Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Habari,
Hivi huyu binadamu wa kwanza kunywa maji pamoja na kula chakula, alifundishwa na nani? na siku hiyo ilikuaje? Alijuaje kwamba nikijisikia hivi ninatakiwa nitafute chakula? nikijisikia hivi natakiwa nitafute maji?
Ni moja kwa moja alikula chakula? au kuna vitu vingine alivijaribu na vika-mdhuru?
NAWASILISHA.
Hivi huyu binadamu wa kwanza kunywa maji pamoja na kula chakula, alifundishwa na nani? na siku hiyo ilikuaje? Alijuaje kwamba nikijisikia hivi ninatakiwa nitafute chakula? nikijisikia hivi natakiwa nitafute maji?
Ni moja kwa moja alikula chakula? au kuna vitu vingine alivijaribu na vika-mdhuru?
NAWASILISHA.