Nnyindojihadini
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 643
- 437
A funny way of reasoning. Kwa hiyo wanaopelekwa India kila kesho na sirikari wanakuwa na mkataba kuishangilia sirikari?
Funny way of understanding issues, hao wa India na kwengineko wa kupelekwa na,serikali, wanakuwa katika mkono salama wa serikali. Mtu aliyefikia nyadhifa za Lissu hawezi kuwa stray bila kuleta changamoto katika suala zima la usalama wa Taifa. Ni kujidanganya ukisema hajui baadhi ya siri muhimu za nchi. Je anabehave vipi huko alipo katika kuhangaika kwake? Hazifanyi ni chambo cha kufikia malengo yake. Nikuulize unafikiri kwa nini hao wazungu wanamuona ni asset kwao? Lissu kwa sasa ni Asset kwa wazungu na Liability nchi.