Binadamu atakufa safari tisa ndo amuone Mungu

Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
Hmm!🤔🤔
 
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake


Nadharia isiyokuwa na mashiko.

Mtu akifa mwili wake unabaki hapa duniani na kuoza na Roho yake inakwenda katika kaburi la roho linaloitwa Barzakh, katika kaburi hilo Roho inalala "usingizi" ikisubiri kufufuliwa katika ZAMA (siku) ya akhera, katika siku/zama za akhera roho inafufuliwa kutoka Barzakh kuingia katika ulimwengu wa akhera kama jinsi mtoto anapozaliwa kuingia duniani, huko akhera ni ulimwengu wa Roho ambapo roho zitaachwa zipevuke kabla ya kusimamishwa KIAMA/hukumu kwa ajili ya kuingizwa peponi au motoni au kusamehewa kulingana na matendo ya mtu alipokuwa hapa duniani, pepo ni ya milele na moto ni wa muda fulani kwa ajili ya kuwaadhibu wakosefu na baada ya adhabu kali na ya muda mrefu wakosefu wataingizwa peponi.

Kwa kifupi hiyo ndio falsafa ya kifo na ufufuko.
 
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
Inasemekana wapi ndugu? Tupe references!.
 
Haya yatakuwa mafundisha ya kumpa Mtu matumaini ya uharibifu kwenye hii Dunia akitegemea kwenda kuishi sehem nyingine kwa furaha
 
Watu bwana, tumamshambukia mleta mada badala ya mada yenyewe, hivi tutajufungua kwenye box mpaka lini? Hivi kwanini ni wagumu sana kusikia kile kilichotofauti na kile yunachokiamini?
Ungetoa na maandiko mkuu ili tupingane kwa hoja, sasa mtu anaota ndoto zake baada ya kufakamia 'vitoko' halafu analeta huku.
 
Nadharia isiyokuwa na mashiko.

Mtu akifa mwili wake unabaki hapa duniani na kuoza na Roho yake inakwenda katika kaburi la roho linaloitwa Barzakh, katika kaburi hilo Roho inalala "usingizi" ikisubiri kufufuliwa katika ZAMA (siku) ya akhera, katika siku/zama za akhera roho inafufuliwa kutoka Barzakh kuingia katika ulimwengu wa akhera kama jinsi mtoto anapozaliwa kuingia duniani, huko akhera ni ulimwengu wa Roho ambapo roho zitaachwa zipevuke kabla ya kusimamishwa KIAMA/hukumu kwa ajili ya kuingizwa peponi au motoni au kusamehewa kulingana na matendo ya mtu alipokuwa hapa duniani, pepo ni ya milele na moto ni wa muda fulani kwa ajili ya kuwaadhibu wakosefu na baada ya adhabu kali na ya muda mrefu wakosefu wataingizwa peponi.

Kwa kifupi hiyo ndio falsafa ya kifo na ufufuko.
Falsafa Ya kwako ina mashiko kwa sababu gani?
 
Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
Obvious ukifa halafu ukazaliwa upya ukaanza kukua kuanzia utotoni, huwezi kuwa na kumbukumbu ya wewe kuwahi kuwepo kwa sababu HARD DISK yako ambayo ni UBONGO, itakuwa imefuta kila kitu na itaanza kurekodi upya kuanzia utotoni.

Ukiondoa Maandiko Matakatifu ambayo ndiyo hasa yanayotuthibitishia uwepo wetu kwa mara ya kwanza hapa dunini, isingekuwa rahisi kusema kuwa hatukuwahi kuwepo hapa duniani au kwenye sayari nyingine yoyote ile, kutokana na sababu niliyoitaja hapa juu, assuming Maandiko Matakatifu hayo yasingekuwepo
 
Sasa mleta mada unaposema "Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi katika sayari tisa kabla ya kukutana na Mungu" alafu hapo hapo unasema kuwa "Inasemekana" tukuelewe vipi?!
~ Tuthibitishie hiyo hakika
~ "Inasemekana" inabeba maana ya kweli au si kweli. Msimamo wako ni upi sasa?
 
Nadharia isiyokuwa na mashiko.

Mtu akifa mwili wake unabaki hapa duniani na kuoza na Roho yake inakwenda katika kaburi la roho linaloitwa Barzakh, katika kaburi hilo Roho inalala "usingizi" ikisubiri kufufuliwa katika ZAMA (siku) ya akhera, katika siku/zama za akhera roho inafufuliwa kutoka Barzakh kuingia katika ulimwengu wa akhera kama jinsi mtoto anapozaliwa kuingia duniani. KIAMA/hukumu kwa ajili ya kuingizwa peponi au motoni au kusamehewa kulingana na matendo ya mtu alipokuwa hapa duniani, pepo ni ya milele na moto ni wa muda fulani kwa ajili ya kuwaadhibu wakosefu na baada ya adhabu kali na ya muda mrefu wakosefu wataingizwa peponi.

Kwa kifupi hiyo ndio falsafa ya kifo na ufufuko.
Hivi mkuu Mokaze, unajua hata hili ulisemalo pia ni nadharia?
Hakuna aliyewahi kwenda huko akarudi kututhibitishia haya so kuna watu pia hawaamini ulisemalo.
Haya mambo ni magumu sana. Ndiomana mwisho wa siku kila mtu anaamini akili yake itakavyomtuma.
 
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
Eeeeh
Pep mambo ni mengi baba.
 
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu

Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia ilikuwa Sayari ya mwisho kuishi kwa Adam

Sasa iko hivi binadamu unatakiwa kuishi miaka 100 kila sayari,na Dunia ndo sayari ya mwisho kwa Adam hivyo Dunia itakuwa sayari ya kwanza kwenda kwenye Sayari zingine zile zenye uhai na si hizi ambazo umesoma kwenye sayansi

Zipo sayari zingine zinazofanana kila kitu na Dunia na ndo safari ya maisha ya binadamu akielekea sayari nyingine

Binadamu akifa baada ya miezi tisa atazaliwa kwa mwanamke katika sayari nyingine

Endapo alikufa akiwa na umri wa miaka 40 atazaliwa kwenye sayari nyingine ambayo kule ataishi miaka 120 ndo atakufa tena na kuzaliwa kwenye sayari ya tatu

Kwa maana hiyo ikiwa binadamu amekufa kabla ya miaka 100 hivyo sayari inayofuata ataishi miaka mingi zaidi ili kufidia maisha ya sayari iliyopita

Kama atakutana na changamoto za kufa kabla ya miaka 100 kwa kila sayari ya kwanza mpaka ya sita basi Sayari ya Saba mpaka tisa changamoto za kukatisha maisha yake zitaondolewa na atafidia maisha ya miaka 900 ili amuone mungu

Pia hii inaenda sambamba na wanyama,na viumbe hai wengine

Pia inasemekana binadamu ukiwa unazaliwa kwenye sayari nyingine hutakuwa na uwezo na kumbukumbu kuwa umewahi kuishi ila kumbukumbu zitaanza kurejea utakapofikisha miaka 700 kwenye sayari ya saba na nane ambapo utakuwa muda wa kurekebisha uhai wa maisha yake
Lipo eneo Russia ambalo lina wakazi 50, hawa jamaa eneo wanaloishi binaadamu wa kawaida hawezi kufika mpaka kwa ruhusa maalumu kutoka kwa wakazi wa eneo hilo, eneo hilo limekuwa na mionzi na bacteria wa kila aina na hali hiyo imefanya binaadamu wa kawaida asiweze kuishi kabisa labda aingie kwa kuvaa vifaa maalumu

Kinachofanya niandike hapa leo hii ni namna maisha ya hao watu 50 wanaoishi katika huo mji ni kuwa wanaishi miaka mingi na wakifa, baada ya kuzikwa, yule aliyekufa anazaliwa tena pale pale kwenye ule mji, atazaliwa na kumbukumbu za maisha yake ya awali na ataishi na atakufa na atazaliwa tena na mzunguko utakuwa hivyo milele,

Eneo hilo linapatikana Russia, niko natafuta link niiambatanishe hapa, ama unaweza tembelea tovuti ya SCP foundation huko utajua mengi ambayo hauyajui kuhusu huu ulimwengu na maajabu yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom