Binti akisema amekufananisha na kaka yake!

Hapana...ni mapema mno kwa yeye kukonkludi hivyo. Yeye ni avute tu subira kwani kama totoz kweli anampenda jamaa basi ataonesha hints zaidi.

Kuna watu mahusiano yao wakikusimulia jinsi walivyoanza utabaki mdomo wazi. Hii ya kaka-dada ni ishu mdogo kabisa.

Noted with thanks...
 
Mdau huyo binti kakupenda wewe tu ndo hueleweki anasema hivyo ili akuone kama wewe nyoka wa kibisa au laa! fanya kweli bwana usituangushe mkuu, ukiacha kumalizia hiyo kazi itakuchikia mpaka utaiona ofisi chungu!
 
hehe i think kaa mkao fulani wa kimachale/eyes wide open...kumsoma zaidi kama anakupenda ataonyesha hints zaidi....binafsi nadhania kuna uwezekano huyo binti amekupenda ila katika kukupa hints ukaonyesha 'humsomi'...huna muelekeo wa kumake a move ndio akajikatia tamaa!...

cha kukushauri jicheki kwanza,kama unampenda yale matani mnayotaniana na huyo dada ongeza hints kuwa umemzimikia,huku ukimuuangalia anarespond vipi....kama hujampenda mpotezee tuu...bakini hivyo hivyo kama kaka na dada LOL.:teeth:
 
kama mambo ya hivyoo mi pia nimepatikana wallah kuna mtu humu jf nilimwambia kafanana na kaka angu kimazungumzo,,,,na xpaster WA HUMU HUMU alinambia kanifananisha na mtu fulani kimatamko,,,,,BUT ,,,,,hakuna kilichoendelea wala kilichojificha, sasa ndugu mpenzi toa mawazo yasiyo aminifu kichwani mwako,,,,and every thing have it's time to come,,,,so if she loves you wallah i'm telling u she will tell u,,,bcouse girl's first day's THEY dont want to show exatly what we need from u,,,so THEY start taratibu taratibu with love gift,daily appointment,daily sms:A S-alert1:,and so manything's sooo WAIT,,,,

Hehehe. Daily appointments. Nimeipenda hii
 
Mdau huyo binti kakupenda wewe tu ndo hueleweki anasema hivyo ili akuone kama wewe nyoka wa kibisa au laa! fanya kweli bwana usituangushe mkuu, ukiacha kumalizia hiyo kazi itakuchikia mpaka utaiona ofisi chungu!

Nashukuru mkuu, ushauri utazingatiwa huu....

hehe i think kaa mkao fulani wa kimachale/eyes wide open...kumsoma zaidi kama anakupenda ataonyesha hints zaidi....binafsi nadhania kuna uwezekano huyo binti amekupenda ila katika kukupa hints ukaonyesha 'humsomi'...huna muelekeo wa kumake a move ndio akajikatia tamaa!...

cha kukushauri jicheki kwanza,kama unampenda yale matani mnayotaniana na huyo dada ongeza hints kuwa umemzimikia,huku ukimuuangalia anarespond vipi....kama hujampenda mpotezee tuu...bakini hivyo hivyo kama kaka na dada LOL.:teeth:

Nashukuru Roselyne kwa ushauri, kubwa zaidi ukiwa kama mwanadada...
Nitauzingatia ushauri wako na nitarejea kutoa feedback....
 
Mkuu kwa suala hili naweza kukuchangia machache kutokana na uelewa wangu.Mara nyingi neno nimekufananisha huwa linatumiwa na akina dada likiwa na maana mbili kutegemeana na wakati na vile msichana anavyojihisi kwako.Msichana anaweza kukuambia nimekufananisha ili awe na ukaribu na wewe na akuoneshe wazi kuwa anakuhitaji.Na msichana huyohuyo anaweza kukueleza kuwa anakufananisha na kaka yake ili kukuonesha mipaka kuwa hawezi kuwa na wewe kwa kuwa anakuona kama kaka yake.Sasa kwa ishu yako nilivyoielewa ni wazi kuwa msichana huyo ameona unapoelekea sipo na inawezekana umezidisha matani ya mapenzi na ndio maana akaamua kukuwekea mpaka kukuonesha kuwa anakuona kama kaka yake.Nasema hivi kwa kuwa umefahamiana naye muda mrefu lakini hakukufananisha ila baada ya miezi hiyo ndio umekuja kufanana na kaka yake,jiulize mwenyewe huko nyuma alikuwa wapi kukufananisha na huyo kaka yake?
 
Mkuu so far mpira uko kwenye kona yako. Inabidi uurudishe kwake whether alikuambia hivyo kwa vile anakupenda or not. Swali ni how to do this. Simple. Wala usiende mbali. Play with the same ball and the style she used to pass it to you. Mwambie bila utani or kecheko hivi:

Wewe: Unakumbuka kuna siku uliniambia kuwa unanifananisha na kaka yako? (check her body language)
Yeye: Ndio nakumbuka.

Wewe: (Kwa sauti ya msisitizo kama alivyofanya yeye) Well, it is always pride kufananishwa na mtu kama kaka yako and would really like to meet your brother nione tanafananaje? (keep checking her body language).

Yeye either atasema yes or no na hapo utakuwa umepata jibu. Nafikiri ulifanya kosa kumwuliza direct kwa nini amekufananisha na kaka yake simply because asingekupa jibu. Kumbuka wao wanatoka Venus na sisi tunatoka? Kulingana mazungumzo yatakavyokwenda hapo juu instead jaribu kumwuliza what does her bother like. Let her to the talking uone kama atamiminia sifa kaka yake or not. Jifanye kama unataka kumjua zaidi huyo kaka yake anayekufananisha. At the end of the day utapata jibu.


MY PERSONAL OBSERVATIONS

Wapo wanawake ambao hawapendi kudate mwanaume anayefanania na kaka zao. It could also mean that she thinks you're awesome, but not interested in a relationship with you. It also depends on how she said it. If she said it in a happy, positive way great. If she said it with a perplexed look than it may not be that great. It could also mean that you're a "nice" person in her eyes, but you don't "turn her on" sexually. Usually, it's the result of not flirting enough, not making physical moves, not asking her out early enough, or generally lacking self-confidence.

On the other hand, hata kama hakupendi kimapenzi, if you continue to treat her right, her understanding of having you as her brother may grow from a crush to full blown feelings. And if she only meant for you to be a brother, well you should still be treating her nice anyway. Who knows anaweza akakuunganishia ndugu au rafiki yake and you will be happy thereafter.
 
kama kakwambia anakufannanisha na kaka yake maana yake ni kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wewe,this is just simple and clear. Ni sawa sawa na msichana anakuona na kukuwahi kukusalimia shikamo kaka( na heshima nzuri) hapo kama ulikuwa na mawazo au mtazamo naye tafadhli achana naye kabisa maana utajiaibisha zaidi.
huo ni ushauri wangu.
 


Wakuu PM na EMT nashukuru kwa mawazo yenu, sikuyaquote ili kuokoa nafasi hapa. Ila nimeyaquote kichwani, na nitayafanyia kazi. EMT nashukuru kwa ushauri ulionipa na naahidi kuufanyia kazi kisha nitaleta feedback. Naamini kuna wanaoweza kufikwa na hili suala huko mbeleni na hili tatizo langu wanaweza kuja kulitumia kama Point of reference. Wanasema maadam bado unaishi basi endelea kujifunza kuishi.

kama kakwambia anakufannanisha na kaka yake maana yake ni kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wewe,this is just simple and clear. Ni sawa sawa na msichana anakuona na kukuwahi kukusalimia shikamo kaka( na heshima nzuri) hapo kama ulikuwa na mawazo au mtazamo naye tafadhli achana naye kabisa maana utajiaibisha zaidi.
huo ni ushauri wangu.

Mkuu nimekusoma pia, ila kwa mazoea yetu na huyo binti haitawahi kutokea tukaamkiana shikamoo, besides kaka aliyenifananisha naye sijui kama ni mkubwa au mdogo kwake. Nimeupenda ushauri wako na nitaufanyia kazi.
 
Sijaona issue hapo, wewe ndio unakiherehere, mtu kuongea ukweli wake kwamba umefanana nakaka yake unapagawa, je angekwambia anakupenda si ndio ungezimia kabisa. Mimi naona wewe ndio unayemtaka ila ulikuwa unashindwa kumwambia sasa unaona hapo amekupa kianzio, eti 'ameongea kwa msisitizo', ndio alikuwa anamaanisha kwamba umefanana na kaka yake
 
mbona issue ipo waz sana jaman?sa utata upo wap kakakngu?
its just JIHESHIMU achana na matan au vtendo unavyomafanyia cz ANAKUONA NA KUKUCHUKULIA +KUKUHESHIMU KM KAKA YAKE THATS OL
SI KM KUNA SENTENS CHN YA SENTENS ITS JUST IVO KM ALIVYOSEMA
 
Welcome to Women Trix 101

My take: Hapo huyo mdada anataka kuwa karibu na wewe for protection, lakini (msisitizo) hakuna kuchakachuana ndio tafsiri ya 'kaka'. Manake anataka uwe wingman,bodyguard,financial/emotional sponge au mshika pembe..Sasa its up to you kuamua unafanyaje.

Shabash!!!!!, Mkuu hapo umegonga, Mtu akwambia wewe kama kaka yake, (Kaka na Dada hawaezi Kuoana), kwa hivyo yeye ashakusoma akajua mipango yako, kama ulikuwa na mipango hio, sahau!!!!!!!!!!!!!
 
Sijaona issue hapo, wewe ndio unakiherehere, mtu kuongea ukweli wake kwamba umefanana nakaka yake unapagawa, je angekwambia anakupenda si ndio ungezimia kabisa. Mimi naona wewe ndio unayemtaka ila ulikuwa unashindwa kumwambia sasa unaona hapo amekupa kianzio, eti 'ameongea kwa msisitizo', ndio alikuwa anamaanisha kwamba umefanana na kaka yake


mbona issue ipo waz sana jaman?sa utata upo wap kakakngu?
its just JIHESHIMU achana na matan au vtendo unavyomafanyia cz ANAKUONA NA KUKUCHUKULIA +KUKUHESHIMU KM KAKA YAKE THATS OL
SI KM KUNA SENTENS CHN YA SENTENS ITS JUST IVO KM ALIVYOSEMA

Duh! Madam T & Rose nashukuru kwa tahadhari. Nitaifanyia kazi.....
 
Wakuu kuna binti ameniambia huwa ananifananisha na kaka yake na nimeshindwa kabisa kumuelewa anamaanisha nini.

Huyu binti tunafanya naye kazi sehemu moja na tuna mazoea ya kawaida kabisa ya kikazi zaidi. Kwa kweli ni binti mzuri na yuko singo. Binafsi sijawahi kumuonesha interest yeyote ingawa wakati mwingine huwa tunakuwa na matani ya hapa na pale (mara nyingine kuhusu mapenzi na maisha). Siku moja nikiwa nataniana naye mara ghafla akabadilisha topiki na kwa sauti ya msisitizo kabisa akaniambia kuwa huwa ananifananisha na kaka yake, nilivyomuuliza kwa nini akasema hata yeye mwenyewe hajui. Sikutaka kuendelea zaidi manake hata mimi nilipigwa na butwaa (kutokana na jinsi alivyosema kimsisitizo), tukaendelea na maongezi mengine.

Baada ya lile tukio huwa mara kwa mara najiuliza kuwa yule binti alikusudia nini, hasa ukizingatia kuwa sikuwahi kutegemea kwamba itafika siku ataniambia maneno hayo (tena kwa jinsi alivyoonesha kumaanisha anachokisema). Kama ameniambia kujilinda zaidi najiuliza kwa nini? wakati sijawahi kuonesha kumtaka? Au matani yangu yanamfanya adhani kuwa namtaka? Kama hakukusudia kujilinda ina maana ndo nimepewa taarifa kuwa milango ipo wazi?

Msaada wandugu!!!
unashangaa mra 1, ya 2 unauliza swali...ya tatu unataka shari....!!huna mpango nae potezea tu!!
 
Mkuu yakukera nini kufanana na kaka yake...... Nyote si wanaume nyie ... au
kuna vijimambo unafichaficha hapa ?
 
Mkuu yakukera nini kufanana na kaka yake...... Nyote si wanaume nyie ... au
kuna vijimambo unafichaficha hapa ?

Mkuu binafsi sijakereka kufananishwa na kaka mtu, ila nimeshindwa kuelewa kusudio lake la kunifananisha ndo maana nimekuja omba mtazamo wa Ma-Great Thinkers mnisaidie mawazo..
 
Mkuu binafsi sijakereka kufananishwa na kaka mtu, ila nimeshindwa kuelewa kusudio lake la kunifananisha ndo maana nimekuja omba mtazamo wa Ma-Great Thinkers mnisaidie mawazo..

Tupe feedback sasa. How did it go? Zaidi ya mwezi sasa.
 
Huyo anakutaka baba! Kula mzigo fasta!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom