Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Hospital kubwa kama Muhimbili, Bugando, KCMC, MBEYA, DODOMA Ziko katika Hali mbaya Kwa kutoa Huduma na kushindwa kuwalipa wazabuni Kwa mda wanaoleta vifaa Tiba mahospitalini.
Hali hii inapelekea Hospital KUJIENDESHA Kwa mapato ya ndani, Mfuko wa BIMA NHIF umeshindwa kulipa hizi Hospitali zaidi ya Miez 5,
Hospitali Moja kama Muhimbili inadai zaidi ya Bil 15 kwenye mfuko Huu, na Hajalipwa na mkataba wao ni siku 60.
Mama Samia Raisi wetu Mpendwa huo Mfuko wa BIMA uangaziwe, ikiwezekana vunja Uongozi, unaua Huduma za afya.
Hali hii inapelekea Hospital KUJIENDESHA Kwa mapato ya ndani, Mfuko wa BIMA NHIF umeshindwa kulipa hizi Hospitali zaidi ya Miez 5,
Hospitali Moja kama Muhimbili inadai zaidi ya Bil 15 kwenye mfuko Huu, na Hajalipwa na mkataba wao ni siku 60.
Mama Samia Raisi wetu Mpendwa huo Mfuko wa BIMA uangaziwe, ikiwezekana vunja Uongozi, unaua Huduma za afya.