigia rafiki yake simu kuhofia kuambiwa yuko njiani wakati mtu hajaoga.
"
Pia nyumbani kwa rafiki yake hapakua mbali,hivyo hakuona vibaya kumtuma binti yake
"
Binti alipofika nyumbani kwa rafiki yake mama yake akaona apitie nyuma ya nyumba ili azungumze na mwenyeji kupitia dirishani kisha arudi fasta.
"
Binti alipofik alikwenda moja kwa moja dirishani,alipotupa macho ndani kabla hajazungumza kitu,alimuona baba yake akiwa mtupu kabisa akiwa kitandani na rafiki wa mama yake.
"
Walioko ndani hawakumuona,ilibidi arudi haraka alikotoka.
"
Alipofika akamwambia mama yake kuwa hajamkuta rafiki yake.
"
Sasa binti anajiuliza kama amwambie mama yake,lakini pia anajiuliza kama atapata laana kuuona utupu wa baba yake "aksidentale"!
"
Nimemwambia atulie asiseme chochote kwani kusema kuna maana ya kuwatenganisha wazazi wake.
"
Kuhusu laana nimemwambia asihofu kwani hakukusudia kuuona utupu wa babae,hivyo hakuna laana.
"
Wewe una mawazo gani hapa?