figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Mia
wapi hii,mkuu?
Iringa, mchawi kachomwa moto.
nakumbuka ni mchawi alichomwa moto ila sikumbuki ni wapi, dada yk alilia kweli akisema alimkanya sn kaka yake aache ushirikina akakataa.
picha imewekwa ILI TUJIREKEBISHE!!iSasa Mkuu, kama picha inatisha, umeweka ya nini? Looh, binadamu ni kama "hooligan" fulani hivi!!! Inasikitisha sana. Huyu jamaa aliyefanywa ndafu ni kibaka au....?
picha imewekwa ILI TUJIREKEBISHE!!i
TAHADHARI kwa wenye presha na magonjwa ya moyoMkuu, huyu mleta thread ameweka condition kuwa, ''usifungue picha inatisha''. So kwanini upakue chakula mezani kisha utangaze kuwa, ''this food is unfit for human consumption''. Why?
TAHADHARI kwa wenye presha na magonjwa ya moyo