Elections 2015 Binafsi nasherehekea kuondoka Kikwete na siyo kuapishwa Magufuli

Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,

- Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu wa ofisi yake,

- Rais aliyetumia zaidi ya nusu ya uongozi wake akiwa nje akitumia kodi yangu badala ya kuwatumikia wananchi wake,

- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,

- Rais asiyejali mihimili mingine,

- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,

- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,

- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,

- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,

- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,

- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,

- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,

- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.

Nikuyakumbuka haya na mengine mengi hakika leo nasherehekea kuondoka kwake na wala siyo kuapishwa kwa Magufuli.

Katika hili nakuunga mkono
 
sema roho zinawauma tu.

Mlijaribu kila hila kwa miaka 10, zote kapangua huku anacheka.
emshazaa boko haram wangapi mpaka sasa?...sorry...haina maana naweza kuonekana mbaguzi wa dini..mwenzetu roho inakuuma kwa maoni yetu eeh..jk hakuwahi kukubalika na watu inteligent ndugu
 
emshazaa boko haram wangapi mpaka sasa?...sorry...haina maana naweza kuonekana mbaguzi wa dini..mwenzetu roho inakuuma kwa maoni yetu eeh..jk hakuwahi kukubalika na watu inteligent ndugu

Ikiwa watu intelligent ni kama wewe, basi kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa sana:

Kikwete-Obama-2009-600x368.jpg
 
Nimelala usingizi mzito jana. Nimeamka asubuhi katika ndoto nasikia pop song wazungu wanaimba;Bye bye Kikwete,Bye bye dictator Kikwete.". In case watu wataniuliza nasema nini,nasema nimeota leo wazungu wanaimba wimbo,pop song,yaani hizi nyimbo za vijana,wanamuita Kikwete 'dictator',kwamba wao walikuwa wanamuona kama tu mtu aliyekuwa anaitawala Tanzania kwa mabavu.

mzungu gani kaimba mkuu???? au wazungu wote kwa pamoja???
 
Aende tu huyu mtu! Uteuzi wake wa lala salama una makusudi na malengo binafsi! Karibu uraiani tule ugali na sombe
 
Aende tu huyu mtu! Uteuzi wake wa lala salama una makusudi na malengo binafsi! Karibu uraiani tule ugali na sombe

Hivi hajaenda huko Msoga anasubiri nini?..inaonekana bado anataka kushiriki uteuzi wa mawaziri....
 
emshazaa boko haram wangapi mpaka sasa?...sorry...haina maana naweza kuonekana mbaguzi wa dini..mwenzetu roho inakuuma kwa maoni yetu eeh..jk hakuwahi kukubalika na watu inteligent ndugu
jk kawaacha mapastor kibao wakijiona hopeless,kakobe,ngwajima etc,walimpiga vita na wakaipiga vita ccm mpaka makanisa still akawa outsmart,chezea luten kanali wewe,
 
Nikimuangalia kikwete jana uwanja wa taifa na ikulu kwenye chakula haamini kama ana ondoka .
Akijikomba komba tu kamkumbatia magufuli mara ngapi sijui. Hampi nafasi ya kukaa na wageni wake yupo ana jichejesha ....sijui amesahau nini huko....atoke tu..hatumsahau masheikh wetu bado wapo ndani kesi haiendi
Sheikh Ponda kesho kutwa anatoka chini ya magufuli
Na kaondoka kule znz kawa rejesha nyuma kwenye uhasama .....apumzike tu....walodhulumiwa watajua wenyewe kumsamehe ama vipi
kuhusu shehe ponda jk alimvumilia sana mpaka sasa ikabidi amweke ndani,huyo ponda analeta mambo ya uwahabi hapa walati nchi hii ni ya wote,jk si mtu wa kuweka mashehe gerezani bila sababu ya msingi,

wahabiya ndo wanaleta chokochoko zisizo na maana duniani pote leo hii
 
Nimefurahi sana Jk kuondoka madarakani lakini sitegemei jipya ndani utawala wa Magufuli watu ni wale wale.na chama kile kile
 
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,

- Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu wa ofisi yake,

- Rais aliyetumia zaidi ya nusu ya uongozi wake akiwa nje akitumia kodi yangu badala ya kuwatumikia wananchi wake,

- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,

- Rais asiyejali mihimili mingine,

- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,

- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,

- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,

- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,

- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,

- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,

- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,

- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.

Nikuyakumbuka haya na mengine mengi hakika leo nasherehekea kuondoka kwake na wala siyo kuapishwa kwa Magufuli.

12193646_1684281221784205_5828227017116152339_n.jpg
 
Sure kwa umri wake hata kugombea tena anaweza, ataishi mstaafu hadi achukie.

Mkuu mbona umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria ni 60yrs na watu wanastaafu kila leo iweje yeye ndo umuone kijana
 
Back
Top Bottom