Nimekuwa nikisoma mara kwa mara kwenye mitandao mbalimbali habari za vifo vya Watanzania wenzangu nchi za nje. Vifo hivi vinatokea sana Marekani na Ulaya. Sasa swali la msingi ni kuwa: Je' ni Watanzania wangapi wana utamaduni wa kununua Bima za afya?kwamba wakiumwa wanaweza patiwa matibabu na Bima ikalipa? Na hizi communities za Watanzania sehemu mbalimbali nje ya Tanzania hamna uwezekano wa kununua Commulative Insurance mwanachama akiumwa anapatiwa matibabu? Nimeona jinsi watu wanavyo struggle kutafuta fedha kusafirisha wapendwa wao. Je tuna utamduni kweli wa kununua health insurances?
Nimeuliza, lakini mimi si mtaalam sana wa maswala ya insurance mwenye knowledge zaidi anaweza weka hapa. Moja ya health insurance niliyokuwa nayo inanilipia % fulani kama nikiumwa na nikifa basi mrithi wangu au wazazi wanalipwa
50,000EUR kitu ambacho niliona ni good deal kwa bei ya 130EUR kwa mwaka. Ila walikuwa na restriction kwamba uwe unaishi nchini permanently; lakini hata hivyo naamini zipo insurances nyingi na policies tofauti.
Nimeuliza, lakini mimi si mtaalam sana wa maswala ya insurance mwenye knowledge zaidi anaweza weka hapa. Moja ya health insurance niliyokuwa nayo inanilipia % fulani kama nikiumwa na nikifa basi mrithi wangu au wazazi wanalipwa
50,000EUR kitu ambacho niliona ni good deal kwa bei ya 130EUR kwa mwaka. Ila walikuwa na restriction kwamba uwe unaishi nchini permanently; lakini hata hivyo naamini zipo insurances nyingi na policies tofauti.