Binadamu anakoma kurefuka kimo akiwa na umri gani?

Bandu Ncheche

JF-Expert Member
Jul 9, 2016
512
324
Ni hilo tu nataka kufahamu,nimeuliza hivyo baada ya kugundua kuwa mtu aliyekuwa ananizidi kimo nikiwa na miaka 21 yeye akiwa na miaka 31 Sasa hivi namzidi kimo.
 
Hapana mkuu. Sidhan kama kuna mtu anarefuka mpk akiwa na miaka 30. Kwa mujibu wa sigmoid curve ni miaka 23-26 unakua umefika mkojo wa ukuaji. Baada ya hapo unaenda constant mpk 75-80 unarud nyuma kidogo(unarud utoto)
hapo kwenye kurudi mtoto ndio sipataki.... Yaani nashindwa kusema kukojoa nasema ataka jojoa..
 
hapo kwenye kurudi mtoto ndio sipataki.... Yaani nashindwa kusema kukojoa nasema ataka jojoa..
Hahaaa hapo ndo penyewe. Nakumbuka bibi yangu Alikua anadokoa nyama jikoni anaficha kwenye nguo.....full vituko yani km mtoto. Mkewangu alilalamika weee ila baadae tulikua tunaenjoy tu kafanya kipi jipya leo
 
Hahaaa hapo ndo penyewe. Nakumbuka bibi yangu Alikua anadokoa nyama jikoni anaficha kwenye nguo.....full vituko yani km mtoto. Mkewangu alilalamika weee ila baadae tulikua tunaenjoy tu kafanya kipi jipya leo
hakuna kitu naogopa kama kuzeeka
 
Hahaaa hapo ndo penyewe. Nakumbuka bibi yangu Alikua anadokoa nyama jikoni anaficha kwenye nguo.....full vituko yani km mtoto. Mkewangu alilalamika weee ila baadae tulikua tunaenjoy tu kafanya kipi jipya leo
ilikuwa ndio tabia yake utotoni.
Wapo akina bibi wengine wanawasumbua Sana vijana mitaani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom