Bimmer na Landcruiser V8

Hizo GX zinamilikiwa na serikali, makampuni na taasisi kubwa.

Mantainance yake ni sawa na hizo za ujerumani, interms of expenses na time.

Ni vile individuals wachache ndo wanazimiliki na hawazipi kashkash kama za serikali. Nimeshafanya kazi na hizo gari, serikali inapeleka pale Toyota Tz bill inakuja 5 -6M na inalipa bila mawazo.

Ila msizione hiko barabarani mkaziona zni durable sana.

Wajapani wenzako wamekunja sura huko....

Wanatafuta namna wakuchome moto....

Mi nililetewa Vieite ilienda tu kigoma hivyo ikawa imetembea kwenye vumbi kipande kirefu... Iliwasha check engine kuja kupima MAF sensor ishafanya yake...

MAF sensor yake used 250k hadi 300k...

Sasa hapo kuna tofauti gani na mjerumani?
 
Mbona kama umetumia muda mwingi sana kumpita, sio kuwa jamaa alishuka kidogo mwendo uendelee na mbio zako?
Observation nzuri.. Hapo tulikuwa kwenye high speed.. Kwahiyo gari inachukua muda mrefu kutoka 160-210.. Tofauti na 60-110.. Hakupunguza mwendo..ungeona taa za brake zimewaka kama ameshika brake.. Mbio za panya zilifika ukingoni..!
 
Kabisa mkuu. Shida ni kwamba, vijana wakishanunua bmw 1 series ya m15 baasi wanaona wamemaliza na kutaka sifa za kijinga za kujidanganya kujilinganisha na LC sababu sahani yake inasoma juu ya 180 na mlango ukiufungua ni mzito.
Ume fail sana, ushindanishe BMw serise 1 ya 15 million na LC V8 .. papambanisha gari ambazo zipo class moja na thamani moja
 
Wajapani wenzako wamekunja sura huko....

Wanatafuta namna wakuchome moto....

Mi nililetewa Vieite ilienda tu kigoma hivyo ikawa imetembea kwenye vumbi kipande kirefu... Iliwasha check engine kuja kupima MAF sensor ishafanya yake...

MAF sensor yake used 250k hadi 300k...

Sasa hapo kuna tofauti gani na mjerumani?
Shockups OG za Toyota Harrier ni 1.4M.

Shockups OG za BMW X3 ni 1.3M.

Hizo ni shockups tu.

Set 1 ya taa za LC200 ni 1.2M.

Nenda huko Nduvini na garage za Toyota uzione hizo LC zilivyopaki.

Nilishawahi ona bill ya maintanance ya LC200 imefika 6M.

Wengi tunanunua vitu used tandale tunaona toyota ni nyepesi kuzimantain ila likija suala la kununua spare OG, tutahamia bajaj wote.

Angalia watu tunavyolia na magari kama Subaru, Mazda, Nissan n.k kwasababu hawana mambo ya kuungaunga.
 
.. Hakupunguza mwendo..ungeona taa za brake zimewaka kama ameshika brake..

Okay sir...

Ila mkuu si unajua kwa safari za mikoani/ndefu huwa si lazima ushike breki kupunguza mwendo, sehemu kama hizo mtu anataka kupita unaachia tu accelarator pad gari inapungua mwendo yenyewe...breki unaitumia pale tu unataka usimame kwa haraka au kwa ulazima...
 
Ume fail sana, ushindanishe BMw serise 1 ya 15 million na LC V8 .. papambanisha gari ambazo zipo class moja na thamani moja
LC 200 ina top 381hp.

LC 300 ina top 421hp top speed 260kph.

BMW X5M competition ina top 625hp top speed 300kph.

Hapo hujawaweka kina Cayenne Turbo, AMG GLE 63S n.k.

Halafu mtu anakwambia LC itafika haraka destination kabla ya hao wadudu.
 
LC 200 ina top 381hp.

LC 300 ina top 421hp top speed 260kph.

BMW X5M competition ina top 625hp top speed 300kph.

Hapo hujawaweka kina Cayenne Turbo, AMG GLE 63S n.k.

Halafu mtu anakwambia LC itafika haraka destination kabla ya hao wadudu.
Wapambe hao. Kuna vingine unaawaacha waendelee kujifurahisha huku wanajua ukweli.. LC inakaa kwa gari nyingi sana za ulaya bila matatizo huyo unampa tu hata Amarok V6 bado itamchapa
 
Okay sir...

Ila mkuu si unajua kwa safari za mikoani/ndefu huwa si lazima ushike breki kupunguza mwendo, sehemu kama hizo mtu anataka kupita unaachia tu accelarator pad gari inapungua mwendo yenyewe...breki unaitumia pale tu unataka usimame kwa haraka au kwa ulazima...
Aisee huwezi kusema umepunguza mwendo kwa kuachia accelerator pad.. Upo kwenye mteremko ukiachia pad gari inapungua mwendo!!!?
Hizo assumptions zinakuwa nyingi.. Sisi tucheze na taa za brake tuu..!usije sema labda taa mbovu..!
 
Aisee inaonesha mambo ya magari bado huyafahamu.. Video ya dashboard sina.. Ila angalia hiyo video.. Ina almost 60 secs.. Na imeanza kuchukuliwa teyari gari ipo kwenye mwendo.. Kwahiyo muda wote huo dakika nzima BMW inahangaika kufika 120kph..!!!
Isije ukawa unadhani ni ile BWM ya Rutashobya..!!!

View attachment 2022885
Hahahahaha...... sasa chief gari si ulikua unaendesha mwenyewe tuambie basi hapo wakati unampita ulikua speed ngapi?
 
Yawezekana we ndo ulikuwa unaona ligi, ye alikuwa anatembea kawaida tu, sometyms unakuta unatembea mwendo wako wa kawaida kabisa wa labda 120 maana ndo comfortable zone yako, kinatokea kimtu kime rev mpaka mwisho kabisa kinakupita then kinapunguza ukipite then kinakupita tena kinataka ligi, yani watu wengine wa ajabu kweli, hulipwi hufaidiki chochote na ata hamjuani anafanya mashindano ya kijinga, akipata ajali anapata asala tu,
Binafsi waga natembea na mwendo wa kuwa comfortable na kutumia kafuta vizuri
 
Yawezekana we ndo ulikuwa unaona ligi, ye alikuwa anatembea kawaida tu, sometyms unakuta unatembea mwendo wako wa kawaida kabisa wa labda 120 maana ndo comfortable zone yako, kinatokea kimtu kime rev mpaka mwisho kabisa kinakupita then kinapunguza ukipite then kinakupita tena kinataka ligi, yani watu wengine wa ajabu kweli, hulipwi hufaidiki chochote na ata hamjuani anafanya mashindano ya kijinga, akipata ajali anapata asala tu,
Binafsi waga natembea na mwendo wa kuwa comfortable na kutumia kafuta vizuri
Sawa..!

Gari yako itakuwa haina uwezo ndio maana unaendesha hivyo.. Siku ukipata chuma kamili 120 haiwezi kuwa comfortable..!

Mambo ya ligi hayo ni mawazo yako na hakuna wa kukuzuia kuwaza hivyo.. Unataka kujuana na kila mtu barabarani kuwa Trafiki..
Unaona shida watu kukupita njoo kwa Wajerumani..unyonge utaisha..!
Hakuna mtu aliyewahi kupata asala.. Labda hasara au risala..!
 
Wapambe hao. Kuna vingine unaawaacha waendelee kujifurahisha huku wanajua ukweli.. LC inakaa kwa gari nyingi sana za ulaya bila matatizo huyo unampa tu hata Amarok V6 bado itamchapa
Bado watu wanadhani barabara za sasa ni zile za miaka ya 90. Wasijue almost kila week tupo barabarani na tunaziona hizo barabara.

Kwa njia nyingi ninazozifahamu, hakuna barabara wala matuta ya kuwasumbua kina BMW wala Benz.
 
Aisee fans wa Toyota wengi hamfahamu magari zaidi ya V8 na JZ engines..
Landcruiser V8 zipo zenye top speed ya 180kph.. 240kph..260kph..ukiangalia kwenye hiyo video hilo ni GX.. 240kph.. Mimi chuma cha kijerumani kwanini nisimsmoke..!!
Akiyapita magari mengine mnasifia V8 gari inakimbia.. Nikimsmoke mnasema amerelax..! Angekuwa amerelax hiyo Prado 150 ingepitwa vipi..!!

V8 ni mbabe kwa wajapani wenzake.. Huku kwingine inakuwa mvutano..!
Mlipanga kukimbizana au umempita bila makubaliano?
 
Bado watu wanadhani barabara za sasa ni zile za miaka ya 90. Wasijue almost kila week tupo barabarani na tunaziona hizo barabara.

Kwa njia nyingi ninazozifahamu, hakuna barabara wala matuta ya kuwasumbua kina BMW wala Benz.
😀😀😀 Toyoda wanajitoaga ufahamu tu, ila wanajua kabisa Wajerumani sio viwango vyoa, na ukikuta wanaleta hoja za mashindano wanalingamisha Gari kama BWM series 1 na V8 ndio utagundua hawapo sawa hao
 
Yes hiyo ndio point yangu.. Exposure.. Sio kweli kuwa kulikuwa hakuna gari za kumsumbua.. Ni watu hawakuwa nazo au kuzifahamu.. Wajerumani wanazo gari zenye mbio tangu miaka ya 80..!
5331FA7D-6E38-450F-9DF6-21590BF00C52.jpeg

Hizo ndio engine na speed za G wagon benz miaka hio! Ukizungumzia wakumzidi mjapani sidhani kama kuna zaidi ya hao akina benz! Ila kwa speed hizo Land Cruiser mkonga still alikuwa mwamba.
 
Back
Top Bottom