Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,123
- 42,755
Unaweza ukawa Class one na bado ukawa mshamba tu, vipenzi havilingani na haujui wakandarasi na hujui pia companyo zote mkuu.. unajua kwa sehemu , mie circle yangu wapo hao wenye class one na wana gari za kijerumani ja hadi field wanaenda nazo huwezi jua watu woteHahah aisee,nilikua sijui aisee inawezekana hawa top dogs wa class 1 wakawa hawajui magari mazuri ahahah.