Binadamu wa kwanza ni yupi? Wa Olduvai au Adam

Status
Not open for further replies.

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,752
196
Hii ni hoja binafsi ambayo leo nataka kutafakari pamoja kati ya vitu hivi viwili vinavyochanganya. Napenda kuzungumzia kitu kinaitwa 'Binadamu wa kwanza'. Wakati vitabu vyetu vya dini vinatuambia kuwa binadamu wa ni Adam na akafatia Eve, lakini sayansi na hasa wale wana historia wanasema binadamu ni matokeo ya Evolution tukitokea kwa wanyama wenye asili ya sokwe na tena kwa kuongeza zaidi ni kuwa binadamu wa kwanza inaaminika kuwa alitokea Tanzania maeneo ya kule Olduvai.

Vitu hivi naamini vinakanganya na ni kila mmoja alishawahi kufikiria lakini hakuweza kuingia ndani zaidi na kujua lipi ni lipi. Tanzania waamini wa dini ni wengi kuliko wasioamini na zote zinaamini katika lile la kwanza lakini bado watu hao wanaitangaza Tanzania kuwa ni sehemu ya kutalii kwani moja ya vivutio vyake ni sehemu ile ambako binadamu wa kwanza anaaminika kuishi. Na sisi sote tumepitia katika masomo haya na tulikuwa tuaamini hivyo na kisha tukafaulu kweli na wewe muumini mzuri ulifurahia sana ulipofaulu somo hili tena ukapata vizuri sana lile swali lililouliza kuwa binadamu wa kwanza aliishi wapi? Je tulifanya makosa?

Naamini nitapata mawazo mbali mbali na changamoto nyingi katika hili pale tu mtakapotoa hofu ya kujiuliza tena hili swali
 
Kwanza kabisa, hivi vitabu vya dini ni myths tu.Vinasema dunia imeumbwa miaka 6,000 iliyopita wakati tunajua kutoka historia kwamba Egyptians tayari walikuwa wakiishi kwenye bode la mto Nile kwa wingi hata kabla ya hapo. Na kuna miamba iliyopimwa na kuonekana ina miaka 4.5 billion. Kwa hiyo huwezi kumzungumzia Adam na biblia katika context ya kisayansi halafu watu wakakuchukulia seriously.

Pili archaeology inaweza kutuambia the oldest remains zimegunduliwa wapi, haiwezi kutuambia mtu wa kwanza alikuwa wapi.

Tatu, kama unaamini scientific theories inabidi ueleze vizuri unamaanisha nini unaposema "binadamu". Unamaanisha Homo sapiens sapiens au unaweza kuwaunganisha kina Zinjathropus, Homo Erectus na kina Neanderthal man?
 
Kwanza kabisa, hivi vitabu vya dini ni myths tu.Vinasema dunia imeumbwa miaka 6,000 iliyopita wakati tunajua kutoka historia kwamba Egyptians tayari walikuwa wakiishi kwenye bode la mto Nile kwa wingi hata kabla ya hapo. Na kuna miamba iliyopimwa na kuonekana ina miaka 4.5 billion. Kwa hiyo huwezi kumzungumzia Adam na biblia katika context ya kisayansi halafu watu wakakuchukulia seriously.

Pili archaeology inaweza kutuambia the oldest remains zimegunduliwa wapi, haiwezi kutuambia mtu wa kwanza alikuwa wapi.

Tatu, kama unaamini scientific theories inabidi ueleze vizuri unamaanisha nini unaposema "binadamu". Unamaanisha Homo sapiens sapiens au unaweza kuwaunganisha kina Zinjathropus, Homo Erectus na kina Neanderthal man?

Kiranga;Ur still missing some very important clues espoecially on the issue of the advocacy of the the holly scriptures as well as on the existence of God. That's why I'm envieing for an extra JUKWAA, jukwaa la falsafa. Now here we go just to clarify your confusion especially on the issue of when rocks (miamba) began to exist "HAPO MWANZO MUNGU ALIZIUMBA MBINGU NA NCHI, NAYO NCHI ILIKUWA UTUPU ......" ....."ROHO YA MUNGU IKATULIA JUU YA VILINDI VYA MAJI, MUNGU AKASEMA,...."Hii imanamaanisha nini?1. Siku ya uumbaji roho yake ilitulia juu ya vilindi vya maji, halafu akaanza kuumba2. Wakati anaanza uumbaji siku hiyo, maji, mbingu na nchi vilikuwepo tayari, yaani ardhi na miamba yake na maji yake tayari vilikuwepo toka nyuma, possibly miaka mingi zaidi kuliko hata sayansi inavyosema!Contradictions sikatai zipo nyingi mno lakini kwa hili inabidi uliangalie vizuri!
 
kuwa binadamu wa kwanza inaaminika kuwa alitokea Tanzania maeneo ya kule Olduvai.

kwa kuku update
kuna nyayo za binadamu wa kale zaidi kuliko yule wa Olduvai, zipo sehemu iitwayo LAETOLI ndani ya hifadhi ya ngorongoro

laetoli1.jpg

Photograph by John Reader.
What makes these prints an almost unbelievable discovery are that not only are they clearly made by fully bipedal[FONT=Trebuchet MS, arial, helvetica, sans-serif]1[/FONT] creatures, but are also almost indistinguishable from modern human footprints, despite being formed millions of years earlier than the earliest known fossilised human footprints.
unaweza soma zaidi hapa [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Laetoli[/ame]
 
kwa kuku update
kuna nyayo za binadamu wa kale zaidi kuliko yule wa Olduvai, zipo sehemu iitwayo LAETOLI ndani ya hifadhi ya ngorongoro

laetoli1.jpg

Photograph by John Reader.
What makes these prints an almost unbelievable discovery are that not only are they clearly made by fully bipedal[FONT=Trebuchet MS, arial, helvetica, sans-serif]1[/FONT] creatures, but are also almost indistinguishable from modern human footprints, despite being formed millions of years earlier than the earliest known fossilised human footprints.
unaweza soma zaidi hapa http://en.wikipedia.org/wiki/Laetoli

Inawezekana ni yule yule wa olduvai alitembelea na huko si unajua tena walikuwa ni watu wa kutembea sana
 
RayB, hebu tizama article ya huyu jamaa, it is quite convincing (At least to me)!

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
Bible and Scientific Reasoning: Is Adam the First man?
By: Ehimwenma E. Aimiuwu
2006

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]As a Christian, I often got angry at science for trying to prove that Adam was not the first man when I was much younger. Science claimed that the first man, Adam, was too young to be considered the first man on planet earth. They claimed that the oldest upright man looking creature was a female called Lucy and that she was about 4.2 million years old. They also discovered another human fossil older than Lucy about two years ago that was about 4.4 million years old. If this is true, then how do we justify Adam as the first man, when he is not more than 10,000 years old according to Biblical calculations in Genesis 5? [/FONT]​

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Another contradiction between Biblical or creation interpretation and science is that the preachers of the word believe that mankind originated from Mesopotamia in Iraq, but science says that the original man must have been an African from between Upper Egypt (bottom of Egypt), Sudan and Ethiopian region, also knows as Cush / Kush, and Tanzania. The last area of conflict on this issue is that science claims that the Biblical records are wrong and must be updated, but the creationist says that the word of God is a solid fact. To find out if Adam is really the first man, we must be able to investigate the age of the oldest man, the origins of the oldest man, and any evidence if the Bible has some flaws in its writings. As a Christian who believes in the purpose of science, I believe I should be one of the best incorruptible and unbiased judges in this matter.[/FONT]​

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]First let us tackle the issue of age. One of the best things ever invented by science in the areas of geology and archaeology is carbon dating. Carbon dating is used to estimate the age of fossils and layers of rocks in the earth. So far, it has been very reliable. Also, in investigating or forensic science, investigators can analyze the state of a dead body and give a close estimate of the time of dead, how the person was killed, location of death if the body was moved, and who the murderer might be based on raw materials present on the dead body and bodily fluids and body parts left by the murderer. These results are even admissible in the United States court of law, and are found to be more reliable than eye witnesses or a photograph. It is based on the reliability and credibility of carbon dating and forensic science that I will take sides with science on this issue. I maintain that the oldest man should be older than the Biblical Adam, who should be about 8,000 years old, according to the book titled, “The political and Spiritual Purpose of the Holy Land”.[/FONT]​


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Secondly, we must tackle the origins of the oldest man. If carbon dating and forensic science says that the over 4 million years old human fossils are in Africa, why does the Bible even talk about Mesopotamia and a man who is just 8,000 years old? Well, a close look at the Bible reveals to all that the Holy Book never placed man in Mesopotamia until after the great flood in Genesis 11. This was when mankind migrated eastward and settled in Babylon. The problem all along with the Bible or creationism was never the words in it, but the interpretation by a powerful few to lead their audience towards their political agendas. If man got to Mesopotamia in Genesis 11 and they were moving eastward, then where were they in Genesis 1-10 in the west?[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]A look at the Garden of Eden in Genesis 2, talks about four rivers that flowed through it. The Tigris and the Euphrates are rivers still in the Mesopotamia, while Gihon (The Nile) is still in Cush (Upper Egypt (bottom of Egypt), Sudan, and Ethiopia) till this day. Some old Bibles subtitled Cush as simply Upper Nile (Lower Egypt). In Genesis 4, after God punishes Cain, he too went to the east of Eden. It appears that in earlier time there was a habit of moving eastward and science has proven that human migration went eastward from Africa, to the Middle East, into Euro-Asia, and then, the Americas. Eastern migration must have become a solution to over-population or yawning for a new beginning. This must be the reason why mankind decided to build a tower to reach heaven immediately after the great flood to alleviate over-population problems and to prevent them from spreading around the earth, like they said in Genesis 11. Considering the fact that Cush is to the west of Mesopotamia, it has the oldest human fossils, it has the Nile or Gihon River, and humanity did not get to Mesopotamia until after the great flood in Genesis 11, I conclude that the Man of God’s creation was in Cush no matter how long the rivers flowed before the continental drifts. [/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][/FONT][/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Lastly, is the Biblical account wrong about creation? So far the Bible agrees with science that the land of creation and the Garden of Eden is in Cush. So the disagreement is the age of the original man. Let us see if the Bible can speak for itself, instead of relying on its preachers to do so. In Genesis 4, After God tells Cain that he was banished from Eden, Cain pleads with God that anyone who finds him will kill him. Who are these people? It should only be his parents left since Abel is dead, but his parents never touched him. God never tells Cain that he is being dramatic; he agrees with Cain that his life will be in danger, so he gives him a mark of protection. According to “The Political and Spiritual Purpose of the Holy Land”, it claims that in that part of Africa, like they still do today, tribal marks of identity is very important. It serves as a form of visa and passport to identify citizens and those of have the right to belong there. This was the mark Cain received and was now at peace to move on away from God and Eden. Cain in the land of Nod marries a wife and has a son. It is true that Adam had many children, but Cain could not have married his sister because by the time Cain left, Adam was childless. This is why Eve testified that her new child (not son) was going to replace Abel.[/FONT]


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]In the land of Nod, the people were already building cities, making musical instruments, making tools out of iron and bronze, marrying two wives, and naming inheritance after their children. So when Cain got to Nod from Eden, people were already collecting rent or money for homes, they were already playing music for entertainment, polygamy was already a trend, and they were already preventing other from encroaching on one’s inheritance. This means that the Bible speaking for itself agrees with science that the original man is older than Adam in Genesis 4, and that the original man has nothing to do with Mesopotamia in Genesis 11. According to “The Political and Spiritual Purpose of the Holy Land”, Adam must have been the first prophet or person mankind could record in Cush. It appears that there is a period of 4 millions years between Genesis 1 and Genesis 2.[/FONT]​
[/FONT]
[/FONT][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][/FONT]
[/FONT]
[/FONT][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][/FONT]
 
SMU nashukuru kwa long article ambayo imani nyingi na hasa hizi kubwa dogma kuhusu hawa na adamu sasa hizo ni moja ya influential ideas na naamini upande wa pili kulikuwa na majibu yao na pia uksoma Genesis inaeleza kuwa hao watu walitokea wapi ingaw haiwataji kwa majina bali ni uzao wa adamu na hawa na wakamultiply kihivyo still ni mkanganyiko tu kwa kweli
 
Nakuandalia meelezo kuhusu binadamu kwa kwanza, wa pili, watatu na wanne, n.k. I mean RED MAN, BLACK MAN, WHITE MAN na YELLOW MAN. n.K. kutoka katika unpopular history kutoka katika spiritual science Hupo hapo? Baadaye nitakuhadithia sababu za wewe kuwepo hapa katika Earth Planet ni nini, maana uenda una fanana na kitoto kinachosoma shule ya vidudu au chekechea, kikiilizwa kwa nini kipo pale shuleni kinamnukuu aliyekipeleka alivyosema kama alikiambia.
Jiandae.
 
Nakuandalia meelezo kuhusu binadamu kwa kwanza, wa pili, watatu na wanne, n.k. I mean RED MAN, BLACK MAN, WHITE MAN na YELLOW MAN. n.K. kutoka katika unpopular history kutoka katika spiritual science Hupo hapo? Baadaye nitakuhadithia sababu za wewe kuwepo hapa katika Earth Planet ni nini, maana uenda una fanana na kitoto kinachosoma shule ya vidudu au chekechea, kikiilizwa kwa nini kipo pale shuleni kinamnukuu aliyekipeleka alivyosema kama alikiambia.
Jiandae.

JUst bring it up no need of this intro thats why am here for learning and contribution to what i know so no need of using harsh words just be wise and contribute you ideas
 
swali zuri mkuu....

kwa wanadini...ni Adam

kwa waumini wa nadharia ya Darwin.......binadamu wa kwanza alianza katika umbile la nyani.

huyu wa olduvai gorge....sifahamu anaingia wapi hapo....nadhani ni mwanadamu wa kale zaidi ambaye tumewahi kuona athari yake kwa hizo nyayo...sidhani kama ni wa kwanza kwa yoyote kati ya nadharia hizo mbili..
 
Biblia ni mythology ya Wayahudi w kale tu, haina authenticity.

I mean kweli unaweza kukiamini kitabu kinachosema jua linazunguka dunia?

Unaweza kuamini kitabu chenye inconsitencies kama za biblia?

I mean hata ukitoka kwenye old testament na kwenda kwenye new testament, Mark, Luke, John na Paul wanajicontradict each other. Hiki ndicho kitabu cha kukiamini kama "gospel truth" kweli?

And this is just from the New Testament, sijaingia kwenye old testament huko kuonyesha kwamba Jesus Christ si Masiha kwa sababu hajakamilisha nabii za masiha.Unafikiri kwa nini Wayahudi wenyewe ambao hivi vitabu ni vyao hawamkubali kama Masiha?

http://www.evilbible.com/contradictions.htm

Gospel Contradictions:

1) How many generations were there between Abraham to David? Matthew 1:17 lists fourteen generations. Matthew 1:2 lists thirteen generations.

2) Is Paul lying? In Acts 20:35 Paul told people "to remember the words of the Lord Jesus, how he said, 'It is more blessed to give than to receive.'" Since Jesus never made such a biblical statement, isn't Paul guilty of deception?

3) When did the leper become not a leper? (Matthew 8:13 & 8:14) Jesus healed the leper before visiting the house. (Mark 1:29-30 & 1:40-42) Jesus healed the leper after visiting Simon Peter's house.

4) Who approached Jesus? (Matthew 8:5-7) The Centurion approached Jesus, beseeching help for a sick servant. (Luke 7:3 & 7:6-7) The Centurion did not approach Jesus. He sent friends and elders of the Jews.

5) Was she dead or just dying? (Matthew 9:18) He asked for help, saying his daughter was already dead. (Luke 8:41-42) Jairus approached Jesus for help, because his daughter was dying.

6) Just what did Jesus instruct them to take? (Matthew 10:10) Jesus instructed them not to take a staff, not to wear sandals. (Mark 6:8-9) Jesus instructed his disciples to wear sandals and take a staff on their journey.

7) When did John find out Jesus was the Messiah? (Matthew 11:2-3) While imprisoned. John the Baptist sent followers to Jesus to inquire if Jesus was the messiah. (Luke 7:18-22) While imprisoned. John the Baptist sent followers to Jesus to inquire if Jesus was the Messiah. (John 1 :29-34,36) John already knew Jesus was the Messiah.

8) Who made the request? (Matthew 20:20-21) Their mother requested that James and John, Zebedee's children, should sit beside Jesus in his Kingdom. (Mark 10:35-37) James and John, Zebedee's children, requested that they should sit beside Jesus in his Kingdom.

9) What animals were brought to Jesus? (Matthew 21:2-7) two of the disciples brought Jesus an ass and a colt from the village of Bethphage. (Mark 11:2-7) They brought him only a colt.

10) When did the fig tree hear of its doom? (Matthew 21:17-19) Jesus cursed the fig tree after purging the temple. (Mark 11:14-15 & 20) He cursed it before the purging.

11) When did the fig tree keel? (Matthew 21:9) The fig tree withered immediately. and the disciples registered surprise then and there. (Mark 11:12-14 & 20) The morning after Jesus cursed the fig tree, the disciples noticed it had withered and expressed astonishment.

12) Was John the Baptist Elias? "This is Elias which was to come." Matthew 11:14 "And they asked him, what then? Art thou Elias? And he said I am not." John l:21

13) Who was the father of Joseph? Matthew 1:16 The father of Joseph was Jacob. Luke 3 :23 The father of Joseph was Heli. Christians shall try to LIE and tell you that one is the heritage of Mary and the other Joseph. This is utter bullshit, the Hebrew and Greek cultures NEVER regarded the bloodline of the mother. They were patriarchal societies which only concerned themselves with paternal lineage.

14) How many generations were there from the Babylon captivity to Christ? Matthew 1:17 Fourteen generations, Matthew 1:12-16 Thirteen generations.

15) Matthew 2:15, 19 & 21-23 The infant Christ was taken into Egypt. Luke 2:22 & 39 The infant Christ was NOT taken to Egypt.

16) Matthew 5:1-2 Christ preached his first sermon on the mount. Luke 6:17 & 20 Christ preached his first sermon in the plain.

17) John was in prison when Jesus went into Galilee. Mark 1:14 John was not in prison when Jesus went into Galilee. John 1:43 & 3:22-24

18) What was the nationality of the woman who besought Jesus? Matthew 15:22 "And behold, a woman of Canaan came out of the same coasts, and cried unto him, Have mercy on me, 0 Lord, thou son of David; my daughter is grievously vexed with a devil." Mark 7:26 "The woman was a Greek, a Syrophenician by nation, and she besought him that he would cast forth the devil out of her daughter."

19) How many blind men besought Jesus? Matthew 20:30 Two blind men. Luke 18:35-38 Only one blind man.

20) Where did the devil take Jesus first? (Matthew 4:5-8) The Devil took Jesus first to the parapet of the temple, then to a high place to view all the Kingdoms of the world. (Luke 4:5-9) The Devil took Jesus first to a high place to view the kingdoms, then to the parapet of the temple.

21) Can one pray in public? (Matthew 6:5-6) Jesus condemned public prayer. (1 Timothy 2:8) Paul encouraged public prayer.

22) If we decide to do good works, should those works be seen? Matthew 5:16 "Let your light so shine before men that they may see your good works." 1 Peter 2:12 "Having your conversation honest among the Gentiles: that ... they may by your good works, which they shall behold, glorify God in the day of visitation." This contradicts: Matthew 6:1-4 "Take heed that ye do not your alms before men, to be seen of them…that thine alms may be in secret." Matthew 23:3-5 "Do not ye after their [Pharisees'] works ... all their works they do for to be seen of men."

23) Who did Jesus tell the Lord's Prayer to? (Matthew 5:1, 6:9-13 & 7:28) Jesus delivered the Lord's Prayer during the Sermon on the Mount before the multitudes. (Luke 11:1-4) He delivered it before the disciples alone, and not as part of the Sermon on the Mount.

24) When was Christ crucified? Mark 15:25 "And it was the third hour and they crucified him." John 19:14-15 "And it was the preparation of the Passover, and about the sixth hour; and he saith unto the Jews, Behold your king…Shall I crucify your king?" John 19:14-15.

25) The two thieves reviled Christ. (Matthew 27:44 & Mark 15:32) Only one of the thieves reviled Christ. Luke 23:39-40.

26) In 1 Corinthians 1:17 ("For Christ sent me [Paul] not to baptize but to preach the gospel") Paul said Jesus was wrong when he said in Matthew 28:19 "Go ye therefore, and teach all nations, baptizing them…" Clearly one of these people is wrong, either way, it's a contradiction.

27) When did Satan enter Judas? Satan entered into Judas while at the supper. John 13:27 Satan entered Judas before the supper. Luke 23:3-4 & 7

28) How many women came to the sepulcher? John 20:1 Only one woman went, Mary Magdalene. Matthew 28:1 Mary Magdalene and the "other Mary" (Jesus' mother) went.

29) Mark 16:2 It was sunrise when the two women went to the sepulcher. John 20:1 It was still dark (before sunrise) when Mary Magdalene went alone to the sepulcher.

30) There were two angels seen by the women at the sepulcher and they were standing up. Luke 24:4 There was only one angel seen and he was sitting down. Mark 28:2-5

31) How many angels were within the sepulcher? John 20:11-12 two, Mark 16:5 one.

32) The Holy Ghost bestowed at Pentecost. Acts 1:5-8 & 2:1-4 The holy Ghost bestowed before Pentecost. John 20:22

33) Where did Jesus first appear to the eleven disciples? In a room in Jerusalem. Luke 24:32-37 On a mountain in Galilee. Matthew 28:15-17

34) Where did Christ ascend from? From Mount Olivet. Acts 1:9-12 From Bethany. Luke 24:50-51

35) Can all sins be forgiven? (Acts 13:39) All sins can be forgiven. Great, I'm happy to know God is so merciful, but wait (Mark 3:29) Cursing or blaspheming the Holy Spirit is unforgivable.

36) The Elijah mystery: (Malachi 4:5) Elijah must return before the final days of the world. (Matthew 11:12-14) Jesus said that John the Baptist was Elijah. (Matthew 17:12- 13) Jesus insists that Elijah has already come, and everyone understood him to mean John the Baptist. (Mark 9:13) Jesus insists that Elijah has already come. (John 1:21) John the Baptist maintained that he was not Elijah.

37) Who purchased the potter's field? Acts 1:18 The field was purchased by Judas. John 20:1 The potter's field was purchased by the chief priests.

38) Paul's attendants heard the miraculous voice and stood speechless. Acts 9:7 Paul's attendants did not hear the voice and were prostrate. Acts 22:9 & 26:14

39) Who bought the Sepulcher? Jacob, Josh 24:32 Abraham, Acts 7:16

40) Was it lawful for the Jews to put Christ to death? "The Jews answered him, we have a law, and by our law he ought to die." John 19:7 "The Jews therefore said unto him, It is not lawful for us to put any man to death." John 18:31

41) Has anyone ascended up to heaven? Elijah went up to heaven: "And Elijah went up by a whirlwind into heaven." 2 Kings 2:11 "No man hath ascended up to heaven but he that came down from heaven, even the son of man." John 3:13

42) Is scripture inspired by God? "all scripture is given by inspiration of God." 2 Timothy 3:16 compared to: "But I speak this by permission and not by commandment." 1 Corinthians 7:6 "But to the rest speak I, not the Lord." 1 Corinthians 7:12 "That which I speak, I speak it not after the Lord" 2 Corinthians
 
Hii ni hoja binafsi ambayo leo nataka kutafakari pamoja kati ya vitu hivi viwili vinavyochanganya. Napenda kuzungumzia kitu kinaitwa 'Binadamu wa kwanza'. Wakati vitabu vyetu vya dini vinatuambia kuwa binadamu wa ni Adam na akafatia Eve, lakini sayansi na hasa wale wana historia wanasema binadamu ni matokeo ya Evolution tukitokea kwa wanyama wenye asili ya sokwe na tena kwa kuongeza zaidi ni kuwa binadamu wa kwanza inaaminika kuwa alitokea Tanzania maeneo ya kule Olduvai.

Vitu hivi naamini vinakanganya na ni kila mmoja alishawahi kufikiria lakini hakuweza kuingia ndani zaidi na kujua lipi ni lipi. Tanzania waamini wa dini ni wengi kuliko wasioamini na zote zinaamini katika lile la kwanza lakini bado watu hao wanaitangaza Tanzania kuwa ni sehemu ya kutalii kwani moja ya vivutio vyake ni sehemu ile ambako binadamu wa kwanza anaaminika kuishi. Na sisi sote tumepitia katika masomo haya na tulikuwa tuaamini hivyo na kisha tukafaulu kweli na wewe muumini mzuri ulifurahia sana ulipofaulu somo hili tena ukapata vizuri sana lile swali lililouliza kuwa binadamu wa kwanza aliishi wapi? Je tulifanya makosa?

Naamini nitapata mawazo mbali mbali na changamoto nyingi katika hili pale tu mtakapotoa hofu ya kujiuliza tena hili swali

Hivi ni wangapi wanaoamini dini (hao wengi) na wasio amini (hao wachache) au unakisia tu iko hivyo? Ninaamini kila mwadamu ana dini! Hata hao tunaowaita 'atheists' wana dini. If you don't believe in one thing (e.g. A) you certainly beleve in something else (e.g. B, C, D... or Z)! It's impossible to believe in nothingness unless that nothingness is also something.

Binadamu wa kwanza kulingana na scriptures ni Adam na Eva (mume + mke). Whether huyo Adam + Eva ndio mmojawapo au wote wawili ndio waliogunduliwa Olduvai Gorge au hapana bado haipingani na scriptures. Hivi huyo mtu wa kwanza (Olduvai) alikuwa anaitwa nani? Was he single or married? Does the whole world believe so au ni historia ya EA au Afrika tu inasema hivyo?

2. Object ya imani ni Mungu na ya science ni experiment. Imani inahusu vitu 'spiritual' na science 'material' - two aspects of one reality. Ya kwanza, inahusu kuwa na uhakika wa vitu ambavyo hatuwezi kuvithibitisha au kutovithibitisha lakini tunaamini vina maana katika maisha yetu na kweli vipo. Science inahusu vitu ambavyo tunaweza kuvielezea kwa akili yetu.

Imani inahusu uwepo wetu na hatma ya maisha yetu (ya baadaye). Science inahusu vitu tunavyoweza kuvigundua tu (haizungumzii vile ambavyo hatuwezi kuvigundua). Imani inahusu vitu ambavyo ni beyond our understanding and perception (transcendence) - inatuasa tuishi kiadilifu na kwa upendo. Science inahusu vitu ambayo tunavijua tu (immanence) na tunaweza kuvifanya.

Kwa hiyo, ukisoma science ina approach yake na imani ina approach yake pia. Imani inatufanya tujione tunatoka kwa Mungu anayetulinda na kututunza na anataka tuishi kwa upendo na kuheshimiana na science inatufanya tu'explore' kwa akili yetu tu mazingira yanayotuzunguka na namna gani tunaweza kuyatumia ili kuboresha maisha yetu.
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom