Hi wana JF..nimekua nikisikia kuwa mtu na binamu yake wanaweza kumegana kama kawaida, hivi is it true? Then kuna binamu ananisumbua kweli and am sure nikimega tu my family wil know coz she's realy admire the staff.
Most cultures do not in fact ban marriage between first cousins, and indeed there are many cultures which actively encourage it (the Indian culture for example, or the Pakistani culture where about 55% of people marry first cousins). However, there are certain diseases/ conditions which are known as 'recessive genetic' diseases (an example is Epidermolisis Bulosa) which are much enhanced when people of similar blood marry (consanguinity).
kalikuaje, katamu??bana na wewe vp? Anataka kumegwa..bt nimeonja ka kiss tu,
kalikuaje, katamu??
Hiyo ya kumega mabinamu ilianzia kwenye Biblia. Yakobo alikwenda kuposa kwa mjomba wake Labani kumposa Raheli bintiye. Kumbe dada yake Raheli aitwaye Lea alikuwa ameshapitisha umri wa kuolewa na alikuwa anakaribia kuwa 'nung'aembe'. Labani na mkewe wakafanya hila usiku wa harusi wakamfungashia Lea, jamaa akagutuka asubuhi akiwa tayari keshamega. Akadai mke niliyetaka mbona si huyu, wakamwambia ukimtaka Raheli inabidi ulipe mahari upya maana huyo hapo Lea umeshaoa tayari na mahari tushakula. Kwa kuwa Raheli alikuwa mtoto 'kisu' kinoma, Yakobo akagangamala akamlipia, akachukua mabinamu wote wawili akawa anamega kwa nafasi na raha zake!
Hi wana JF..nimekua nikisikia kuwa mtu na binamu yake wanaweza kumegana kama kawaida, hivi is it true? Then kuna binamu ananisumbua kweli and am sure nikimega tu my family wil know coz she's realy admire the staff.
hello dada MJ1. I real miss you. upo? nakutakia krismasi njemaHapo bolded sijakuelewa binamu naomba unieleweshe kabla sijakusaidia jibu
hahahahaa, huu umri wa 'manung'aembe' ni upi hasa Mtu B.
Average age at which women have their first marriage plus 2 standard deviations from the mean, hiyo ndiyo normal. Umri ukishazidi hapo ujue 'nung'aembe'.