NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Hivi binadamu wa siku hizi kuna nini kinatokea? Nimenotice serious cases ambazo ukizifikiria unaweza ukadhani tunabadilika kua mbuzi mdogo mdogo..
Angalia case ya kwanza: New York kikundi kimoja kimefungua kesi mahakamani wakiomba nyani apewe haki sawa na binadamu, pamoja na kwamba wameshindwa kesi mara ya kwanza wanakomaa na bado wanataka kwenda kufanya appeal kesi ipelekwe mahakama nyingine.. Huu si utaira huu?
Chimpanzee personhood effort fails first legal tests in New York - CNN.com
Case ya pili: Atheists (Wasioamini uwepo wa Mungu) huko Oklahoma, wanataka waweke monument ambayo itakua ni ya umtukuza shetani itakayowekwa pembeni ya ile monument ya Amri kumi za Mungu wakilalamika kua USA haina maswala ya dini basi kama wameruhusu ile iwepo then pembeni yake wakiweka hii ya shetani nayo hamna shida na wameandaa design yao Satanists seek spot on Oklahoma Statehouse steps
Case nyingine: Maswala ya Ushonga, mabinti kusagana, watu kujiua ishakua utadhani kipindi cha taarifa ya habari cha ITV.
Movie za superheroes zinadanganya watu wanaanza kufanya meditation kuexperience vitu kama Astroprojection, wakidhani ni sayansi ya kawaida, na tena imerahisishwa siku hizi unaingia youtube unapata binaural beat inaoactivate chakra zote ndani ya 15min mtu huyo kafungua jicho la tatu anajiona safi kumbe mchawi.. Na hizi case ni serious maana zimekua in millions sasa
Ukiangalia yote haya, hivi dunia inaelekea wapi? Naona kweli sisi special, hapa kwa ubaya wanyama wengine tumewapita mbali kinoma...
Angalia case ya kwanza: New York kikundi kimoja kimefungua kesi mahakamani wakiomba nyani apewe haki sawa na binadamu, pamoja na kwamba wameshindwa kesi mara ya kwanza wanakomaa na bado wanataka kwenda kufanya appeal kesi ipelekwe mahakama nyingine.. Huu si utaira huu?
Chimpanzee personhood effort fails first legal tests in New York - CNN.com
Case ya pili: Atheists (Wasioamini uwepo wa Mungu) huko Oklahoma, wanataka waweke monument ambayo itakua ni ya umtukuza shetani itakayowekwa pembeni ya ile monument ya Amri kumi za Mungu wakilalamika kua USA haina maswala ya dini basi kama wameruhusu ile iwepo then pembeni yake wakiweka hii ya shetani nayo hamna shida na wameandaa design yao Satanists seek spot on Oklahoma Statehouse steps
Case nyingine: Maswala ya Ushonga, mabinti kusagana, watu kujiua ishakua utadhani kipindi cha taarifa ya habari cha ITV.
Movie za superheroes zinadanganya watu wanaanza kufanya meditation kuexperience vitu kama Astroprojection, wakidhani ni sayansi ya kawaida, na tena imerahisishwa siku hizi unaingia youtube unapata binaural beat inaoactivate chakra zote ndani ya 15min mtu huyo kafungua jicho la tatu anajiona safi kumbe mchawi.. Na hizi case ni serious maana zimekua in millions sasa
Ukiangalia yote haya, hivi dunia inaelekea wapi? Naona kweli sisi special, hapa kwa ubaya wanyama wengine tumewapita mbali kinoma...