Miaka 10 tumeongozwa na msanii kwanini usifurahie anapoondoka?Nikwamba tumeishi miaka10 bila rais. Tuombe Mungu huyunaye asiwe garasa. Vinginevyo tutapiga 20 bila raisi.
Tulipoteza fursa nyingi kama nchi baada ya NEC kumweka madarakani huyu jamaa. Sasa aende zake bhana, hatutamkumbuka na yeye asihangaike kutukumbuka.. rais wa mipasho.. atembee mbele bhana tushachookaaa
Rsis aliyeendeleza Amani,na kukubadhi nchi kwa AMANI.Na mpaka anaondoka madarakani uko mzima na afya yako.Huyu ndio Rais.AMANI Kwanza.Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu wa ofisi yake,
- Rais aliyetumia zaidi ya nusu ya uongozi wake akiwa nje akitumia kodi yangu badala ya kuwatumikia wananchi wake,
- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,
- Rais asiyejali mihimili mingine,
- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,
- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,
- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,
- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,
- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,
- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,
- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,
- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.
Nikuyakumbuka haya na mengine mengi hakika leo nasherehekea kuondoka kwake na wala siyo kuapishwa kwa Magufuli.
Hakuna amani bila haki.Rsis aliyeendeleza Amani,na kukubadhi nchi kwa AMANI.Na mpaka anaondoka madarakani uko mzima na afya yako.Huyu ndio Rais.AMANI Kwanza.
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo,
- Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu wa ofisi yake,
- Rais aliyetumia zaidi ya nusu ya uongozi wake akiwa nje akitumia kodi yangu badala ya kuwatumikia wananchi wake,
- Rais asiyethamini taaluma za watu wakiwemo waalimu, wauguzi yeye ni siasa tu,
- Rais asiyejali mihimili mingine,
- Rais aliyetuhumiwa kwa kila dili EPA yumo, Richmond yumo, Merameta yumo, Escrow yumo, what type of a president,
- Hakuipenda nchi nchi yake kwa dhati, tangu aseme pesa zetu siyo za umma niliumia sana,
- Maliasili zinahamishwa yeye hakujali,
- Rais aliyekuza udini na ukanda "rais hawezi toka kaskazini" hakuonekana kukemea,
- Rais aliyetuambia anayo majina ya wauza unga hadi leo anaondoka nayo,
- Rais anayesamehe wezi wakubwa wa EPA wakati wadogo wakiozea jela,
- Rais aliyependa vijembe kwa wananchi wanaotofautiana naye,
- Rais aliyetumia ofisi kwa maslahi yake na familia yake.
Nikuyakumbuka haya na mengine mengi hakika leo nasherehekea kuondoka kwake na wala siyo kuapishwa kwa Magufuli.
Haki ipo ndio maana kukawa na AMANI.Hakuna amani bila haki.
Siwezi kusema kipigo changu kinachangiwa na jambo fulani kinachangiwa na mambo karibu yote, ukosefu wa ajira kwa mfano huwezi kusema unasababishwa na kitu kimoja.Bila kuathiri uzito wa ulichoandika, Wewe kipigo chako kipo eneo lipi? Maana umeanza kuwa hutamsahau kwa "ULIVYOPIGIKA".