We una balaa sie huwa hatuchunguziki shauri yakoHahahahaha mimi ndo namchunguza sio yeye
Unless kama huwa sielewi Kiswahili vizuri; mahabusu huwa anaweza kuwa mnyapara? Still, why kuendesha kesi ukiwa mahabusu kwa kipindi kirefu hivyo kama huna hatia?Huyu binti hakufungwa aliendesha kesi akiwa mahabusu elewa moralstory mkuu
Anasema alitolewa mahabusu akapelekwa gerezani, na anasema hilo gereza kwa upande wa wanawake wale mahabusu na wafungwa wanakaa pamoja, wanaume ndo wanatenganisha kati mahabusu na wafungwa.Unless kama huwa sielewi Kiswahili vizuri; mahabusu huwa anaweza kuwa mnyapara? Still, why kuendesha kesi ukiwa mahabusu kwa kipindi kirefu hivyo kama huna hatia?
Kuna mwingine kaitwa Malta huko kafungua uzi humu anaomba ushauri
Kinaonyeshwa Lin jmniNi kweli wanawake huwa ni victims huingiliwa kwa gear ya mapenzi, au wengine huwekewa bila wao kujua Matokeo yake huwa ni kudakwa hasa wale walinzi wakibadilishwa. So vipindi ka hivo vinaelimisha sema watu hawavipendi wanapenda miziki
Sio icho kipindi tu ni kampuni nzima ipo ki-chai chaistori za icho kipindi nyingi hua ni chai
Enyi Wajuvi Leteni uthibitisho wa hizo chai kwenye hicho kipindi na sisi tukipuuzeSio icho kipindi tu ni kampuni nzima ipo ki-chai chai