Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu wa ofisi yake,
- Rais aliyetumia zaidi ya nusu ya uongozi wake akiwa nje akitumia kodi yangu badala ya kuwatumikia wananchi wake,
- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,
- Rais asiyejali mihimili mingine,
- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,
- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,
- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,
- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,
- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,
- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,
- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,
- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.
Nikuyakumbuka haya na mengine mengi hakika leo nasherehekea kuondoka kwake na wala siyo kuapishwa kwa Magufuli.
- Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu wa ofisi yake,
- Rais aliyetumia zaidi ya nusu ya uongozi wake akiwa nje akitumia kodi yangu badala ya kuwatumikia wananchi wake,
- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,
- Rais asiyejali mihimili mingine,
- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,
- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,
- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,
- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,
- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,
- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,
- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,
- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.
Nikuyakumbuka haya na mengine mengi hakika leo nasherehekea kuondoka kwake na wala siyo kuapishwa kwa Magufuli.