Bima ya afya kwa wanaoishi nje ya tanzania!

Jamani muoneeni huruma Aluta amejichanganya...alikuwa a little bit confused btwn life and health insurance...he/she did admit kuwa he/she meant Life insurance and not health!...

A little bit confused? Kwa hiyo Kelly unamsafisha Aluta?

Una minimize hii mkanganyiko ya figures? Ku "confuse" policy figures zako mwenyewe?

Okay, na hili la ku suggest kwamba Watanzania wanakufa kwa kukosa health insurance nalo utamsafisha vipi? Maana ndivyo alivyoanza mada yake: Wabongo tunakufa majuu hivyo tufikirie "health insurance."

Sasa Kelly, ungetusaidia, huyu Aluta anajuaje kwamba Watanzania nje ya nchi tunakufa kwa kukosa matibabu kwa kutokuwa na bima ya afya? LOL!
 
A little bit confused? Kwa hiyo Kelly unamsafisha Aluta?

Una minimize hii mkanganyiko ya figures? Ku "confuse" policy figures zako mwenyewe?

Okay, na hili la ku suggest kwamba Watanzania wanakufa kwa kukosa health insurance nalo utamsafisha vipi? Maana ndivyo alivyoanza mada yake: Wabongo tunakufa majuu hivyo tufikirie "health insurance."

Sasa Kelly, ungetusaidia, huyu Aluta anajuaje kwamba Watanzania nje ya nchi tunakufa kwa kukosa matibabu kwa kutokuwa na bima ya afya? LOL!

Hahahahaaa...Cupcake...look what you done got yourself into....ahahahahahaaa
 
A little bit confused? Kwa hiyo Kelly unamsafisha Aluta?

Una minimize hii mkanganyiko ya figures? Ku "confuse" policy figures zako mwenyewe?

Okay, na hili la ku suggest kwamba Watanzania wanakufa kwa kukosa health insurance nalo utamsafisha vipi? Maana ndivyo alivyoanza mada yake: Wabongo tunakufa majuu hivyo tufikirie "health insurance."

Sasa Kelly, ungetusaidia, huyu Aluta anajuaje kwamba Watanzania nje ya nchi tunakufa kwa kukosa matibabu kwa kutokuwa na bima ya afya? LOL!
Mkuu hujaona sehemu kasahihisha?
rudi kwenye mada sasa........otherwise namuachia NN na cupcake wake......
 
A little bit confused? Kwa hiyo Kelly unamsafisha Aluta?

Una minimize hii mkanganyiko ya figures? Ku "confuse" policy figures zako mwenyewe?

Okay, na hili la ku suggest kwamba Watanzania wanakufa kwa kukosa health insurance nalo utamsafisha vipi? Maana ndivyo alivyoanza mada yake: Wabongo tunakufa majuu hivyo tufikirie "health insurance."

Sasa Kelly, ungetusaidia, huyu Aluta anajuaje kwamba Watanzania nje ya nchi tunakufa kwa kukosa matibabu kwa kutokuwa na bima ya afya? LOL!

Tuachane na kuchanganya policies and figures...hii insurance nilikuwa nayo mwaka mmoja uliopita; kwa hiyo nilikuwa nimesahau mambo mengi. Ila tusipotoshe topic kwamba ni suggest Watanzania wanakufa kwa kukosa health insurance! Did I mention that?....No! Embu rudia tuliyoongela kuanzia mwanzo labda umeshasahau topic.
 
...hii insurance nilikuwa nayo mwaka mmoja uliopita; kwa hiyo nilikuwa nimesahau mambo mengi.

Ok sasa itabidi na mimi niku-kuhani-lize maramoja! Sasa wewe unatuhimiza tuwe na Health/Life Insurance halafu unatuletea figure za policy yako ya zamani!! Kwa nini utuletei figures za policy yako ya sasa hivi? Una insurance sasa hivi?
 
Nimeuliza, lakini mimi si mtaalam sana wa maswala ya insurance mwenye knowledge zaidi anaweza weka hapa.

Naona maneno hayo hayakuzingatiwa kabisa....mtu kasema yeye si mtaalam na akaomba mwenye ufahamu zaidi atuambie...lakini anavyoandamwa utadhani ni mashindano ya kugombea medali ya dhahabu olimpiki...
 
A little bit confused? Kwa hiyo Kelly unamsafisha Aluta?
Ukisema namsafisha utakuwa unakosea Aluta ame admit kuwa amechanganya kati ya Life na Health Insurance.Nia na madhumuni yake ni kusema Life insurance so akateleza....

Una minimize hii mkanganyiko ya figures? Ku "confuse" policy figures zako mwenyewe?

You never know..atakuwa ame over look dniyo maana kaja na different figure ooh well amejisahihisha though which is a good thing.


Okay, na hili la ku suggest kwamba Watanzania wanakufa kwa kukosa health insurance nalo utamsafisha vipi? Maana ndivyo alivyoanza mada yake: Wabongo tunakufa majuu hivyo tufikirie "health insurance."

Kuhani ...Aluta meant no harm period...of course nitamsafisha Aluta kwa kusema kuwa amejichanganya sana tena siyo kidogo na hizo data zake...Nia na madhumuni yake ya Aluta ni kama nilivyosema huko juu alimaanisha Life Insurance...Ameona watanzania wengi wanakufa na hawana life Insurance na amtokeo yake ni kuanza kuombana michango which is true.

So ili kurahisisha kazi akaona aonyeshe data za life insurance zilivyo easy and affordable watu waweze kwenda kununua..which is a good point AlutA to bring up this debate..Life insurance is very important to all of us...Badala ya kuanza kutangaza kwenye Michuzi or Jf kwa kuomba michango ya kusafirsha maiti..its easy like 1-2-3 step kuwa na life insurance....

Sasa Kelly, ungetusaidia, huyu Aluta anajuaje kwamba Watanzania nje ya nchi tunakufa kwa kukosa matibabu kwa kutokuwa na bima ya afya? LOL!


Hakuna mtanzania anayekosa matibabu nje ya nchi uwe na namba au usiwe nayo lazima tuu utatibiwa...kuna zile public hospital uwe na insurance usiwe nayo lazima utatibiwa..and guess whart watuw engi wanakimbia hizo hospital basi mngejua hizo ndiyo hospital zenye madakitari wazuri sana compaired to hizo private hospital...
 
WADU kirefu chake ni "weka akiba daima upatapo," ilikuwa program flani hivi ya benki ya posta.....vijisenti vyako mwenyewe una dunduliza kwa muda flani kabla ya kuvivuna!!! NB: Kama nimekosea mnikosoe polepole, la sivyo nitaanzisha vagi.....bwahahahaha.....

Nina wasoma.....wkend njema! LOL

Oh yes ni weka akiba daima upatapo...ilikuwa lazima ikae at least 2 years kabla hujaanza kuchukua ili kutengeneza interest....Sijui kama bado ipo hiyo kitu hivi ni bank ya posta tuu wana Wadu?
 
Ok sasa itabidi na mimi niku-kuhani-lize maramoja! Sasa wewe unatuhimiza tuwe na Health/Life Insurance halafu unatuletea figure za policy yako ya zamani!! Kwa nini utuletei figures za policy yako ya sasa hivi? Una insurance sasa hivi?

Kwa sasa ninayo ila ni Social health insurance tu; kwa sababu moja au nyingine kwa mwaka huu sijanunua hiyo ya ziada.
 
Kuhani

Wakati mwingine huwa unabomoa, badala ya kujenga. Angalau uwe unaacha room ya kukosea basi. I mean, sisi sote tu binadamu....tunakosea!!

Ok sasa itabidi na mimi niku-kuhani-lize maramoja! Sasa wewe unatuhimiza tuwe na Health/Life Insurance halafu unatuletea figure za policy yako ya zamani!! Kwa nini utuletei figures za policy yako ya sasa hivi? Una insurance sasa hivi?

Hapana QM, usifanye hivyo, vibaya hivyo, "unabomoa badala ya kujenga." Kumbuka "binadamu sote tunakosea"!


haa hahahahhaaaaaa ...Sasa umeanza kunielewa eeenh? Mtu anakushauri ununue insurance kwenye kampuni ambayo yeye mwenyewe kaitosa! Imagine that!

Tena what gets my danders up ni kwamba anafikia ku suggest dhihaka kwa Wabongo waliofia ng'ambo kwamba wamekufa kwa kukosa health insurance! Anaulizwa amejuaje, anaanza ku obfuscate. Hajui. Kajitamkia tu yani.

Sasa baada ya kuwatosa hao carrier wake ( assuming sio wao walimtosa yeye - on top of assuming kwamba alikuwa nayo, maana hata coverage zake eti kazijua leo!) sasa hivi anasema hana hiyo anayotushauri sisi "kwa sababu moja au nyingine kwa mwaka huu sijanunua hiyo ya ziada." This Aluta character is funny, I tell you!

Sasa QM siku zote utaniona shwaitan, mjifanya kujua, lakini hebu nambie hapo, wewe usingemshangaa huyu mtu? Just drives me up a wall kuona mtu anakurupuka kushauri wenzake tununue insurance halafu yeye analeta ya kwake ime expire zamani hata kabla ya passport ya Liyumba!

That is spelled h-y-p-o-s-c-r-i-s-y, hypocrisy of the nth degree. Absolutely hypocritical.
 
Back
Top Bottom