Binafsi sioni tatizo kubadilisha Katiba, ila kwa Magufuli bado sana!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,785
Kwa upande wangu sioni tatizo kumuongezea Raisi wetu vpnd vya kuongoza lkn ili tufike huko ni lazima Raisi husika athibitishe kweli anastahili hilo na kwa Raisi wetu Magufuli ingawaje yuko vizuri na anakwenda vizuri lkn bado kwa maoni yangu hajafikia pale ambapo sasa tunapaswa kusema tubadilishe Katiba yetu!

Labda tutaliona hilo kuanzia kipindi chake cha pili, ila kwa sasa bado ni mapema mno, ingawaje trajectory yake ni nzuri sana mpaka sasa, ...
 
Huyu jamaa nashangaa sana wanaosema aingezewe muda. Hivi hali yetu ya uchumi ikoje mpaka sasa? Maisha ya wakulima na kilimo chao yakoje mpaka sasa? Ni kipi kikubwa alichofanya kwa wakulima mpaka sasa kwani ndio wengi nchi hii?
 
Kwa upande wangu sioni tatizo kumuongezea Raisi wetu vpnd vya kuongoza lkn ili tufike huko ni lazima Raisi husika athibitishe kweli anastahili hilo na kwa Raisi wetu Magufuli ingawaje yuko vizuri na anakwenda vizuri lkn bado kwa maoni yangu hajafikia pale ambapo sasa tunapaswa kusema tubadilishe Katiba yetu!

Labda tutaliona hilo kuanzia kipindi chake cha pili, ila kwa sasa bado ni mapema mno, ingawaje trajectory yake ni nzuri sana mpaka sasa, ...
Tatizo ni kwamba kwanini kuwe na wazo la kumuongezea mda wa kutawala? Kwa nini wazo hilo liwepo kwa sasa?? Na ni nani ana hamasisha hiyo kampeni kiasi hiki na ni kwa lengo gani?? Ina maaana kuna wajinga wachache , yes wajinga ambao wanadhani ndani ya watanzania mil50 tumeishiwa viongozi wenye uchungu na uzalendo wa dhati zaid ya magufuri? Wametumia sensa ipi kudhani yeye ni zaid ya wote waliopo?na wamewapimaje hawa wengine walio baki kuwa hawana uwezo zaid ya huyo anaye pigiwa kampeni na wajinga wachache kwa sasa?

Haha yeye mwenyewe Mh, Rais anajua kuwa kuzingatia katiba na kufuata katiba ndiko kuliko mfanya na yeye apate hiyo nafasi aliyo nayo sasa .

Tuache tabia ya ubinafsi maana hata yeye aliipata nafasi hiyo baada ya wenzie kuheshimu utaratibu tulio jiwekea , haijalishi amefanya mazuri kiasi gani na anapendwa kiasi gani lakin utaratibu tulio jiwekea tuuheshimu maana ndio huo huo ulio mpa nafasi hata yeye kuuonyesha huo uzuri wake na kuonesha ubaya wake kama anao, na ninadhani kama mtu wa kuhitaji kubakizwa madarakani iwe kwa hiyari yetu ama hiyari yake au kwa lazima basi alipaswa awe nyerere maana yeye anahistoria kubwa sana na taifa hili na alikuwa na nguvu kubwa ya kubaki hata leo hii kama wenzie kina mugabe and co.
 
Badala tufikiri kubadilisha katiba Kwa ajili ya kuleta uwajibikaji na maendelea sisi tunafikiria kubadili ili viongozi waendelee kuka keki,hii ndio tofauti ya waafrika na wenzetu,Kagame miaka saba ,term moja,Trump miaka minne term moja,mnataka kutushawishi viongozi wa kiafrika ndio sana akili sana ya kutawala kuliko wengine duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu sioni tatizo kumuongezea Raisi wetu vpnd vya kuongoza lkn ili tufike huko ni lazima Raisi husika athibitishe kweli anastahili hilo na kwa Raisi wetu Magufuli ingawaje yuko vizuri na anakwenda vizuri lkn bado kwa maoni yangu hajafikia pale ambapo sasa tunapaswa kusema tubadilishe Katiba yetu!

Labda tutaliona hilo kuanzia kipindi chake cha pili, ila kwa sasa bado ni mapema mno, ingawaje trajectory yake ni nzuri sana mpaka sasa, ...
Swala LA kubadilisha Katiba ni mythology mojawapo na halitatokea.
Hata Pombe Hawezi kuthubutu.

Katiba ndiyo aliapa kuilinda, katiba ndio Tanzania ilivyo.
Kuivunja katiba ni sawa na kuuvunja muungano na kuivunja Tanzania na kujivunja hata we we. Na kubwa zaidi ni KUIVUNJA CCM.
Pombe ana miaka 10 mfukoni mwake, hatoboi zaidi.
Mahaba pelekeni kitandani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala LA kubadilisha Katiba ni mythology mojawapo na halitatokea.
Hata Pombe Hawezi kuthubutu.

Katiba ndiyo aliapa kuilinda, katiba ndio Tanzania ilivyo.
Kuivunja katiba ni sawa na kuuvunja muungano na kuivunja Tanzania na kujivunja hata we we. Na kubwa zaidi ni KUIVUNJA CCM.
Pombe ana miaka 10 mfukoni mwake, hatoboi zaidi.
Mahaba pelekeni kitandani..

Sent using Jamii Forums mobile app


Tangu lini kubadilisha Katiba kukawa ni kuvunja Katiba? Hivi hata unaelewa maana ya Katiba? Unafikiri ilishushwa ktk Mbinguni?
 
Utakua mwehu kma yule popoma mwenzako aliesema ametishiwa maisha;nani amtishie maisha zaidi ya kumuona mjinga kiwango cha makinikia.pambaneni kumuongezea uenyekiti wa chama chakavu ndio size yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu lini kubadilisha Katiba kukawa ni kuvunja Katiba? Hivi hata unaelewa maana ya Katiba? Unafikiri ilishushwa ktk Mbinguni?
Mi naongea Uhalisia wewe unajenga Logic.
Ni kweli upo sawa based on logic. Ila serikali ya CCM hawawezi kuthubutu ku-apply logic hapo.
Katiba IPO pale kuilinda serikali ya CCM, kitenda chabkuibadili ni kuwaondolea mamlaka ya kuendelea kuwepo.
Ha ha ha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si useme tu kama wapumbavu wengine kwenye serikali yao wanavyosapoti aendeleee?? Kweli hii serikali ya ajabu, rais anawambia wateule ni wapumbavu na bado wanashangilia eti aendelee
Kwa upande wangu sioni tatizo kumuongezea Raisi wetu vpnd vya kuongoza lkn ili tufike huko ni lazima Raisi husika athibitishe kweli anastahili hilo na kwa Raisi wetu Magufuli ingawaje yuko vizuri na anakwenda vizuri lkn bado kwa maoni yangu hajafikia pale ambapo sasa tunapaswa kusema tubadilishe Katiba yetu!

Labda tutaliona hilo kuanzia kipindi chake cha pili, ila kwa sasa bado ni mapema mno, ingawaje trajectory yake ni nzuri sana mpaka sasa, ...
 
Kwa upande wangu sioni tatizo kumuongezea Raisi wetu vpnd vya kuongoza lkn ili tufike huko ni lazima Raisi husika athibitishe kweli anastahili hilo na kwa Raisi wetu Magufuli ingawaje yuko vizuri na anakwenda vizuri lkn bado kwa maoni yangu hajafikia pale ambapo sasa tunapaswa kusema tubadilishe Katiba yetu!

Labda tutaliona hilo kuanzia kipindi chake cha pili, ila kwa sasa bado ni mapema mno, ingawaje trajectory yake ni nzuri sana mpaka sasa, ...
Mshapiga u turn!!!!!!!Hahahahaaa,lumumba bhana
 
Back
Top Bottom