Mtu anayejulikana kwa jina la Iman Paulo wa kijiji cha Muhange, amemtafuna mfanyakazi wake uso wote, pua, macho, maskio na mdomo wote. Aliyetafunwa anaitwa Sununu,baada tendo ili jamaa huyu alimkamata mbwa na kumniga na akala ulimi wa huyo mbwa. Majeruh amelazwa hospitali ya Kibondo.
Paulo Iman anashikiliwa na vyombo vya dola.
Chanzo: Radio kwizera fm
Paulo Iman anashikiliwa na vyombo vya dola.
Chanzo: Radio kwizera fm