Binadamu tuna mapungufu/madhaifu yetu, lakini huyu jamaa sikuona mapungufu yake

View attachment 466257

“And I say to you, I have also decided to stick to love. For I know that love is ultimately the only answer to mankind's problems. And I'm going to talk about it everywhere I go. I know it isn't popular to talk about it in some circles today. I'm not talking about emotional bosh when I talk about love, I'm talking about a strong, demanding love. And I have seen too much hate. I've seen too much hate on the faces of sheriffs in the South. I've seen hate on the faces of too many Klansmen and too many White Citizens Councilors in the South to want to hate myself, because every time I see it, I know that it does something to their faces and their personalities and I say to myself that hate is too great a burden to bear. decided to love.”

Namtafakari sana huyu ndugu Martin Luther King JR. maisha yake namna alivyoishi na watu wa rika zote na kujitoa katika kupigania haki za watu weusi huko Marekani(USA).

Dr. Martin Luther King JR. alikuwa ni mchungaji/pastor na mwanaharakati kiongozi wa Civil right movement na wachambuzi wa mambo mbalimbali wanasema huyu ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana akiwa anahutubia watu na kujenga hoja, kushawishi watu wanaomsikiliza na hakika katika karne ya 21 hajatokea mwingine zaidi yake duniani.

Falsafa yake ya passive na non violent resistance, misimamo yake thabiti ya kile anachokiamini na hasa upendo wake kwa wengine vilimfanya awe kipenzi cha wengi.
Hotuba zake nyingi zipo mtandaoni tafuta hii inayoitwa
- BEYOND VIETNAM,
- THE OTHER AMERICA,
- THE CASUALTIES OF THE VIETNAM WAR,
- I've been to the mountaintop nk,nk,nk.

Nyingine hii alipanga kuitoa lakini aliuawa kabla ya kuhutubu,
- Why America May Go to Hell.

Ninapomtafakari huyu mwanaharakati akiwa kama binadamu mimi binafsi sioni madhaifu yake, yani kama tulivyo binadamu wengi tuna mapungufu kama chuki dhidi ya wenzetu, sifa, tamaa, hasira, wivu, kulipa visasi, wagumu kusamehe, wabinafsi na tunapenda sana ukuu au madaraka/mamlaka na mengine mengi sana.

Sasa Martin Luther King JR. naona tu zile hulka zake nzuri daima inawezekana humu wapo wanaomfahamu vizuri huyu mtu zaidi nimjuavyo kwa mapungufu yake kama kweli yapo waeleze hapa ili tuyafahamu .
Tuna mtukufu sana wa karne ya 21 yupo Tz anaitwa sizonje yy hadi ana malaika wanaoshuka akiomba kuja kuzima hata social networks
 
Elezea basi alivyokuwa mzinifu, alizini na nani weka na reliable source tafadhari.
La uzinifu mkuu halina ubishi na linajulikana wazi. Hata mke wake Coretta katika baadhi ya interview alishakiri kuwa kuna kipindi hata aliwaza talaka.

Mleta mada naona ana mapenzi mahaba kiasi cha kukufuru. HAKUNA BINADAMU ALIYE MKAMILIFU NA ASIYE NA MAPUNGUFU. Mleta mada angeeleweka zaidi kama angejikita katika uadilifu katika harakati na falsafa zake.

Tunapozungumza juu ya viongozi hawa tutambue kuwa nao walikuwa binadamu na tujaribu kutenganisha harakati zao na ubinadamu wao. Mohammed Ali amekufa shujaa pamoja na ukweli kwamba yeye alikuwa ni womanizer wa waziwazi akisafiri na wanawake tofauti tofauti katika mapambano yake mbalimbali. Mema aliyotenda na alichokuwa akikipigania vinafunika mapungufu ya kibinadamu unless kama tunatafuta malaika!

Namheshimu sana Mwl. Nyerere (wahafidhina wa Kiarabu hasa Faiza na Mohammed Said mtanisamehe) si kwa sababu hakuwa na kasoro za kibinadamu bali ni kutokana na ukweli kwamba harakati zake na falsafa zake alizoziamini aliziishi. Aliamini kabisa kabisa katika uhuru wa mtu mweusi pamoja na ujamaa wake; na alichukia rushwa na ufisadi kwa maneno na vitendo. Siyo hii mianasiasa iliyomfuatia inasema hichi halafu inatenda hichi.
 
01:King attempted suicide as a young boy.

When King was 12, he attended a parade against his parents' wishes. His maternal grandmother suffered a fatal heart attack that day. King blamed himself for her death, because his six-year old little brother A.D., whom he was supposed to be home watching, accidentally knocked their grandmother unconscious while sliding down a bannister. Young Martin did not know the unconsciousness was unrelated to the heart attack. Associating his absence with the tragic turn of events, Martin attempted suicide by jumping from a second-story window in his family home. His father later reported that the boy was distraught for days, unable to sleep.

This sense of melancholy, while perfectly understandable, and a sign of his love for his grandmother, presaged the bouts of depression King experienced over philosophical divisions within the Civil Rights Movement (i.e. militants vs. nonviolent activists), and the challenges of the Poor People's Campaign. Of his grandmother's death, King said, "It was after this incident for the first time that I talked at any length on the doctrine of immortality. My parents attempted to explain it to me and I was assured that my grandmother stil lived." On the eve of his own death, King preached, "Longevity has its place. But I'm not concerned about that now. I just want to do God's will. And He's allowed me to go up to the mountain. And I've looked over. And I've seen the promised land. I may not get there with you."

02:plagiarism in Speeches – King’s efforts in civil rights activism led him to the 1963 “March on Washington”, where he delivered his “I Have A Dream” speech. There, he expanded American values to include his vision of a color-blind society and established his reputation as a great orator – but should he have this reputation?

f595e8b0ef1ba31415a24ed26bf96591.jpg


Archibald Carey, Jr. originated MLK’s “I Have a Dream” speech.

King plagiarized the “I Have A Dream” speech from one given at the Republican Convention in 1952 given by Archibald J. Carey, Jr., an an African-American lawyer, judge, alderman, diplomat and clergyman from the south side of Chicago.

Carey’s speech spun off the words of the song “My Country ‘Tis of Thee – America”, the American patriotic song written by Samuel Francis Smith. There are no easily obtainable copies of the audio of his speech but the text of the ending is here:

We, Negro Americans, sing with all loyal Americans: My country ’tis of thee, Sweet land of liberty, Of thee I sing. Land where my fathers died, Land of the Pilgrims’ pride From every mountainside Let freedom ring!

That’s exactly what we mean – from every mountain side, let freedom ring. Not only from the Green Mountains and White Mountains of Vermont and New Hampshire; not only from the Catskills of New York; but from the Ozarks in Arkansas, from the Stone Mountain in Georgia, from the Blue Ridge Mountains of Virginia–let it ring not only for the minorities of the United States, but for the disinherited of all the earth–may the Republican Party, under God, from every mountainside, LET FREEDOM RING!
Tayari mmeshakimbilia Google na Wikipedia kukopi na ku-paste. Aaaargh!!!
 
Unavyo muona King ni kama Indians wanavyo mwona Gandhi.
Nikimaanisha despite Gandhi kua mpigania uhuru nk alikua miongoni mwa binadamu waovu sana.
So the same applies to Martin... Sijui uchafu wake all I know is hakuna mwanadamu asie na mapungufu.
Yesu alikua na mapungufu sembuse huyo.
Umenitoa nje ya mada kidogo. Yesu alikua na mapungufu gani? Yameelezwa/andikwa katika kitabu gani ama chapisho gani?
 
Jamaa alikuwa kichwa hiv kwa Africa unaweza kumfananisha na nani
Dr. James Emman Kwegir Aggrey huyu aliishi (October 18, 1875 – July 30, 1927)
ni mghana lakini ni FORGOTTEN HEROE.
Tofauti ya huyu na King ni kwenye influence King alifanikiwa sana kwa kuwa na ushawishi mkubwa, huyu hakuwa na ushawishi mkubwa.

Hapa nimemnukuu anasema hivi...
“YOU CAN PLAY SOME MUSIC
ON THE BLACK KEYS OF AN ORGAN;
YOU CAN PLAY SOME MUSIC ON THE WHITE KEYS;
BUT TO MAKE THE BEST MUSIC,
YOU NEED BOTH THE BLACK AND WHITE KEYS”.
 
La uzinifu mkuu halina ubishi na linajulikana wazi. Hata mke wake Coretta katika baadhi ya interview alishakiri kuwa kuna kipindi hata aliwaza talaka.

Mleta mada naona ana mapenzi mahaba kiasi cha kukufuru. HAKUNA BINADAMU ALIYE MKAMILIFU NA ASIYE NA MAPUNGUFU. Mleta mada angeeleweka zaidi kama angejikita katika uadilifu katika harakati na falsafa zake.

Tunapozungumza juu ya viongozi hawa tutambue kuwa nao walikuwa binadamu na tujaribu kutenganisha harakati zao na ubinadamu wao. Mohammed Ali amekufa shujaa pamoja na ukweli kwamba yeye alikuwa ni womanizer wa waziwazi akisafiri na wanawake tofauti tofauti katika mapambano yake mbalimbali. Mema aliyotenda na alichokuwa akikipigania vinafunika mapungufu ya kibinadamu unless kama tunatafuta malaika!

Namheshimu sana Mwl. Nyerere (wahafidhina wa Kiarabu hasa Faiza na Mohammed Said mtanisamehe) si kwa sababu hakuwa na kasoro za kibinadamu bali ni kutokana na ukweli kwamba harakati zake na falsafa zake alizoziamini aliziishi. Aliamini kabisa kabisa katika uhuru wa mtu mweusi pamoja na ujamaa wake; na alichukia rushwa na ufisadi kwa maneno na vitendo. Siyo hii mianasiasa iliyomfuatia inasema hichi halafu inatenda hichi.
Ambatanisha hiyo interview ya Coretta tumsikie.
 
Martin Luther King ni mmoja ya watu ninao waheshimu sana duniani. nawaheshimu sana. wapo watu kadhaa wasiozid 5 ninaowaheshimu sana. sana duniani. and this man is one of them. ukisikiliza speeches zake yu will discover he was an orator, he was the speaker and the speech himself aliongea toka moyoni kwa kile alichoamini. ukisikiliza i have a dream, au i have been to the mountain top, utanielewa. mimi nina audios zake zote. the man alikuwa akihubiri upendo na alifanya upendo.

kibinadamu alikuwa na mapungufu yake lakini yasingeweza kuficha mazuri yake. hakuwa mtakatifu lakini alihusika kwa kiasi kikubwa kuibadilisha dunia ya leo. ni mmoja kati ya watu wenye akili sana na mwanamapinduzi.
Kati ya watu 5 unaowaheshimu sana duniani umemtaja mmoja ni King, wengine ni nani hao wataje tuwafahamu.
 
*UJUMBE MZITO WA PAPA FRANCIS*

*Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu. Tunayo manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni wa kusameheana.*

*Msamaha ni nguzo au msingi wa utulivu wa akili na uhai wa roho zetu. Kama hakuna msamaha, familia inakuwa uwanja wa migogoro na mlipuko wa ugomvi. Panapokosekana msamaha, familia inaugua. Msamaha unahuisha moyo, kwa kusafisha fikra na kuufanya moyo kuwa huru. Binadamu asiyesamehe hana amani moyoni na wala hana urafiki au muunganiko na Mungu.*

*Maumivu ni sumu inayodhuru na kuua. Hebu kiponye kidonda hicho cha moyo endapo kuna dalili za kujiumiza. Mtu asiyesamehe anajisababishia mwenyewe ugonjwa wa mwili, kiakili na kiroho. Ndiyo maana familia inapaswa kuwa sehemu ya uhai na si kifo; eneo la uponyaji na sio mahali pa magonjwa; jukwaa la msamaha na si la uovu. Msamaha huleta furaha pale uchungu ulipoleta maumivu; huleta uponyaji hata pale ambapo maumivu yalisababisha magonjwa.*

Ujumbe huu wa Baba Mtakatifu umfikie kila mmoja wetu leo katika familia yake. Leo basi tuutafakari ujumbe huo muhimu.

*TUMSIFU YESU KRISTO*
 
Kuna movie J Edger Hoover, inahusu maisha ya mkurugenzi wa upelelezi wa Marekani wa miaka ya 60, 70, katika moja ya jambo alilofanya ni kufuatilia/kunasa kwa siri maongezi ya simu au mambo anayofanya MLK ofisini. Ndipo vitendo hivyo viliponaswa pia.
Je una uhakika ulichokiona kwenye hiyo movie ni halisi?
 
View attachment 466257

“And I say to you, I have also decided to stick to love. For I know that love is ultimately the only answer to mankind's problems. And I'm going to talk about it everywhere I go. I know it isn't popular to talk about it in some circles today. I'm not talking about emotional bosh when I talk about love, I'm talking about a strong, demanding love. And I have seen too much hate. I've seen too much hate on the faces of sheriffs in the South. I've seen hate on the faces of too many Klansmen and too many White Citizens Councilors in the South to want to hate myself, because every time I see it, I know that it does something to their faces and their personalities and I say to myself that hate is too great a burden to bear. decided to love.”

Namtafakari sana huyu ndugu Martin Luther King JR. maisha yake namna alivyoishi na watu wa rika zote na kujitoa katika kupigania haki za watu weusi huko Marekani(USA).

Dr. Martin Luther King JR. alikuwa ni mchungaji/pastor na mwanaharakati kiongozi wa Civil right movement na wachambuzi wa mambo mbalimbali wanasema huyu ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana akiwa anahutubia watu na kujenga hoja, kushawishi watu wanaomsikiliza na hakika katika karne ya 21 hajatokea mwingine zaidi yake duniani.

Falsafa yake ya passive na non violent resistance, misimamo yake thabiti ya kile anachokiamini na hasa upendo wake kwa wengine vilimfanya awe kipenzi cha wengi.
Hotuba zake nyingi zipo mtandaoni tafuta hii inayoitwa
- BEYOND VIETNAM,
- THE OTHER AMERICA,
- THE CASUALTIES OF THE VIETNAM WAR,
- I've been to the mountaintop nk,nk,nk.

Nyingine hii alipanga kuitoa lakini aliuawa kabla ya kuhutubu,
- Why America May Go to Hell.

Ninapomtafakari huyu mwanaharakati akiwa kama binadamu mimi binafsi sioni madhaifu yake, yani kama tulivyo binadamu wengi tuna mapungufu kama chuki dhidi ya wenzetu, sifa, tamaa, hasira, wivu, kulipa visasi, wagumu kusamehe, wabinafsi na tunapenda sana ukuu au madaraka/mamlaka na mengine mengi sana.

Sasa Martin Luther King JR. naona tu zile hulka zake nzuri daima inawezekana humu wapo wanaomfahamu vizuri huyu mtu zaidi nimjuavyo kwa mapungufu yake kama kweli yapo waeleze hapa ili tuyafahamu .


Aliiba Jina ambalo siyo lake na kulifanya lake, Martin Luther ni Mwanamapinduzi hasa aliyeibadilisha Dunia ya leo kama tuijuavyo, Martin Luther original ndiyo chanzo cha Makanisa yote Duniani kuanzia British Anglican church, Danish Church, Swedish Church, US Baptist Church, kwa kifupi Kanisa lolote lile la Kizungu lisilo sehemu ya Kanisa Katoliki leo lilianzishwa na Martin Luther original, hivyo huyu wa Martin Luther King wa USA ameiba tu jina na kuligeuza lake na amefanikiwa kiasi kwamba kuna binadamu wengi wanafikiri Martini Luther Mwanamapinduzi ndiyo huyu mchumia tumbo wa USA, kumbe siyo!
 
*UJUMBE MZITO WA PAPA FRANCIS*

*Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu. Tunayo manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni wa kusameheana.*

*Msamaha ni nguzo au msingi wa utulivu wa akili na uhai wa roho zetu. Kama hakuna msamaha, familia inakuwa uwanja wa migogoro na mlipuko wa ugomvi. Panapokosekana msamaha, familia inaugua. Msamaha unahuisha moyo, kwa kusafisha fikra na kuufanya moyo kuwa huru. Binadamu asiyesamehe hana amani moyoni na wala hana urafiki au muunganiko na Mungu.*

*Maumivu ni sumu inayodhuru na kuua. Hebu kiponye kidonda hicho cha moyo endapo kuna dalili za kujiumiza. Mtu asiyesamehe anajisababishia mwenyewe ugonjwa wa mwili, kiakili na kiroho. Ndiyo maana familia inapaswa kuwa sehemu ya uhai na si kifo; eneo la uponyaji na sio mahali pa magonjwa; jukwaa la msamaha na si la uovu. Msamaha huleta furaha pale uchungu ulipoleta maumivu; huleta uponyaji hata pale ambapo maumivu yalisababisha magonjwa.*

Ujumbe huu wa Baba Mtakatifu umfikie kila mmoja wetu leo katika familia yake. Leo basi tuutafakari ujumbe huo muhimu.

*TUMSIFU YESU KRISTO*


Usichanganye Martin Luther King (USA) na Martin Luther Mwanamapinduzi, ni watu wawili tofauti kabisa!
 
Martin Luther King ni mmoja ya watu ninao waheshimu sana duniani. nawaheshimu sana. wapo watu kadhaa wasiozid 5 ninaowaheshimu sana. sana duniani. and this man is one of them. ukisikiliza speeches zake yu will discover he was an orator, he was the speaker and the speech himself aliongea toka moyoni kwa kile alichoamini. ukisikiliza i have a dream, au i have been to the mountain top, utanielewa. mimi nina audios zake zote. the man alikuwa akihubiri upendo na alifanya upendo.

kibinadamu alikuwa na mapungufu yake lakini yasingeweza kuficha mazuri yake. hakuwa mtakatifu lakini alihusika kwa kiasi kikubwa kuibadilisha dunia ya leo. ni mmoja kati ya watu wenye akili sana na mwanamapinduzi.


Niambie kaibadilisha vipi Dunia Martin Luther King? Sema labda kaibadilisha USA lkn siyo Dunia!
 
Alipingana na sheria za kanisa katoliki.


Hata wewe unachanganya Martin Luther King mchumia tumbo wa USA na Martin Luther original Mwanamapinduzi, ni watu wawili tofauti mmoja ni wa USA King alikufa miaka ya 60' mwingine ni Mjerumani aliyeishi karne ya 16 huko, kuwa mwangalifu hapo, ni watu wawili tofauti kabisa!
 
Back
Top Bottom