Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,545
SawaMkuu, with all due respect Bananga ni mwanachama wa Chadema.
SawaMkuu, with all due respect Bananga ni mwanachama wa Chadema.
M-Canada alitakiwa awe waziri wa mambo ya ndani Lissu angeshindakwa hiyo mnataka akubaliane na ile kauli ya yule jamaa aliyeko Canada watu wasusie bidhaa na huduma eti serikali ikose mapato..
Hilo la Lema linatosha kabisa kuona upumbavu mwingi kwa watu eti tunawategemea ni chama mbadala na tuwape dola...
Ukweli upo.Ukweli upi hapo umetuambia? Chama kife kivipi kwa mawazo yako chama kitakufa? Swali kwako ebu ni tuelezi watu ambao tayari wamehukumiwa kwa hiyo kesi ya ugaidi maana Samia kasema tayari wengine wamehukumiwa wataje waliohukumiwa kwanza, tuanzie hapo
Swali likijibiwa kwa jibu mambo uwa shwali.Hii sio mada ya hapa. Peleka kwenye uzi wake au kafungulie uzi wake huko tutakuja kujadili.
Hata maofisini ndio mnaharibu kazi hivi hivi, file la huku mnapeleka kule halafu kazi zinachelewa kutekelezwa.
Ndugu zetu wa Chadema wamepigwa na kitu chenye ncha kaliWanasema Mama aingilie kati kesi ya Mbowe lakini ya Sabaya iendelee hahahahahaha
Bananga akili kubwa sana☺☺☺☺ hapelekwipelekwi na mihemko😆Bananga hivi CHADEMA walikukosea nini?
Mnasahahu huyu ni kada aliyefukuzwa ccm na kukimbilia chadema na waka mhifadhi, akakua kisiasa, mkewe ameonja ubunge na this time akachukua wa covid.Bananga hivi CHADEMA walikukosea nini?
Aisee- Chadema wanashinikiza mama aingilie mahakama kivipi wakati kwa ile kauli yake ya jana ni kama ameshaingilia huo uhuru wa mahakama?
- Bananga anataka kusema yale aliyozungumza Samia jana yalikuwa na ukweli? kwanini hataki Chadema imjibu? uelewa wake mdogo anataka kuwaambukiza na wengine sio, Samia alisema Mbowe alijificha Nairobi, Bananga anakubaliana na hiyo kauli?
- Uhuru wa habari aliosema Samia na Bananga anaupigia mstari ni upi? ule wa kufungulia blogs na vingine kama magazeti (Mwanahalisi, Tanzania Daima) kuendelea kubaki kifungoni?
- Anazungumzia "think tanks", kwa hili andiko lake nae anajiona ni "think tank" wa Chadema licha ya kasoro zote zilizomo, hao "think tanks" huwa hawajisemi ni maneno yao ndio yanawashawishi wengine kuwafahamu pale wanapoongea, huyu jamaa anadhani "think tanks" ni malaika kutoka mbinguni, hajui kuna wakati nao hukosea.
Huyu Bananga sasa namuona anataka kuitumia Chadema kama ngazi ya kupata teuzi CCM, anaropoka hivi kujitengenezea mazingira siku akichepuka wampokee wampe na cheo, hope rafiki zake kina Msando na wengine watamuwezesha kupata atakacho huko CCM.