Bima ya afya kwa wote imetajwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025

Queen Esther

JF-Expert Member
Apr 5, 2012
2,195
1,417
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuweka taarifa ikionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2020 imeweka bayana kipengele cha Bima ya Afya kwa wote.

Ilani hiyo chini ya Jemedari wetu mbeba maono Dr. John Pombe Magufuli inasomeka kama ifuatavyo:-

1. HUDUMA ZA JAMII
Zimeanzia kutajwa kwenye ukurasa wa 124 - 150

2. HUDUMA ZA AFYA
Zimeanza kutajwa Ukurasa wa 131

3. BIMA YA AFYA KWA WOTE
Imetajwa Ukurasa wa 136 (e)
Nayo inasomeka kama ifuatavyo naomba kunukuu;

"Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote".

Kusema Bima ya Afya kwa wote ni kauli ya jukwaani ni uongo mkubwa tuikemee kwa nguvu zote.

USHAURI
Kwasababu JF kuna wataalamu wa kila fani ni wakati sasa wa kuishauri Serikali namna ya kufikia lengo hilo. JF imekuwa ikiisaidia Serikali kwenye maeneo mengi. Ni wakati sasa tuirudishe JF ya miaka ileeeee! The Home of Great Thinkers.

Karibuni tujadiliane.

Queen Esther
 
Mimi sitaki siasa sio mwanasiasa ila hiyo statement imekaa kisiasasiasa. Mwanasiasa mjanja kikanjanja sana.

..."Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote". ...

Haisemi clear lini na wapi. Hilo lengo la serikali ni lini? Viability
 
Mimi sitaki siasa sio mwanasiasa ila hiyo statement imekaa kisiasasiasa. Mwanasiasa mjanja kikanjanja sana.

..."Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote". ...

Haisemi clear lini na wapi. Hilo lengo la serikali ni lini? Viability
Majibu ya hoja yako yapo kwenye life span ya Ilani. Yaaani miaka 5!

Queen Esther
 
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuweka taarifa ikionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2020 imeweka bayana kipengele cha Bima ya Afya kwa wote.

Ilani hiyo chini ya Jemedari wetu mbeba maono Dr. John Pombe Magufuli inasomeka kama ifuatavyo:-

1. HUDUMA ZA JAMII
Zimeanzia kutajwa kwenye ukurasa wa 124 - 150

2. HUDUMA ZA AFYA
Zimeanza kutajwa Ukurasa wa 131

3. BIMA YA AFYA KWA WOTE
Imetajwa Ukurasa wa 136 (e)
Nayo inasomeka kama ifuatavyo naomba kunukuu;

"Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote".

Kusema Bima ya Afya kwa wote ni kauli ya jukwaani ni uongo mkubwa tuikemee kwa nguvu zote.

USHAURI
Kwasababu JF kuna wataalamu wa kila fani ni wakati sasa wa kuishauri Serikali namna ya kufikia lengo hilo. JF imekuwa ikiisaidia Serikali kwenye maeneo mengi. Ni wakati sasa tuirudishe JF ya miaka ileeeee! The Home of Great Thinkers.

Karibuni tujadiliane.

Queen Esther
Nimecheka kwa nguvu, serikali iandike huduma ya bima ya afya kwa kila mwananchi, kisha isubiri ushauri wa namna ya kuitekeleza! Yaani nikikumbuka ile hadithi ya Tanzania ya viwanda na jinsi ilivyoyeyuka, nacheka sana nikisikia bima ya afya kwa kila mwananchi. Ngoja tu tunywe mtori nyama tutazikuta chini.
 
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuweka taarifa ikionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2020 imeweka bayana kipengele cha Bima ya Afya kwa wote.

Ilani hiyo chini ya Jemedari wetu mbeba maono Dr. John Pombe Magufuli inasomeka kama ifuatavyo:-

1. HUDUMA ZA JAMII
Zimeanzia kutajwa kwenye ukurasa wa 124 - 150

2. HUDUMA ZA AFYA
Zimeanza kutajwa Ukurasa wa 131

3. BIMA YA AFYA KWA WOTE
Imetajwa Ukurasa wa 136 (e)
Nayo inasomeka kama ifuatavyo naomba kunukuu;

"Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote".

Kusema Bima ya Afya kwa wote ni kauli ya jukwaani ni uongo mkubwa tuikemee kwa nguvu zote.

USHAURI
Kwasababu JF kuna wataalamu wa kila fani ni wakati sasa wa kuishauri Serikali namna ya kufikia lengo hilo. JF imekuwa ikiisaidia Serikali kwenye maeneo mengi. Ni wakati sasa tuirudishe JF ya miaka ileeeee! The Home of Great Thinkers.

Karibuni tujadiliane.

Queen Esther
hiyo ilikuwa ya Lisu na chadema na kwakuwa ccm walizoea kudandia treni kwa mbele hasa wakati wa kampeni basi wakalipachika tu ila utekelezaji utakuwa sifuri,sababu nakumbuka siku moja meko akiwa kanda ya ziwa alisema nasikia kuna mmoja anasema atatoa bima ya afya bure kwa kila mtanzania; naye meko akakurupuka kama kawaida yake nipeni kura na mimi nitawapa hiyo bima ya afya bure kabisa kwa kila mtanzania
 
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuweka taarifa ikionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 hadi 2020 imeweka bayana kipengele cha Bima ya Afya kwa wote.

Ilani hiyo chini ya Jemedari wetu mbeba maono Dr. John Pombe Magufuli inasomeka kama ifuatavyo:-

1. HUDUMA ZA JAMII
Zimeanzia kutajwa kwenye ukurasa wa 124 - 150

2. HUDUMA ZA AFYA
Zimeanza kutajwa Ukurasa wa 131

3. BIMA YA AFYA KWA WOTE
Imetajwa Ukurasa wa 136 (e)
Nayo inasomeka kama ifuatavyo naomba kunukuu;

"Kuimarisha Mfumo wa Bima ya Afya Nchini. Ikiwemo Mifuko ya Bima za Afya (NHIF & ICHF) Ili kufikia lengo la serikali la kuwa na Bima ya Afya kwa wananchi wote".

Kusema Bima ya Afya kwa wote ni kauli ya jukwaani ni uongo mkubwa tuikemee kwa nguvu zote.

USHAURI
Kwasababu JF kuna wataalamu wa kila fani ni wakati sasa wa kuishauri Serikali namna ya kufikia lengo hilo. JF imekuwa ikiisaidia Serikali kwenye maeneo mengi. Ni wakati sasa tuirudishe JF ya miaka ileeeee! The Home of Great Thinkers.

Karibuni tujadiliane.

Queen Esther
Yaan uweke kwenye ilani huku haujui utaitekeleza vipi?

Mnapenda namba lakini hamjui hesabu.

Ukiangalia namna hizi ilani zetu zinavyoandaliwa,ni upuuzi mtu.

Ukiisoma hii ya CCM hata ile ya CHADEMA unabaki kushangaa tu.
 
Bima ya afya kwa wote ni muhimu sana.kuumwa hakupangwi kunatokea automatic.Naomba serikali isilifanyie mchezo swala hili.Watu wote waingizwe kwenye bima
 
Back
Top Bottom