Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,405
- 1,552
Bima ya afya wanatoa matangazo yao afu wanafuta wenyewe.
Wameongeza makato kutoka kiwango cha 18000 kwa sasa hadi 40000. Huwezi amini ongezeko la 122% hata katika kanuni za uchumi sijui kama zipo kama mshahara ni uleule afu unaongeza makato kwa % zote hizo.
Hawa mamenager wakati mwingine wanajitakia kutumbuliwa pasipo sababu. Naamini watawithdraw haraka as soon as possible . Hawajui kuwa mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Kwanini wanataka kupandisha hasara wananchi pasipo sababu ili kuchonganisha serikali na wafanyakazi.
Nhif mjitafakari. Acheni kuwaza kuongeza hela tu bila kuangalia uhalisia wa maisha.
Wameongeza makato kutoka kiwango cha 18000 kwa sasa hadi 40000. Huwezi amini ongezeko la 122% hata katika kanuni za uchumi sijui kama zipo kama mshahara ni uleule afu unaongeza makato kwa % zote hizo.
Hawa mamenager wakati mwingine wanajitakia kutumbuliwa pasipo sababu. Naamini watawithdraw haraka as soon as possible . Hawajui kuwa mwakani ni mwaka wa uchaguzi. Kwanini wanataka kupandisha hasara wananchi pasipo sababu ili kuchonganisha serikali na wafanyakazi.
Nhif mjitafakari. Acheni kuwaza kuongeza hela tu bila kuangalia uhalisia wa maisha.