Binamu yangu anapenda kukaa utupu kila akiniona, sijui kwanini?

Acha ujinga kwani kikaa uchi ndo akutake???
Watu tunsogelea uchi kwenye swiming pool za familia tukiwa wazima.
Tumenyoa vizuri shega tu!! Binamu yako hana mambo ya kishamba hayo.anaona ni sawa tu...

Wewe nikuonavyo ukienda jangwani sea bleeze utatumbulia vitumbua mimacho kodooo!! hutaogelea!
 
Ushasema Binamu
Ushasema anakaa uchi mbele yako
Ushasema karudia mara kadhaa

Unachotakiwa uelewe ni kwamba
Hizo ni jitihada za makusudi za kukueleza kiasi gani anakutaka na si kingine.

Vya kufanya;
Una machaguo mawili tu,
1. Uwe kama mimi, mambo ya binamu huwa sijiulizi mara mbili wala sitaki ushauri... Ni kuchomeka tu.

AU

2. Uwe kama nabii Yusuf (AS) kwa yule mke wa waziri wa farao. Ila Tofauti yako na Yusuf (AS) itakuwa ni kwamba yeye alikataa kutokana na Imani yake, ila wewe Itakuwa ni kutokana na Uoga wako, Uzandiki wako, Kukosa maamuzi kwako, na Ujinga wako personal.
 
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi Desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza, sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakati naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake, nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed hata hashtuki mpaka nimeanza kuhisi kuna kitu anatafuta kwangu.

Sijui nifanye nini wadau, msaada tafadhali.
Next time mpige picha unitumie pm.. nipe na location
 
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi Desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza, sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakati naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake, nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed hata hashtuki mpaka nimeanza kuhisi kuna kitu anatafuta kwangu.

Sijui nifanye nini wadau, msaada tafadhali.
Kwani wewe mutoto mudogo hujuwi kuwowa? Muwowe!
 
Acha tamaa za kishamba hana mpango na wewe ilitokea tu bahati mbaya!!

Wewe kwa sababu unamtamani basi unahisi kama vile anakutega! Mtu analala na mumewe usiku kucha anapata yote anayotaka nini cha ziada anachohitaji?

Labda kama malaya wa kujiuza hapo sawa! Sema kama binamu yako ni malaya ndo tukuelewe!

La sivyo unamvunjia tu heshima na mihemko yako!!
Hahahaa
 
Wewe ni shemeji yangu kabisa. Tangu umerudi Dodoma umekua na tabia ya kumchatisha mke wangu hadi usiku. Tafadhari huu uzi ntaupeleka kwenu ka kithibiti
 
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi Desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza, sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakati naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake, nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed hata hashtuki mpaka nimeanza kuhisi kuna kitu anatafuta kwangu.

Sijui nifanye nini wadau, msaada tafadhali.
Pita nae ww
 
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi Desemba nilienda kumtembelea binamu yangu wa kike ambae alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya Ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza, sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakati naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake, nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed hata hashtuki mpaka nimeanza kuhisi kuna kitu anatafuta kwangu.

Sijui nifanye nini wadau, msaada tafadhali.
Kukaa uchi kivipi fafanua.....

Au aliacha kichwa wazi, pengine ameacha mabega wazi,
au amefunga kanga moja?
 
1. Kevin mjini hapa kuna joto sana huwa hawajifuniki sana sasa kwa kuwa wewe ni binamu hauna madhara yoyote.
2. Tafuta kazi, kakate majani ya ngombe au uza miwa ukirudi umechoka hutamuona hata awe mtupu azunguke nyumba nzima. Baadae utapanga japo chumba ambacho hakina umeme
 
Back
Top Bottom