habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,793
- 8,739
Nina rafiki yangu amekutana na makubwa baada ya kukutana na mwanadada mrembo maendeo ya Posta mpya wiki tatu zimepita, baada ya kukutana alikuja kwangu na huyo mchumba wake kunitambulisha kuwa nimepata wifi yako na ninampenda sana nahitaji kufunga nae ndoa baada ya mwaka mmoja km mungu akitupa uzima.
Hiv karibuni rafiki yangu alinipigia akanambia kuhusu hayo anayoyaona kwa huyo bibie, anasema kwanza hapendi pombe mchumba wangu nimejaribu kumwelewesha kuwa nipe muda pombe nitaacha amekuwa mgumu kunielewa, tumekuwa tukipishana sana kuhusu suala hili. Anasema, ananiweka kwa wakati mgumu mchumba wangu kwani kila nilolifanya ninapokuwa kwa shughuli zangu ninaporudi nyumbani yote mchumba wangu hunaambia kuwa leo umekutana na Fulani, umefanya hiv na vile ili hali ni kweli hayo anayoambiwa nakuwa nimefanya.
Leo asubuhi amekuja nyumbani kwangu mapema km saa moja, nikamuuliza kulikoni mapema yote hii, akasema jana wakati niilirudi nyumbani mchumba wangu alinifungulia mlango lkn wakati naingia sikumwona niliwasha taa lkn ckuona mtu hapo mlangoni na nilipoingia chumbani nilimkuta kalala na ili hali mlango ulikuwa umefungwa swali nililojiuliza huyu bibie amefunguaje huo mlango, bac ili bidi nitulie kidogo.
Nilichukua chakula mezani kwani tayari alikuwa kishakiandaa nikala nikaingia chumbani alikuwa kawasha TV hivyo kulikuwa na mwanga na yeye yupo kitandani kalala lkn si usingizi, pale pale alipo lala akanyanyua mkono akawasha taa, wakati bado nashangaa kile nimekiona akaniambia leo umekunya pombe, na pia ulipotoka kazini umeenda kuzini na msichana (akamtaja kwa jina) na umemsindikiza na gari hadi nyumbani kwao, (ili hali ni kwlei nimefanya yote aliyokuwa akiniambia), swali ninalojiuliza amejuaje? kwa kweli mwili wote umekufa ganzi siamini yale niliyoona na niliyosikia toka kwake hiv ninavyokwambia usiku sikulala nimeshindwa na sasa hiv nahama pale nyumbani namuachikia kila kitu, alimaza kwa kusema, isiwe tabu vitu vinatafutwa na uhai hautafutwi.
NB: Huyu kaka ni mtu ambaye ni rafiki yangu sana, sasa kwa hili nilishindwa hata nimshaurije ndo maana nimelileta kwenu nanyi mtoe mawazo yenu ili niyafikishe kwani sasa hiv ni kweli kahama kwake yupo hotel wakati anasubiri apate nyumba nyingine na kila kitu kaacha hivyo anaanza maisha upya.
Hiv karibuni rafiki yangu alinipigia akanambia kuhusu hayo anayoyaona kwa huyo bibie, anasema kwanza hapendi pombe mchumba wangu nimejaribu kumwelewesha kuwa nipe muda pombe nitaacha amekuwa mgumu kunielewa, tumekuwa tukipishana sana kuhusu suala hili. Anasema, ananiweka kwa wakati mgumu mchumba wangu kwani kila nilolifanya ninapokuwa kwa shughuli zangu ninaporudi nyumbani yote mchumba wangu hunaambia kuwa leo umekutana na Fulani, umefanya hiv na vile ili hali ni kweli hayo anayoambiwa nakuwa nimefanya.
Leo asubuhi amekuja nyumbani kwangu mapema km saa moja, nikamuuliza kulikoni mapema yote hii, akasema jana wakati niilirudi nyumbani mchumba wangu alinifungulia mlango lkn wakati naingia sikumwona niliwasha taa lkn ckuona mtu hapo mlangoni na nilipoingia chumbani nilimkuta kalala na ili hali mlango ulikuwa umefungwa swali nililojiuliza huyu bibie amefunguaje huo mlango, bac ili bidi nitulie kidogo.
Nilichukua chakula mezani kwani tayari alikuwa kishakiandaa nikala nikaingia chumbani alikuwa kawasha TV hivyo kulikuwa na mwanga na yeye yupo kitandani kalala lkn si usingizi, pale pale alipo lala akanyanyua mkono akawasha taa, wakati bado nashangaa kile nimekiona akaniambia leo umekunya pombe, na pia ulipotoka kazini umeenda kuzini na msichana (akamtaja kwa jina) na umemsindikiza na gari hadi nyumbani kwao, (ili hali ni kwlei nimefanya yote aliyokuwa akiniambia), swali ninalojiuliza amejuaje? kwa kweli mwili wote umekufa ganzi siamini yale niliyoona na niliyosikia toka kwake hiv ninavyokwambia usiku sikulala nimeshindwa na sasa hiv nahama pale nyumbani namuachikia kila kitu, alimaza kwa kusema, isiwe tabu vitu vinatafutwa na uhai hautafutwi.
NB: Huyu kaka ni mtu ambaye ni rafiki yangu sana, sasa kwa hili nilishindwa hata nimshaurije ndo maana nimelileta kwenu nanyi mtoe mawazo yenu ili niyafikishe kwani sasa hiv ni kweli kahama kwake yupo hotel wakati anasubiri apate nyumba nyingine na kila kitu kaacha hivyo anaanza maisha upya.