Bill ya Maji DAWASCO Haziendani na Uhalisia wa Matumiz ya maji

Tatizo nadhani ni sisi wenyewe. Wasomaji wa bili wanapewa kazi kwa kupewa target ya hela sio idadi ya mita.

Mfano: Mad Max hakikisha mwezi huu umekusanya shilingi Milion 10 kama bili ya maji.

Sasa hapo nikifika nakuta umetumia units 10 naweka 24 watu wenyewe hata hamfatilii.

Cha kufanya:

Kila mwisho wa mwezi mfano Tarehe 31/05 piga picha ya ile mita na zile namba, kisha ikifika tarehe 30/06 piga tena. Hafu tafuta tofauti.

Ukipata labda tofauti ni units 50.

Then zidisha mara gharama kwa unit moja (nadhani kama elfu 1 mia nane hivi kwa DSM).

Nyingine ikizidi labda gharama za uendeshaji ila haitazidi elfu 2.
Unit moja ni 1660 mkuu..
 
Inaletwa bill ya Maji
Inasoma umetumia Unit 50 kwa mwezi,

Unawauliza,
"Kwani unit moja ni sawa na Lita ngapi?"

Wanajibu,
"Unit moja Ni sawa na Lita 1000 za maji Sawa na ndoo 50 za Lita 20"

Unabaki unajiuliza,

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimezitumia Lita 50,000 za maji ?

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimetumia ndoo 1000 za maji?

Hapo hapo,
Maji yenyewe yanatoka kwa mgao, wiki Hii yapo wiki nyingine hamna.

Yakitoka Unasema
hebu nijaze Tank maji la Lita 2500, nione litanifikisha wapi.

Unajikuta umelijaza Mara mbili kwa wiki. Sawa na Lita 5,000.
Ambapo endapo ungeenda ivyo ivyo mwezi mzima ningejaza mara 8 kwa wiki 4 tu za mwezi.
Ambapo ungepata jumla Lita 20,00 za maji sawa na unit 20.

SASA UNABAKI UNAJIULIZA,
Hivi hizi unit 50 sawa na lita 50,000 kwa mwezi zimetokea wapi?

hivi Ni kweli Ni Mimi kwa mwezi niliyetumia maji SIMTANK 20 za Lita 2500?

UNAGUNDUA,
bill iko mara mbili zaidi ya matumizi Halisia

Matumizi hayaendani na uhalisia wa bill inayoletwa.

Kiukweli Kuna kitu hakiko sawa kwenye bill za maji DAWASCO.

View attachment 1798665
DAWASCO ni wezi.Mimi sijatumia maji mwezi mzima.Naletewa bili nimetumia unit 20.

Mkurugenzi wa DAWASCO ang'olewe.
 
Nahisi mita zao Zina michezo ya ajabu,

Kuna mda wanakata maji kwa saa kadhaa alafu baadae wanarudisha.

Ukifungua bomba,
Unatoka upepo mkali na matone kidogo ya maji nkaribu nusu saa nzima.

ukivizia mita unaona inazunguka kwa kasi ya ajabu, unit zinatembea.
Na upepo nao unatoka kwa Kasi ya ajabu.

Nilipowaita,
wakaikagua mita wakasema mita yao MBONA iko sawa kabisa na tena imethibitishwana TBS.

Unabaki unajiuliza,
Ni Nini hiki kinaendelea hapa
Hizi mita mpya waliamua kutufungia baada ya EWURA kuwakatalia ombi lao la kuongeza bei ya maji, Pigia mstari.
 
Shida sio hiyo mkuu, ukitaka kujia hilo angalia hizo unit wanazo kutumia kwa sms unit zinakuwa sawa kabisa tatizo kubwa ni uwalosia wa mita inavyosoma na matumizi.

Mfano mimi mwezi huu nimetumiwa matumizi ya unit 17 ambapo kwenye mita inasoma hivyo lakini hii kwangu sio sawa kwasababu unit 17 sawa na Tank za maji 17 zenye ujazo wa lita 1000.

Huwa tunataza tank mara 2 tu kwa wiki, huwa tunajaza siku ya jmosi (siku hii huwa wanafua nguo) na juma nne jioni.

Familia yangu tupo 4 tu, na wote tinaondoka asubuhi na kurudi saa 1 jioni usiku kila siku za jtatu mpaka ijumaa.

Sijui hizo unit zinakimbiaje, nafikiri hizi mita zina kasoro.
Tukubaliane kwamba hii hesabu yao ya kwamba unit 1 ni sawa na ndoo 50 au lita 1000 ni ya uongo na walitudanganya.

Watwambie ukweli tu kwamba unit 1 ni sawa na ndoo 10.
 
Mita kuhakikiwa na wakala ni jambo moja, na uhakiki kuwa wa usahihi ni jambo jingine, kwani hamjawahi kusikia gurudumu la gari limenunuliwa ni jipya limefungwa kwenye gari limetembea umbali mfupi tu linapasuka!!!?
Nahisi Kuna namna zinachezewa hizi mita
 
Dawa yao ni ndogo sana !!mimi kipindi natumia maji yao nilikuwa nakutana na tatizo hilo sana, nikaja kugundua kuna baadhi ya hizo mita zao ndio zinasoma sivyo!!nilimfuata hadi meneja ilipokuja bili ya 120, 000 kwa mwezi na tupo wawili tu ndani ya nyumba!!akanijibu ovyo nikatoka nilichofanya nilienda kununua mita nyingine, dukani nikaifunga nyuma ya ile ya mamlaka ya maji!!nikaifunika kabisa chini bila wao kuiona!!!bwanaa ni hatari nikawa naichungulia kila wakati daaa ni hatari, ilipofika mwisho wa mwezi, yaani kuna utofauti wa cubic meter 30!!ya kwao iko mbele kwa hizo!!!nilikwenda kuuwasha moto, wakamtuma fundi na msoma mita, wakaja wakasema kwanini umeingilia mfumo wa maji yetu kwa kuweka mita ambayo haijaidhinishwa na sisi?ilikuwa balaa kwani hawakutegemea kuona hali hiyo!!na mimi nikawa mkali mno, walichofanya wakajaza fomu zao, na kupiga picha, wakaondoka!!baada ya siku tatu wakaleta mita mpya na kuitoa ile, wakaniambia niitoe ile yangu, nikawaambia hadi nilinganishe usomaji wake, wakaondoka, kweli baada ya siku kama tatu nikaona usomaji wake upo sawa, nikaitoa!!tatizo likaja kwenye ile bili ya kubambika tukasumbuana sana mala waje wakate maji, badaye wakalifuta lile deni!!toka hapo bili ilikuwa ni ile ninayotumia ki halali tu.hadi nachimba kisima changu sikuwahi gombana nao tena!!TATIZO KUBWA SIO WASOMA MITA BALI NI HIZO MITA ZAO!!unakuta cubic meter moja ni lita 400-600, badala ya lita 1000.
Hawa jamaa nafikiria TU kuchimba kisima niondokane na KERO zao
 
Tukubaliane kwamba hii hesabu yao ya kwamba unit 1 ni sawa na ndoo 50 au lita 1000 ni ya uongo na walitudanganya.

Watwambie ukweli tu kwamba unit 1 ni sawa na ndoo 10.
Kiuhalisia hesabu yao imekaa kimagumashi
 
Inaletwa bill ya Maji
Inasoma umetumia Unit 50 kwa mwezi,

Unawauliza,
"Kwani unit moja ni sawa na Lita ngapi?"

Wanajibu,
"Unit moja Ni sawa na Lita 1000 za maji Sawa na ndoo 50 za Lita 20"

Unabaki unajiuliza,

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimezitumia Lita 50,000 za maji ?

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimetumia ndoo 1000 za maji?

Hapo hapo,
Maji yenyewe yanatoka kwa mgao, wiki Hii yapo wiki nyingine hamna.

Yakitoka Unasema
hebu nijaze Tank maji la Lita 2500, nione litanifikisha wapi.

Unajikuta umelijaza Mara mbili kwa wiki. Sawa na Lita 5,000.
Ambapo endapo ungeenda ivyo ivyo mwezi mzima ningejaza mara 8 kwa wiki 4 tu za mwezi.
Ambapo ungepata jumla Lita 20,00 za maji sawa na unit 20.

SASA UNABAKI UNAJIULIZA,
Hivi hizi unit 50 sawa na lita 50,000 kwa mwezi zimetokea wapi?

hivi Ni kweli Ni Mimi kwa mwezi niliyetumia maji SIMTANK 20 za Lita 2500?

UNAGUNDUA,
bill iko mara mbili zaidi ya matumizi Halisia

Matumizi hayaendani na uhalisia wa bill inayoletwa.

Kiukweli Kuna kitu hakiko sawa kwenye bill za maji DAWASCO.

View attachment 1798665
Kwani mita si ipo nyumbani kwako? Kwa maana siku anayo soma mita unasoma nae... ili anapokuletea izo bill za unit 50 au 40 n.k unalinganisha na wew ulivosoma..
 
Inaletwa bill ya Maji
Inasoma umetumia Unit 50 kwa mwezi,

Unawauliza,
"Kwani unit moja ni sawa na Lita ngapi?"

Wanajibu,
"Unit moja Ni sawa na Lita 1000 za maji Sawa na ndoo 50 za Lita 20"

Unabaki unajiuliza,

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimezitumia Lita 50,000 za maji ?

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimetumia ndoo 1000 za maji?

Hapo hapo,
Maji yenyewe yanatoka kwa mgao, wiki Hii yapo wiki nyingine hamna.

Yakitoka Unasema
hebu nijaze Tank maji la Lita 2500, nione litanifikisha wapi.

Unajikuta umelijaza Mara mbili kwa wiki. Sawa na Lita 5,000.
Ambapo endapo ungeenda ivyo ivyo mwezi mzima ningejaza mara 8 kwa wiki 4 tu za mwezi.
Ambapo ungepata jumla Lita 20,00 za maji sawa na unit 20.

SASA UNABAKI UNAJIULIZA,
Hivi hizi unit 50 sawa na lita 50,000 kwa mwezi zimetokea wapi?

hivi Ni kweli Ni Mimi kwa mwezi niliyetumia maji SIMTANK 20 za Lita 2500?

UNAGUNDUA,
bill iko mara mbili zaidi ya matumizi Halisia

Matumizi hayaendani na uhalisia wa bill inayoletwa.

Kiukweli Kuna kitu hakiko sawa kwenye bill za maji DAWASCO.

View attachment 1798665
Wasee saana mwenyewe imefika hvyo ivyo nauliza wanasema wao wanaangalia meter hawakisii.... Natafuta sollution hapa
 
Shida sio hiyo mkuu, ukitaka kujia hilo angalia hizo unit wanazo kutumia kwa sms unit zinakuwa sawa kabisa tatizo kubwa ni uwalosia wa mita inavyosoma na matumizi.

Mfano mimi mwezi huu nimetumiwa matumizi ya unit 17 ambapo kwenye mita inasoma hivyo lakini hii kwangu sio sawa kwasababu unit 17 sawa na Tank za maji 17 zenye ujazo wa lita 1000.

Huwa tunataza tank mara 2 tu kwa wiki, huwa tunajaza siku ya jmosi (siku hii huwa wanafua nguo) na juma nne jioni.

Familia yangu tupo 4 tu, na wote tinaondoka asubuhi na kurudi saa 1 jioni usiku kila siku za jtatu mpaka ijumaa.

Sijui hizo unit zinakimbiaje, nafikiri hizi mita zina kasoro.
Kwa maana hii mita zao zinasoma tofauti.. na inabosemekana..
 
Inaletwa bill ya Maji
Inasoma umetumia Unit 50 kwa mwezi,

Unawauliza,
"Kwani unit moja ni sawa na Lita ngapi?"

Wanajibu,
"Unit moja Ni sawa na Lita 1000 za maji Sawa na ndoo 50 za Lita 20"

Unabaki unajiuliza,

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimezitumia Lita 50,000 za maji ?

Hivi mwezi huu kwa matumizi yangu ni kweli nimetumia ndoo 1000 za maji?

Hapo hapo,
Maji yenyewe yanatoka kwa mgao, wiki Hii yapo wiki nyingine hamna.

Yakitoka Unasema
hebu nijaze Tank maji la Lita 2500, nione litanifikisha wapi.

Unajikuta umelijaza Mara mbili kwa wiki. Sawa na Lita 5,000.
Ambapo endapo ungeenda ivyo ivyo mwezi mzima ningejaza mara 8 kwa wiki 4 tu za mwezi.
Ambapo ungepata jumla Lita 20,00 za maji sawa na unit 20.

SASA UNABAKI UNAJIULIZA,
Hivi hizi unit 50 sawa na lita 50,000 kwa mwezi zimetokea wapi?

hivi Ni kweli Ni Mimi kwa mwezi niliyetumia maji SIMTANK 20 za Lita 2500?

UNAGUNDUA,
bill iko mara mbili zaidi ya matumizi Halisia

Matumizi hayaendani na uhalisia wa bill inayoletwa.

Kiukweli Kuna kitu hakiko sawa kwenye bill za maji DAWASCO.

View attachment 1798665
Hapo utabishana nao mpaka utachoka lakini hawatabadili msimamo wao.. Wao wanajitetea na reading ya meter hata ukiwapa justification ya ulinganifu wa bili bado watashikilia msimamo wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa hakikisha kwamba unafunga maji wakati ambapo hayatumiki au yamekatika ili wanapofungulia maji ule upepo usije wote kwako.Usipofanya hivo kweli utalipia bili ya gesi badala ya bili ya maji.
 
Tukubaliane kwamba hii hesabu yao ya kwamba unit 1 ni sawa na ndoo 50 au lita 1000 ni ya uongo na walitudanganya.

Watwambie ukweli tu kwamba unit 1 ni sawa na ndoo 10.
Kabisa haina uwalisia kabisa ndoo 50 za lita 20 eti kwa mwezi nimetumia ndoo 820 sawa na ndoo 28 kila siku haiwezekani
 
Mwenyenyumba: Hello? Kijana

Mimi: Shikamoo mzee.

MN: Marhaba. Sasa nimetumiwa bili ya maji hapa inaonyesha tunatakiwa kulipa elfu 30 na 200.

Mimi: Ndiyo.

MN: Na mpo 3 hivyo kila mmoja inatakiwa kua elfu 10. (Yeye haishi hapa)

Mimi: Ndiyo.

MN: Sasa mimi nimewaambia kwamba hii bili haiwezekani iwepo nyumbani kwangu, hilo eneo maji hutoka kila baada ya siku nne. Nyinyi 3 wote sioni mwenye kutumia maji kama bata hapo na mara nyingi hamshindi. Nimewaambia hii bili wairekebishe na sasa hivi naelekea ofisini kwao.

Mimi: Sawa mzee. Msaada wowote naweza kusaidia?

MN: Hapana, niachie mimi.

Baadaye kidogo;

MN: Hello

Mimi: Hello

MN: Wanaongea upuuzi. Eti wanasema mpiga hesabu wa huku amekosea bili ni 5000. Changeni 1500 kila mmoja mi nitaongeza 500.

Mimi: Sawa mzee. Shukurani.

MN: Usisahau kuwaambia wenzio. Nawaleteeni na karatasi ya bili.

Mimi naona ruka nao mpaka ofisini kwao tu. Tangu mwenye nyumba awafuate bili inakuja reasonable, ya mwezi uliopita ni elfu saba.
 
Dawa yao ni ndogo sana !!mimi kipindi natumia maji yao nilikuwa nakutana na tatizo hilo sana, nikaja kugundua kuna baadhi ya hizo mita zao ndio zinasoma sivyo!!nilimfuata hadi meneja ilipokuja bili ya 120, 000 kwa mwezi na tupo wawili tu ndani ya nyumba!!akanijibu ovyo nikatoka nilichofanya nilienda kununua mita nyingine, dukani nikaifunga nyuma ya ile ya mamlaka ya maji!!nikaifunika kabisa chini bila wao kuiona!!!bwanaa ni hatari nikawa naichungulia kila wakati daaa ni hatari, ilipofika mwisho wa mwezi, yaani kuna utofauti wa cubic meter 30!!ya kwao iko mbele kwa hizo!!!nilikwenda kuuwasha moto, wakamtuma fundi na msoma mita, wakaja wakasema kwanini umeingilia mfumo wa maji yetu kwa kuweka mita ambayo haijaidhinishwa na sisi?ilikuwa balaa kwani hawakutegemea kuona hali hiyo!!na mimi nikawa mkali mno, walichofanya wakajaza fomu zao, na kupiga picha, wakaondoka!!baada ya siku tatu wakaleta mita mpya na kuitoa ile, wakaniambia niitoe ile yangu, nikawaambia hadi nilinganishe usomaji wake, wakaondoka, kweli baada ya siku kama tatu nikaona usomaji wake upo sawa, nikaitoa!!tatizo likaja kwenye ile bili ya kubambika tukasumbuana sana mala waje wakate maji, badaye wakalifuta lile deni!!toka hapo bili ilikuwa ni ile ninayotumia ki halali tu.hadi nachimba kisima changu sikuwahi gombana nao tena!!TATIZO KUBWA SIO WASOMA MITA BALI NI HIZO MITA ZAO!!unakuta cubic meter moja ni lita 400-600, badala ya lita 1000.
Hii na mimi ngoja niijaribu mkuu
 
Back
Top Bottom