Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 324
Ni hilo tu nataka kufahamu,nimeuliza hivyo baada ya kugundua kuwa mtu aliyekuwa ananizidi kimo nikiwa na miaka 21 yeye akiwa na miaka 31 Sasa hivi namzidi kimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikomo 30Ni hilo tu nataka kufahamu,nimeuliza hivyo baada ya kugundua kuwa mtu aliyekuwa ananizidi kimo nikiwa na miaka 21 yeye akiwa na miaka 31 Sasa hivi namzidi kimo.
Vipi kwenye upande wa akili?Kikomo 30
Duuu kumbe! Mimi nilijua 20 mwishoKikomo 30
Vipi kwenye upande wa akili?
Ukizaliwa mpaka miaka 2 ubongo unakua haraka sana, 2-5 unakuwa kwa speed ya kawada to 30-50 ukifika 80 unaanza kupungua kuwa kama ulivyozaliwa. Kuna wenye genes nzuri mpaka 100 ubongo uko intactVipi kwenye upande wa akili?
Akili inakoma kukua pale unapokua mbunge
Wa chama gani?Akili inakoma kukua pale unapokua mbunge
bila shaka chama cha kijani.Wa chama gani?
Akili inakoma kukua pale unapokua mbunge
Hapana mkuu. Sidhan kama kuna mtu anarefuka mpk akiwa na miaka 30. Kwa mujibu wa sigmoid curve ni miaka 23-26 unakua umefika mkojo wa ukuaji. Baada ya hapo unaenda constant mpk 75-80 unarud nyuma kidogo(unarud utoto)😂😂Kikomo 30
hapo kwenye kurudi mtoto ndio sipataki.... Yaani nashindwa kusema kukojoa nasema ataka jojoa..Hapana mkuu. Sidhan kama kuna mtu anarefuka mpk akiwa na miaka 30. Kwa mujibu wa sigmoid curve ni miaka 23-26 unakua umefika mkojo wa ukuaji. Baada ya hapo unaenda constant mpk 75-80 unarud nyuma kidogo(unarud utoto)
Hahaaa hapo ndo penyewe. Nakumbuka bibi yangu Alikua anadokoa nyama jikoni anaficha kwenye nguo.....full vituko yani km mtoto. Mkewangu alilalamika weee ila baadae tulikua tunaenjoy tu kafanya kipi jipya leohapo kwenye kurudi mtoto ndio sipataki.... Yaani nashindwa kusema kukojoa nasema ataka jojoa..
hakuna kitu naogopa kama kuzeekaHahaaa hapo ndo penyewe. Nakumbuka bibi yangu Alikua anadokoa nyama jikoni anaficha kwenye nguo.....full vituko yani km mtoto. Mkewangu alilalamika weee ila baadae tulikua tunaenjoy tu kafanya kipi jipya leo
hakuna kitu naogopa kama kuzeeka
Kwa ulozi wako unaweza kuchinja watu kupata kitoweo. Bora usizeeke
ilikuwa ndio tabia yake utotoni.Hahaaa hapo ndo penyewe. Nakumbuka bibi yangu Alikua anadokoa nyama jikoni anaficha kwenye nguo.....full vituko yani km mtoto. Mkewangu alilalamika weee ila baadae tulikua tunaenjoy tu kafanya kipi jipya leo