Binadamu watu wa ajabu sana!

Mitchell

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
737
714
Kulikuwa na Mfalme mmoja mpenda haki aliyetawala miongo ya nyuma. Sasa wakati anaingia katika ufalme akasikia katika wale anaowaongoza yaani watu wake kuwa kuna maadui wawili wakubwa ambao hawapatani kabisa. Sasa mfalme akawaita na kuwaambia jamani mie ndio nimetawazwa kuwa mfalme mpya na katika vitu ambavyo nitavizingatia katika kipindi changu cha uongozi ni amani. Hivyo nawaagiza leo hii hii mpatane na mmalize ugomvi wenu na baada ya kupatana nitawapa zawadi. Hivyo mtu wa kwanza kutamka zawadi atakayo wa pili atapokea mara mbili. Maadui wakaangaliana nani aanze kwani ukianza tu mwenzio anapokea mara mbili.


Basi wa kwanza akasema Mtukufu Mfalme naomba nitolewe jicho moja, mfalme akashangaa ila kwa kuwa mfalme akisema ni sheria basi akatolewa jicho moja na yule wa pili akapokea zawadi yake mara mbili yaani akatolewa macho yote mawili.
 
Kulikuwa na Mfalme mmoja mpenda haki aliyetawala miongo ya nyuma. Sasa wakati anaingia katika ufalme akasikia katika wale anaowaongoza yaani watu wake kuwa kuna maadui wawili wakubwa ambao hawapatani kabisa. Sasa mfalme akawaita na kuwaambia jamani mie ndio nimetawazwa kuwa mfalme mpya na katika vitu ambavyo nitavizingatia katika kipindi changu cha uongozi ni amani. Hivyo nawaagiza leo hii hii mpatane na mmalize ugomvi wenu na baada ya kupatana nitawapa zawadi. Hivyo mtu wa kwanza kutamka zawadi atakayo wa pili atapokea mara mbili. Maadui wakaangaliana nani aanze kwani ukianza tu mwenzio anapokea mara mbili.


Basi wa kwanza akasema Mtukufu Mfalme naomba nitolewe jicho moja, mfalme akashangaa ila kwa kuwa mfalme akisema ni sheria basi akatolewa jicho moja na yule wa pili akapokea zawadi yake mara mbili yaani akatolewa macho yote mawili.

Ingekuwa fresh hizo sheria zingetumika kwenye hii serikali ya Magamba
 
<span style="font-family: &amp;quot">Kulikuwa na Mfalme mmoja mpenda haki aliyetawala miongo ya nyuma. Sasa wakati anaingia katika ufalme akasikia katika wale anaowaongoza yaani watu wake kuwa kuna maadui wawili wakubwa ambao hawapatani kabisa. Sasa mfalme akawaita na kuwaambia jamani mie ndio nimetawazwa kuwa mfalme mpya na katika vitu ambavyo nitavizingatia katika kipindi changu cha uongozi ni amani. Hivyo nawaagiza leo hii hii mpatane na mmalize ugomvi wenu na baada ya kupatana nitawapa zawadi. Hivyo mtu wa kwanza kutamka zawadi atakayo wa pili atapokea mara mbili. Maadui wakaangaliana nani aanze kwani ukianza tu mwenzio anapokea mara mbili.<br />
<br />
</span><br />
<span style="font-family: &amp;quot">Basi wa kwanza akasema Mtukufu Mfalme naomba nitolewe jicho moja, mfalme akashangaa ila kwa kuwa mfalme akisema ni sheria basi akatolewa jicho moja na yule wa pili akapokea zawadi yake mara mbili yaani akatolewa macho yote mawili. </span>
<br />
<br />
nlikuwa darasa la pili ama la tatu vile..kind of memory heeh.!
 
Inavyoonekana we ni mswahili ila hujui kiswahili hivi kuandika binadamu ni watu ni sahihi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom