Binafsi Namkubali Sana Rostam Aziz na sina chuki naye!

Kama unapenda movie angalia ile ya jamaa mmoja ambaye baadae alikuja kuajiriwa na FBI " catch me if You can " utajua nina maanisha nini.

Mkuu naomba usilinganishe mlima na kichuguu...., Jamaa wa kwenye Catch me if you can alikuwa anatumia ujanja na utapeli (Conning) ili kufanikisha sio njia anazotumia Rostam Please lets call a Spade a Spade..., Rostam anatumia pesa kuonga na anatumia Greedy ya viongozi wapenda 10% tofauti na huyu jamaa wa kwenye Catch me if you can was a master forger...., jamaa ilibidi mpaka mwisho wa siku FBI wamwite ili aweze kuwasaidia kushika wizi..., and nobody alijua extent ya wizi wake mpaka baadae..., tofauti na huyu bwana everyone knows...., "Weakness ya Serikali yetu kushindwa kumshika isiwe kigezo cha kusema jamaa hashikiki... please...., Give me a Break.. hata NdumilaKuwili alikuwa more creative katika wizi wake...
 
kum-admire fisadi sio kufikiria 'outside the box' hata kidogo, unatupakaza upupu tu!!

sikulazimishi hayo ni maoni binafsi, endelea kukaa kundi la wapiga kelele bila kutake actions. Ipo siku kelele zako zitasikika!!
 
Mwanadamu yeyote ni greedy, anataka zaidi na zaidi.... cha msingi ni kuziba mianya itakayomfanya asiweze ku-demonstrate tamaa yake.

na tatizo la kwanza ni mkwere na mambumbumbu, walafi wengi ccm ndio maana watu kama RA wanapata chance ya kufanya wanayofanya
 
Rich Dad,ulikuwa na wazo zuri lakini umeshindwa kuliwasilisha.Umeshindwa kusema ni vipi una mkubali R.A,pili how can u be inspired by someone who's moral is questionable?Ana ku-inspire kufanya nini au kwa lipi alilolifanya waziwazi?unaomba katiba mpya ilhali you are 'inspired' by a crook,morals are the basis of the law kwa hiyo katiba mpya wakati you are inspired by people with questionable characters makes no sense.
 
Mkuu naomba usilinganishe mlima na kichuguu...., Jamaa wa kwenye Catch me if you can alikuwa anatumia ujanja na utapeli (Conning) ili kufanikisha sio njia anazotumia Rostam Please lets call a Spade a Spade..., Rostam anatumia pesa kuonga na anatumia Greedy ya viongozi wapenda 10% tofauti na huyu jamaa wa kwenye Catch me if you can was a master forger...., jamaa ilibidi mpaka mwisho wa siku FBI wamwite ili aweze kuwasaidia kushika wizi..., and nobody alijua extent ya wizi wake mpaka baadae..., tofauti na huyu bwana everyone knows...., "Weakness ya Serikali yetu kushindwa kumshika isiwe kigezo cha kusema jamaa hashikiki... please...., Give me a Break.. hata NdumilaKuwili alikuwa more creative katika wizi wake...

The same scenario mkuu!!! Rostam anatengeneza kampuni hewa ambazo Brela, Costarica wanashindwa kuzitolea maelezo afu zinakuja ku-secure billions of money! Process inakwenda to the extent hadi Rais wako anakuwa suspected ( you can imagine such a complex chain). Kunatofauti gani na huyu dogo ambaye counterfeit cheque zake zilikuwa zinashindwa kutofautishwa na genuine cheques???
 
Mkuu naomba usilinganishe mlima na kichuguu...., Jamaa wa kwenye Catch me if you can alikuwa anatumia ujanja na utapeli (Conning) ili kufanikisha sio njia anazotumia Rostam Please lets call a Spade a Spade..., Rostam anatumia pesa kuonga na anatumia Greedy ya viongozi wapenda 10% tofauti na huyu jamaa wa kwenye Catch me if you can was a master forger...., jamaa ilibidi mpaka mwisho wa siku FBI wamwite ili aweze kuwasaidia kushika wizi..., and nobody alijua extent ya wizi wake mpaka baadae..., tofauti na huyu bwana everyone knows...., "Weakness ya Serikali yetu kushindwa kumshika isiwe kigezo cha kusema jamaa hashikiki... please...., Give me a Break.. hata NdumilaKuwili alikuwa more creative katika wizi wake...

Mkuu unanikumbusha kilichotokea Marekani miaka 2,3 iliyopita kwamba kuna baadhi ya matajiri na wasomi wa uchumi wanaamini kuwa 'Greed is Good' tena wao wanfanya legal practices kuiba au kuhalalisha wizi wao na matokeo yake ndo mtikisiko wa uchumi ulioigharimu na unaoendelea kuigharimu dunia lakini sijasikia mtu yoyote akiwasifu watu hawa na kwa ushahidi kuwa watu hawa wanchukiwa ni Bernard Madoff, tunapoendelea kuchangia thread hii jamaa anatumikia kifungo cha miaka 150 jela na hakuna anayemuona shujaa na akili zake zote na ujanja wotw alionao.
 
... .... RA hajanizidi IQ. nakataa kwa hilo. !

Mkuu ingawa sikuji, lakini kwenye red hapo umeonyesha kuchemka ile mbaaayaa!! Huko ni kujipa moyo wa kijinga kusema eti umemzidi IQ Rostam Aziz. Kumbuka huyu ndo mtu anayesemekana kaivuruga serikali ya awamu ya tatu chini ya Benjamin Mkapa na sasa anaendelea kuivuruga serikali ya awamu ya nne chini ya Mh. Dr. Jakaya Kikwete!!

Stuka toka usingizini.........with all the allegations against him nani aliye jasiri katika serikali hii anayeweza kumnyooshea kidole Rostam na kumwambia enough is enough??????
 
The same scenario mkuu!!! Rostam anatengeneza kampuni hewa ambazo Brela, Costarica wanashindwa kuzitolea maelezo afu zinakuja ku-secure billions of money! Process inakwenda to the extent hadi Rais wako anakuwa suspected ( you can imagine such a complex chain). Kunatofauti gani na huyu dogo ambaye counterfeit cheque zake zilikuwa zinashindwa kutofautishwa na genuine cheques???
Mkuu kutengeneza kampuni hewa its the old trick in the books, na hii imeshatumiwa sana (just need a good accountant ambae ni business savy) na sio kwamba brela at al wameshindwa ni kwamba hawataki kufatilia because of 10%.., dogo alikuwa original one mans army na cheki zake zilikuwa undetected kukuhakikishia hii issue ya kutengeneza kampuni hewa sio brainchild ya rostam angalia hii kampuni Enron ilivyokuwa inafanya hadi President Bush akawa implicated YouTube - Enron- The Smartest Guys in the Room 01of10 - 2005

Now were these guys geniouses (hell No, Just Ordinary Thieves) were they Smart (Maybe... but not smart enough cause in the end they were caught)
 
ushahidi kuwa watu hawa wanchukiwa ni Bernard Madoff, tunapoendelea kuchangia thread hii jamaa anatumikia kifungo cha miaka 150 jela na hakuna anayemuona shujaa na akili zake zote na ujanja wotw alionao.

Mkuu for your record, kosa alilofanya Madoff linatofautiana sana na mada iliyo jamvini, ni mifano miwili tofauti. Fuatilia vizuri kosa alilofanya Madoff utagundua utofauti.

Tukubali tu kwamba tumekalia kuti kavu hapa!! Hakuna haja ya kuremba maneno,

kama adui yetu tunamjua mbona hatumchukulii hatua za kisheria??? Mbona tunabaki tunabwabwaja tu.

FYI: Dowans wamesajili hukumu ya ICC mahakama kuu siku ya jumanne tarehe 25/01/2011!!
 
Rich Dad,ulikuwa na wazo zuri lakini umeshindwa kuliwasilisha.Umeshindwa kusema ni vipi una mkubali R.A,pili how can u be inspired by someone who's moral is questionable?Ana ku-inspire kufanya nini au kwa lipi alilolifanya waziwazi?unaomba katiba mpya ilhali you are 'inspired' by a crook,morals are the basis of the law kwa hiyo katiba mpya wakati you are inspired by people with questionable characters makes no sense.

haya natolea maelezo jinsi anavyo ni inspire ( na hapa ndo solution itapatikana), ni ngumu kumeza lakini .......
  1. Rostam kama Rostam ni mwadamu aliyeumbwa kwa damu na nyama! lakini ndani ya kichwa chake kuna brain inayofanya kazi kwa spidi ya ajabu. kupitia elimu aliyonayo ameweza ku -study loopholes zilizopo kwenye mfumo wetu, huku akiwa ugenini ( kama watu wengine wanavyodai) na kuzi tackle opportunities tactically and then kufanikiwa kuchota mabilioni ya fedha. Hii ni issue ambayo inaweza kufanywa na mzawa pia kutokana na mfumo tulio nao kwa sasa na hulka ya mwanadamu ilivyo.
  2. Rostam kiongozi wa ufisadi mkubwa ameweka historia katika taifa letu ambayo itafaidisha vizazi vijavyo ( kama taifa lisiposambaratika) kwa kujua nchi ilikotoka na hivyo kutafuta mbinu mbadala za kupambana na ufisadi.
 
sikulazimishi hayo ni maoni binafsi, endelea kukaa kundi la wapiga kelele bila kutake actions. Ipo siku kelele zako zitasikika!!
sawa mimi nimechagua kukaa kwenye kundi la wapigakelele maana ni mzalendo na naipenda sana nchi yangu, wewe kaa kwenye kundi la wanaopigiwa kelele, afterall ts just the matter of making decisions, wewe pia mjanja sana ukaamua kuweka upupu wako huku jukwaa la uchaguzi nauhakika ungepeleka upupu wako kule kwenye jukwaa la siasa watu wangevunja monitors zao kwa hasira vilevile nadhani hata mods wange kasirika kwa upupu kama huu.
 
na tatizo la kwanza ni mkwere na mambumbumbu, walafi wengi ccm ndio maana watu kama RA wanapata chance ya kufanya wanayofanya

Mambo mengine tuwe tunaandika kwa kufikiri kwanza, kwani Rais wa awamu ya tatu alikuwa mkwere? Mbona bado RA aliweza kupenetrate na kula bingo za wadanganyika?
 
Mkuu kutengeneza kampuni hewa its the old trick in the books, na hii imeshatumiwa sana (just need a good accountant ambae ni business savy) na sio kwamba brela at al wameshindwa ni kwamba hawataki kufatilia because of 10%.., dogo alikuwa original one mans army na cheki zake zilikuwa undetected kukuhakikishia hii issue ya kutengeneza kampuni hewa sio brainchild ya rostam angalia hii kampuni Enron ilivyokuwa inafanya hadi President Bush akawa implicated YouTube - Enron- The Smartest Guys in the Room 01of10 - 2005

Now were these guys geniouses (hell No, Just Ordinary Thieves) were they Smart (Maybe... but not smart enough cause in the end they were caught)

stuka mkuu, story ya Enron, Worldcom, and the like naifahamu sana. Hizo hazikuwa fake companies...ku-collapse kwa kampuni hizo ilitokana na manipulation ya financial statements. Accountants walikuwa wana capitalise expenses on the balance sheet.....na ndo maana mpaka leo accountants wana change IFRS's on regular basis.
 
Kila siku ukiangalia mada zinazorushwa hapa JF dhidi ya Rostam Aziz zinalenga zaidi kwenye chuki. Imepelekea hadi baadhi ya watu kusahau kwamba huyu jamaa ni mwanadamu kama tulivyo sisi. Wengi wametoa proposal ya kumuua wakidhani ndo suluhu ya ufisadi hapa nchini, na wengine wamediriki kumu-associate na scandals ambazo hata hakuna proof kwamba ni jinsi gani huyu jamaa alivyo facilitate.

Binafsi naona watanzania badala ya kutibu maradhi kwa kutambua ile root cause tunakimbilia kutibu dalili (sysmptoms). Hivi hujawahi kujiuliza maswali kwamba endapo ikitokea leo hii tunapata taarifa zenye kuthibitishwa ya kwamba Rostam Aziz na washirika wake wameuwawa, Je, ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini??? La hasha nachelea kusema ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini. Hiyo itakuwa ni temporary relief na Akina Rostamu wengine wengi tu wataibuka endapo tutaendelea kubakia na mfumo dhaifu wa kiutendaji.

Binafsi ninamkubali sana huyu jamaa msomi naesikia ni graduate wa havard university na ambaye baadhi ya watanzania wanadai sio raia. Endapo itakuja kudhibitika ya kwamba the guy was behind EPA, Kagoda, Meremeta, Richmond, Dowans etc nitazidi kuwa inspired na huyu jamaa. Na mpaka sasa ninamuona huyu jamaa ni zaidi ya ma-professor wangu walionifundisha kule university, ni zaidi ya madaktari, ma-engineer,lawyers ...na ni zaidi ya wataalamu wote kwenye sector yeyote uijuayo hapa Tanzania.

The other way around ni kwamba sisi watanzania ndo tunaojiroga, haiwezekani tunaendelea kupalilia na kuumwagilia maji mfumo ambao tunaujua ni wa kishenzi kwa miaka yote huku tukiishia kusemasema pembeni bila kuchukua hatua.
Kwangu mimi Katiba ndo suluhu wa yote.

You are accepting garbage? Kwani matapeli wote wamesoma havard? Give me a break. The injustice prevailing in the world by USA is accidentally engineered in Havard (Soma kwenye mitandao jiridhishe). Chenge is a Havard graduate na alichokifanya na anachokifanya unakijua. RA hajasoma hivyo au angejitetea na makombora anayorushiwa.

Mimi nina uhakika unayajua mengi sana ya huyu RA ndiyo maana umekuwa convinced kumuadmire. Mko wengi ambao mnaowasifu wanaotuibia. Inatia wasiwasi elimu uliyonayo haijakusadia.
 
Kila siku ukiangalia mada zinazorushwa hapa JF dhidi ya Rostam Aziz zinalenga zaidi kwenye chuki. Imepelekea hadi baadhi ya watu kusahau kwamba huyu jamaa ni mwanadamu kama tulivyo sisi. Wengi wametoa proposal ya kumuua wakidhani ndo suluhu ya ufisadi hapa nchini, na wengine wamediriki kumu-associate na scandals ambazo hata hakuna proof kwamba ni jinsi gani huyu jamaa alivyo facilitate.

Binafsi naona watanzania badala ya kutibu maradhi kwa kutambua ile root cause tunakimbilia kutibu dalili (sysmptoms). Hivi hujawahi kujiuliza maswali kwamba endapo ikitokea leo hii tunapata taarifa zenye kuthibitishwa ya kwamba Rostam Aziz na washirika wake wameuwawa, Je, ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini??? La hasha nachelea kusema ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini. Hiyo itakuwa ni temporary relief na Akina Rostamu wengine wengi tu wataibuka endapo tutaendelea kubakia na mfumo dhaifu wa kiutendaji.

Binafsi ninamkubali sana huyu jamaa msomi naesikia ni graduate wa havard university na ambaye baadhi ya watanzania wanadai sio raia. Endapo itakuja kudhibitika ya kwamba the guy was behind EPA, Kagoda, Meremeta, Richmond, Dowans etc nitazidi kuwa inspired na huyu jamaa. Na mpaka sasa ninamuona huyu jamaa ni zaidi ya ma-professor wangu walionifundisha kule university, ni zaidi ya madaktari, ma-engineer,lawyers ...na ni zaidi ya wataalamu wote kwenye sector yeyote uijuayo hapa Tanzania.

The other way around ni kwamba sisi watanzania ndo tunaojiroga, haiwezekani tunaendelea kupalilia na kuumwagilia maji mfumo ambao tunaujua ni wa kishenzi kwa miaka yote huku tukiishia kusemasema pembeni bila kuchukua hatua.
Kwangu mimi Katiba ndo suluhu wa yote.

Sina tatizo na maoni yako na nakubaliana na wewe at a certain extent. Ni kweli kwamba Tanzania tumezoea kupambana na dalili za ugonjwa badala ya ugonjwa wenyewe. ni kweli kwamba wengi wetu tunaishia kupiga kelele bila kuchukua, na ni kweli pia kwamba tuna haki ya kupiga kelele ili wale tuliowaweka kwenye nafasi za kuchukua hatua wafanye kazi tuliowatuma. Unless unashauri tufanye kama Tunisia!!! (ambalo si jambo baya pia).
Kama mchangiaji mmoja alivyosema ulikua na point ya msingi sana lakini kuiwasilisha kwako kumekuwa na mshikeli kidogo. Imekuwa diluted mno hadi ikapoteza ladha iliyokusudiwa. Ni kweli Rostam amesoma lakini usomi wako haumsafishi maovu anayoyatenda. Wewe mwenyewe unakubali kwamba anaunda makampuni hewa na kujipatia matenda kibao baada ya kulainisha viganja vya watendaji wakuu serikalini; je, unatushauri tuwe inspired na hilo kama wewe?
Naomba nitofautiane na wewe kwa kitu kimoja; ukienda hospitali ukiwa na tatizo la vidonda vilivyotokana na infection flani, daktari atakutibu vidonda (ambavyo ni dalili) pamoja na infection yenyewe (root cause). Kwahiyo si vibaya, kama tungekuwa na utashi na uwezo, tukadeal na hawa mafisadi (ambao ni matokeo au dalili za mfumo mbovu wa utawala) pamoja na mfumo wenyewe unaowalea.
 
sawa mimi nimechagua kukaa kwenye kundi la wapigakelele maana ni mzalendo na naipenda sana nchi yangu, wewe kaa kwenye kundi la wanaopigiwa kelele, afterall ts just the matter of making decisions, wewe pia mjanja sana ukaamua kuweka upupu wako huku jukwaa la uchaguzi nauhakika ungepeleka upupu wako kule kwenye jukwaa la siasa watu wangevunja monitors zao kwa hasira vilevile nadhani hata mods wange kasirika kwa upupu kama huu.

Sawa great thinker! ila usitumie nguvu kua-argue! toa points....sababu tangu umeanza naona unajaribu ku-divert attention yangu!!! Lowasa nae anaipenda nchi yake, RA nae akiulizwa atasema anaipenda nchi yake ....those are mere words tumezoea kusikiliza. Tunahitaji uende extra miles, kwa kuanzia na kutambua tatizo/adui yako.
 
Kila siku ukiangalia mada zinazorushwa hapa JF dhidi ya Rostam Aziz zinalenga zaidi kwenye chuki. Imepelekea hadi baadhi ya watu kusahau kwamba huyu jamaa ni mwanadamu kama tulivyo sisi. Wengi wametoa proposal ya kumuua wakidhani ndo suluhu ya ufisadi hapa nchini, na wengine wamediriki kumu-associate na scandals ambazo hata hakuna proof kwamba ni jinsi gani huyu jamaa alivyo facilitate.

Binafsi naona watanzania badala ya kutibu maradhi kwa kutambua ile root cause tunakimbilia kutibu dalili (sysmptoms). Hivi hujawahi kujiuliza maswali kwamba endapo ikitokea leo hii tunapata taarifa zenye kuthibitishwa ya kwamba Rostam Aziz na washirika wake wameuwawa, Je, ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini??? La hasha nachelea kusema ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini. Hiyo itakuwa ni temporary relief na Akina Rostamu wengine wengi tu wataibuka endapo tutaendelea kubakia na mfumo dhaifu wa kiutendaji.

Binafsi ninamkubali sana huyu jamaa msomi naesikia ni graduate wa havard university na ambaye baadhi ya watanzania wanadai sio raia. Endapo itakuja kudhibitika ya kwamba the guy was behind EPA, Kagoda, Meremeta, Richmond, Dowans etc nitazidi kuwa inspired na huyu jamaa. Na mpaka sasa ninamuona huyu jamaa ni zaidi ya ma-professor wangu walionifundisha kule university, ni zaidi ya madaktari, ma-engineer,lawyers ...na ni zaidi ya wataalamu wote kwenye sector yeyote uijuayo hapa Tanzania.

The other way around ni kwamba sisi watanzania ndo tunaojiroga, haiwezekani tunaendelea kupalilia na kuumwagilia maji mfumo ambao tunaujua ni wa kishenzi kwa miaka yote huku tukiishia kusemasema pembeni bila kuchukua hatua.
Kwangu mimi Katiba ndo suluhu wa yote.

Duniani kila mtu anaimani yake! Wako jamii ya watu wanaabudu SHETANI pia!
 
Back
Top Bottom