mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Pete kitu gani mkuu.Ila kwa upande mwingine Dizain kama nimemuelewa Demu, uyo jamaa angemueleza demu before ya kumvisha pete kuwa pete yke ananunua hiyo kwakua saiv hali sio nzurii ila badae atambadilishia, Me nakumbuka nlimuahidi demu wngu pete ya 1.2 lkn mpk siku ya engagement inakaribia nlikuwa na hali mbaya sanaa...
Nikamueleza akasema kuwa haina shida atavaa ata ya jero lkn alanambia angeumia kama nisingemueleza chochote then. nkaenda tu kununua na kuileta
Kuna maisha baada ya pete na ndoa.
Kiufupi huyo demu hajui maisha na ukioa demu wa aina hiyo utateseka maisha yako yote.
Huyo demu atakuja kuwa na akili akishamaliza chuo akaja kupigika mtaani kwa miaka 5 ndipo akili itamkaa sawa.