Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kifo ni kitu kibaya sana! Maumivu wakati wa kukata roho ni siri ya marehemu na Mungu wake... ( Hakuna wa kuthibitisha hili )!!
Kila mtu atakufa , utake usitake ! Kwa kifupi sisi ni marehemu watarajiwa.
Binadamu anapokata roho ni lazima atoe uchafu wote mwilini.
Uchafu maana ake kinyesi (mavi) , mkojo na mbegu za kiume au za kike ( kama anazo)!
Sijajua ni mechanism ipi inayosababisha binadamu anapokata roho ni lazima atoe mbegu zake za kiume au kike.
Swali fikirishi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu atakufa , utake usitake ! Kwa kifupi sisi ni marehemu watarajiwa.
Binadamu anapokata roho ni lazima atoe uchafu wote mwilini.
Uchafu maana ake kinyesi (mavi) , mkojo na mbegu za kiume au za kike ( kama anazo)!
Sijajua ni mechanism ipi inayosababisha binadamu anapokata roho ni lazima atoe mbegu zake za kiume au kike.
Swali fikirishi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app