TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
- Thread starter
- #61
Hapana...ni mapema mno kwa yeye kukonkludi hivyo. Yeye ni avute tu subira kwani kama totoz kweli anampenda jamaa basi ataonesha hints zaidi.
Kuna watu mahusiano yao wakikusimulia jinsi walivyoanza utabaki mdomo wazi. Hii ya kaka-dada ni ishu mdogo kabisa.
Noted with thanks...