Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,642
Kama Maskio yana Matundu mengi si amvalishe hijab ama mtandio! Mavazi sio dini!
umeshasema kikwazo ni tattoo zake ziko wazi hautaeleweka nyumbani kwenu,
ongea nae afute tattoo zinazoonekana na asivae hereni nyingi wakati unaenda kumtambulisha.
Trust me kama unampenda kweli hizo tattoo na hereni ni jambo dogo maana umesema unaangalia watu wanaokuzunguka means wewe huna tatizo nazo.