Bimmer na Landcruiser V8

Tulipata cruza 1hd moja no AFB mileage 400k jamaa akawa hataki chukua ati imetembea sana ...chuma ni mpya hata ukiwasha huwezi amini kama ni ya 2004.....tukamwambia hio mileage kwa hio gari bado sana
 
Mm ndo nilianzisha huo mjadala wa engine yenye cc nyingi ila output kidogo kudumu zaidi hata kuchemka sio rahisi...

At first nilivoona audi nikasema hii kitu ya 2l inatoa 190hp sio mchezo maana hp kama hizo za diesel ambayo imepatikana let say kwenye 3800rpm hadi 4100rpm basi jua torque ipo between 380 to 440nm hio torque si kidogo hata 2L diesel engine kutoa 190hp basi jua kinachoendelea kwenye cylinder sio kitu cha kitoto...

Kuna kipindi nikaona basi yale ma 1hz, 1hd ni makubwa jinga cc nyingi output kama ya 2L....


Kuna kipindi tukapata safari tuko na coaster DRN 1HZ trip ya 1000km+ tumepita mikoa kama minne mitano hivi kupumzika ni kwenda kula tu chuma inabaki silence....coaster imejaa mizigo watu pia wamejaa ila tulitembea jumla masaa 16 toka tumeanza safari hadi kufika tuendako kabisa ..nikawaza kale ka 1hz ndo kalitubeba watu wote wale na kuna sehemu iko speed tu vizuri wala husikii ikilalamika ..na ukiwaza hio engine haina 150hp na kuna audi 2l yenye 190hp hata kwa akili ya kawaida unajua kabisa ile engine ikifungwa hapo ingeteseka sana sometime hata kuchemka kabisa ( kurusha maji) japo imeizidi nguvu hio 1hz

Uhahisi kwann?? Ile engine ni ndogo imefosiwa na forced induction like turbo mpaka ikatoa output kubwa...hata kama power/torque figure inakaribia kufanana ila hio ya 2L haiwezi kazi inafanya hil 1hz
 
Yaani ikishaua Air suspension inashuka chini. Ground clearance inakuwa ndogo. Hii nimeona kwenye RR sijajua kama na kwenye LC inakuwa hivyo pia.

Kama uko porini. Kuua vitu huko uvunguni ni kufumba na kufumbua.
Tena hizo ndio SUV, nishakutana na MB moja coupe 4 doors mda kidogo TRA field nikauliza story yake, jamaa alipoteza funguo, kaleta watu kutoka Kenya imewashinda, ikabidi awasiliana na dealers wa MB, akawaonesha proof ya umiliki kila kitu, akatoa mapesa akatumiwa funguo yake, anapiga moto gari imewaka fresh, shida zikawa Air suspension hazipandi, zishakufa, hio gari ilikuwa imekaa miaka mingi sana jamaa anjichanga kulipa ushuru wake. Anakuja kuuliza air suspension bei yake nafikiri aliambiwa moja ni 2m au 4 kitu kama ivi, aliiacha tu, mpaka namaliza filed ile gari ipo pale na hio naambiwa ni story ya mda, yaani jamaa kama kaitelekeza ivi. Halafu hapo ilipolazwa, huwezi kwenda mbele wala kurudi nyuma bila kuvunja bumpers na kukwaruza chini, imeotewa na miti :D

Izo Air Suspension zina raha yake ila zikibuma shughuli si ndogo, nshatembezewa RR vogue hizi za 2005, jamaa kataka milioni 5, lakini Air suspension zote zimelala. Nlikuwa sina pesa ila ningeichukua nikaenda kuiwekea coil springs tu :D
 
Obviously aisee..
Hata mwili wa binadamu ukiwa stressed life span inayumba..

Hapa ndio unapofail....

Most ya zile gari nilizopost ambazo zimegonga 1m km zina turbo. Hapo unasemaje?
Ahhh ok.. Turbo charging.. Hii ni forced induction ya hewa kwenye block.. Engine itakuwa stressed.. Hii ndio tunaongelea muda wote..
How can you squeeze same hp ya bigger block kwenye smaller block bila kuistress!!!? Itakuwa stressed tuu na forced induction-turbo..!

Hizi ni theories bhana...

Kwa ground hayapo hivo.
 
Mm ndo nilianzisha huo mjadala wa engine yenye cc nyingi ila output kidogo kudumu zaidi hata kuchemka sio rahisi...

At first nilivoona audi nikasema hii kitu ya 2l inatoa 190hp sio mchezo maana hp kama hizo za diesel ambayo imepatikana let say kwenye 3800rpm hadi 4100rpm basi jua torque ipo between 380 to 440nm hio torque si kidogo hata 2L diesel engine kutoa 190hp basi jua kinachoendelea kwenye cylinder sio kitu cha kitoto...

Kuna kipindi nikaona basi yale ma 1hz, 1hd ni makubwa jinga cc nyingi output kama ya 2L....


Kuna kipindi tukapata safari tuko na coaster DRN 1HZ trip ya 1000km+ tumepita mikoa kama minne mitano hivi kupumzika ni kwenda kula tu chuma inabaki silence....coaster imejaa mizigo watu pia wamejaa ila tulitembea jumla masaa 16 toka tumeanza safari hadi kufika tuendako kabisa ..nikawaza kale ka 1hz ndo kalitubeba watu wote wale na kuna sehemu iko speed tu vizuri wala husikii ikilalamika ..na ukiwaza hio engine haina 150hp na kuna audi 2l yenye 190hp hata kwa akili ya kawaida unajua kabisa ile engine ikifungwa hapo ingeteseka sana sometime hata kuchemka kabisa ( kurusha maji) japo imeizidi nguvu hio 1hz

Uhahisi kwann?? Ile engine ni ndogo imefosiwa na forced induction like turbo mpaka ikatoa output kubwa...hata kama power/torque figure inakaribia kufanana ila hio ya 2L haiwezi kazi inafanya hil 1hz

Point yako ni nini?

Hapa mjadala ulikuwa kwenye speed na ukubwa wa engine.

Naona saiv umehamia kwenye mzigo.

Okay.

EA188 engine ya Audi haiwezi kuperform kwenye hiyo coster yako kwa sababu ya kuwa na Torque ndogo....
 
Tena hizo ndio SUV, nishakutana na MB moja coupe 4 doors mda kidogo TRA field nikauliza story yake, jamaa alipoteza funguo, kaleta watu kutoka Kenya imewashinda, ikabidi awasiliana na dealers wa MB, akawaonesha proof ya umiliki kila kitu, akatoa mapesa akatumiwa funguo yake, anapiga moto gari imewaka fresh, shida zikawa Air suspension hazipandi, zishakufa, hio gari ilikuwa imekaa miaka mingi sana jamaa anjichanga kulipa ushuru wake. Anakuja kuuliza air suspension bei yake nafikiri aliambiwa moja ni 2m au 4 kitu kama ivi, aliiacha tu, mpaka namaliza filed ile gari ipo pale na hio naambiwa ni story ya mda, yaani jamaa kama kaitelekeza ivi. Halafu hapo ilipolazwa, huwezi kwenda mbele wala kurudi nyuma bila kuvunja bumpers na kukwaruza chini, imeotewa na miti :D

Izo Air Suspension zina raha yake ila zikibuma shughuli si ndogo, nshatembezewa RR vogue hizi za 2005, jamaa kataka milioni 5, lakini Air suspension zote zimelala. Nlikuwa sina pesa ila ningeichukua nikaenda kuiwekea coil springs tu :D

Aiseeee hatari sana.
 
Mkuu wazungu walio tulitea haya, unafikiri hawakuwa reason kama wewe na hadi wakaamua kuleta hivyo vyuma? Kama vingekuwa nashida wasingetoa maana mambo mazuri mazuri yote yanatoka kwa mzungu.. Nimeona wanatoa VW R 4 cyl.. HP 400++

Nimemlete hivyo viinjini vidogo vyenye turbo na vimegonga kilometa milioni moja.

Sasa yeye alisema eti ingekuwa engine kuwa ingefanya mara mbili yake. Nikamuomba alete 1hdt and the likes ambayo ina kilometa milioni mbili.

Sijamuona tena.
 
Sasa huwezi jua jinsi zilivyokuwa zinaendeshwa..
Hapa tunazungumzia zikiwa zinashindana..
Engine kubwa ina max hp n torque kwenye lower rpms kuliko ndogo.. Kwahiyo wear n tear itakuwa ndogo..

Sasa zile gari inaonesha wanaendesha Wazee.. Nimewaona kwenye video.. Kwahiyo nina assume hazikuwa zikikanyagiwa vizuri..

kwa hiyo zilizokuwa zinakanyagiwa vizuri hazikutoboa 500000?
 
Sawa.

Kwanini hukutoa ushauri waachane na hizo engine ambazo unaona zipo stressed?

Tufanye unafanya kazi Porsche, washauri waachane na 3.8l inayotoa 650hp wahamie kwenye 6.7l ili wapate hiyo 650hp. Manake engine haiwi stressed.

Sasa bwana engineer, unaongeleaje Jeep Trackhawk yenye 6.2l inatoa 700hp? Manake ni turbo and super charged.

Tena kuna point hiyo 6.2L inafika mpaka 800+HP
 
Hii ndo mambo nabishana na wengi sana kwa madai au lile jibu la unadhan alioweka hivi hana akili?? Ni kama speedometer unakuta ka gari kana 1ton hp 80 afu speedo inasoma 240kph na yeye akili zake anajua akikanyaga anafika hio speed ukimwambia anakwambia kwan alioweka hana akili 😁
240kph itafika sababu uzito wake ni mdogo. easy mbona.
 
Hahaha aisee hii kitu haiwezekani..
Drag race...!!! Hivi unaelewa investment inayofanyika kwenye engines za gari unaona kwenye drag race..!!!? Internal parts zake ni stock!!? Head ni stock!!?
Fuatilia ufahamu how much inacost kupunguza 1/4 time by 1 sec.. Hizo engines sio stock... Wamezireinforce internals ile mbaya..!

Ubembeleze engine ya 3.5 na ife!!!?
Itakuwa na matatizo kutoka kiwandani..
Plus bongo matumizi ya magari sio mazuri..
Naunga mkono hoja kwa mikono miwili! Gari za performance internals zake ziko forged! Haziko sawa na za stock N/A!

Mfano engine ya 3S-GE unayoikuta kwenye rav 4, noah dume ama caldina ina variant yake 3S-GTE ambayo huwa inafungwa kwenye Caldina GT, Celica GT ama Altezza Sports.

Internals za GTE version zipo forged kwa ajili ya aggressive driving, turbocharger na kuhandle joto la hali ya juu sana compared na naturally aspirated 3S! Horsepower za GTE zinafika 256HP speed ni chap na gari haichoki sababu imeundwa for speeds and high revving! Wakati stock 3S-FE inacheza kati ya 126HP-154HP
 
Nimemlete hivyo viinjini vidogo vyenye turbo na vimegonga kilometa milioni moja.

Sasa yeye alisema eti ingekuwa engine kuwa ingefanya mara mbili yake. Nikamuomba alete 1hdt and the likes ambayo ina kilometa milioni mbili.

Sijamuona tena.
Hahaha Nipo.. Bado naitafuta..!
Au kuna deadline..!
 
Point yako ni nini?

Hapa mjadala ulikuwa kwenye speed na ukubwa wa engine.

Naona saiv umehamia kwenye mzigo.

Okay.

EA188 engine ya Audi haiwezi kuperform kwenye hiyo coster yako kwa sababu ya kuwa na Torque ndogo....
Point hapo ni hata kama power figures zinafanana ila characters zitapishana.. Inabidi uitazame graph ya power n torque output.. Engines zinatoa kwenye lower rpms kuliko engine ndogo.. Ndio tunasema ipo relaxed..!
 
Point hapo ni hata kama power figures zinafanana ila characters zitapishana.. Inabidi uitazame graph ya power n torque output.. Engines zinatoa kwenye lower rpms kuliko engine ndogo.. Ndio tunasema ipo relaxed..!

Hapo tukileta hata 2.5TDI inakaa kwenye hiyo coaster na inapiga mzigo wa maana.
 
Back
Top Bottom