Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,314
- 10,775
“I'm in my brand new car, who wanna race?”Niko na Fuga nani anataka rasing😎.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“I'm in my brand new car, who wanna race?”Niko na Fuga nani anataka rasing😎.
Ushasema TDI, huyo anapewa 1HD-FTE ananyooshwa af safi tuTdi 300 defender anapambana vizuri tu na hiyo hz tena ikiwa ziko kwenye high hills hz atakupa hasara ya wese maana itabidi utembelee gia kubwa wkt mwenzio yuko no5 ili angalau mwende sawa.
Uko na Fuga ipiNiko na Fuga nani anataka rasing.
Sababu iliyotolewa kwenye comments zilizopita kuwa 340i ni injini kubwa kuliko lc v8 tusilinganishe ndio hiyohiyo naitumia kukupinga juu ya hdt na tdi,how you dare compare those engines? Tdi2.5L na1hdt 4.2L both with turbo!Tdi ni injini ndogo kwa1hz lakini inaweza ku compete nae vizuri tu katika measures nyingi tu mfano speed with good fuel efficiency,offroading,durability nk ni kama mtoto aliyerushwa darasa na bado akashindana na wakubwa zake na hata kuwashinda.Ushasema TDI, huyo anapewa 1HD-FTE ananyooshwa af safi tu
Landrover nafikiri ni mazoea tu ila pia drivetrain yake nzuri ila kwa torque figures labda Td5 ndio anamzidi 1HZ!Aisee hivi kwanini LandRovers nyingi ndio zinatumika ku-tow magari.. Zina nguvu sana au ni cheaper kuliko
Mkuu 1Hz iko juu ya hio 300Tdi anachozidiwa ni turbo tu! Ila torque na HP hamkuti HZ!Sababu iliyotolewa kwenye comments zilizopita kuwa 340i ni injini kubwa kuliko lc v8 tusilinganishe ndio hiyohiyo naitumia kukupinga juu ya hdt na tdi,how you dare compare those engines? Tdi2.5L na1hdt 4.2L both with turbo!Tdi ni injini ndogo kwa1hz lakini inaweza ku compete nae vizuri tu katika measures nyingi tu mfano speed with good fuel efficiency,offroading,durability nk ni kama mtoto aliyerushwa darasa na bado akashindana na wakubwa zake na hata kuwashinda.
Aisee nahisi 1PZ ni weaker kuliko 1HZ.. Basically ni 1HZ yenye 5 cylinders..!Mkuu 1Hz iko juu ya hio 300Tdi anachozidiwa ni turbo tu! Ila torque na HP hamkuti HZ!
Ishu sio engine ndogo bali output mkuu na competitors wa hizo rover engines during their prime. Kulikuwa na 1PZ ya kwenye 76 series na 12ht ya kwenye 60 series. Hizi mashine naomba nisizigusie maana utapoteana.
Land rover inayojielewa ni kuanzia Td5 ya discovery hapo. Nayo ikipewa 1KZ-TE kinaumana😅
1PZ ni 5 cylinder variant ya 1HZ na 1HD-FT ni 24 Valves variant ya 1HZ yenye turbo!Aisee nahisi 1PZ ni weaker kuliko 1HZ.. Basically ni 1HZ yenye 5 cylinders..!
12ht👍🏾..!
LandRovers kama uliyosema kwenye milima wapo vizuri..
Enzi hizo manufactures walikuwa wanatengeneza engines to last.. LandRover na Landcruiser zilikuwa moto sana off road na ukitaka kufanya overland trip..!
"Rasing"Niko na Fuga nani anataka rasing.
350GUko na Fuga ipi
Brand new gan iyo. Itaje fuga yangu ya 2018😎😎“I'm in my brand new car, who wanna race?”
Oohh basi mtafute huyu ISO M.CodD ndiyo itapendeza zaidi maana magari yenu yanafanana halafu na yeye atakuwa na trip kadhaa mwezi huu. Sema yeye ana 350XV nadhani.350G
Boss, ile bar tu kwenye nyimbo ya Wiz KhalifaBrand new gan iyo. Itaje fuga yangu ya 2018😎😎
Umeshampanikisha msela aisee 😄😄Boss, ile bar tu kwenye nyimbo ya Wiz Khalifa
Bei ya kuinunua Land Rover 109 au 110 iliyotumika hapa Bongo ni ndogo hizo 109 unapata mpaka Kwa million 2, na service chache inafanya towing.Aisee hivi kwanini LandRovers nyingi ndio zinatumika ku-tow magari.. Zina nguvu sana au ni cheaper kuliko Landcruiser..!!?
1PZ ilikuwa nzuri kwenye mbio ilikuja na manual transmission 4 speed, ila ukiipa kazi nzito ilikuwa Ina Tatizo la kuchoma cylinder head gasket. Kuna baadhi ya Coaster pia zilikuja na 1PZ1PZ ni 5 cylinder variant ya 1HZ na 1HD-FT ni 24 Valves variant ya 1HZ yenye turbo!
Kwa power 1PZ iko low kwa 1HZ sema iko Torquey
Aisee hizi namba kuna wakati kwenye performance ni tofauti..Mkuu 1Hz iko juu ya hio 300Tdi anachozidiwa ni turbo tu! Ila torque na HP hamkuti HZ!
Kwenye mbio inatembea kweli😅1PZ ilikuwa nzuri kwenye mbio ilikuja na manual transmission 4 speed, ila ukiipa kazi nzito ilikuwa Ina Tatizo la kuchoma cylinder head gasket. Kuna baadhi ya Coaster pia zilikuja na 1PZ