Bill & Melinda Gates watalikiana

Bill & Melinda Gates
miaka 27 ya ndoa
mbona wamevumilia mengi sana
Leo nini hicho kikubwa kimewashinda?
wana watoto watatu wakubwa!
sasa Bill si atatakiwa wagawane mali hivyo Bill si atazidi kushuka chini kutoka namba 4 aliyopo?
Mnaoishi Marekani mbona ndoa nyingi za huko zina changamoto sana?
Alianza Jeff wa Amazon
Leo ni Bill Gates!!!
basi hata Jayz ni swala la muda tu na yeye!
Huku Africa tunasema mapenzi ya kweli hayapo kisa umasikini
Je hata hao ambao ni mabilionea sasa shida nini?
Mapenzi sio Pesa!!
Kuna kitu hapo ila sema tu hatujakigundua!
View attachment 1772585
Ukichunguza vizuri utagundua pesa ndio chanzo cha yote.wakati maskini anakosa ela za kumtuliza mpenzi wake tajiri yeye anakua na ela ila hana muda.na kumbuka mara nyingi wanawake wengi wakishajiona wana pesa yakujitosheleza wanaanzaga kiburi na jeuri yakujiona hana cha kupoteza sasa dharau zao ndio zinazopelekea wanaume wanaona isiwe shida.kwahiyo pesa ina athari pande zote.sasa mara nyingi wanawake wengi wanakuaga wajanja,anahakikisha kiburi chake kinakukera kiasi ambacho utakua wakwanza kutaka mtengane ukishindwa hapo unaenda kutafuta mchepuko ambao pia mwanamke wako atatumia gia hiyo hiyo mtengane ili anufaike kwajinsi anavyotaka na jamii itamwona mwanaume kama ndio chanzo cha tatizo.kwahiyo uwe tajiri au maskini kuishi na mwanamke kunahitaji akili nyingi.
 
Jamani!! Kama wanaume matajiri duniani wameshindwa kuwapa furaha wake zao sisi je, what hope do we have?
 
Ukichunguza vizuri utagundua pesa ndio chanzo cha yote.wakati maskini anakosa ela za kumtuliza mpenzi wake tajiri yeye anakua na ela ila hana muda.na kumbuka mara nyingi wanawake wengi wakishajiona wana pesa yakujitosheleza wanaanzaga kiburi na jeuri yakujiona hana cha kupoteza sasa dharau zao ndio zinazopelekea wanaume wanaona isiwe shida.kwahiyo pesa ina athari pande zote.sasa mara nyingi wanawake wengi wanakuaga wajanja,anahakikisha kiburi chake kinakukera kiasi ambacho utakua wakwanza kutaka mtengane ukishindwa hapo unaenda kutafuta mchepuko ambao pia mwanamke wako atatumia gia hiyo hiyo mtengane ili anufaike kwajinsi anavyotaka na jamii itamwona mwanaume kama ndio chanzo cha tatizo.kwahiyo uwe tajiri au maskini kuishi na mwanamke kunahitaji akili nyingi.
Hapo haiitajiki akili nyingi sababu determinant ni pesa fukuza huyo ingiza mwengine!
 
Bill and Melinda Gates have announced their divorce after 27 years of marriage, saying "we no longer believe we can grow together as a couple".

"After a great deal of thought and a lot of work on our relationship, we have made the decision to end our marriage," the pair tweeted.
Mh! Kama mabilionea wanapata changamoto hizi sembuse sisi hapa!

Na inaonekana kwa muda mrefu basi mambo hayakuwa shwari! Rafiki yake Warren Buffet sijui atalionaje hili maana yule mzee ni wa kipekee sana!
 
Kuna cousin ana move kwenye hizo circles anasema Bill Gates ni mtu arrogant sana miaka mingi amekuwa akishangaa Melinda anaishi naye vipi.

Yani wale watu fulani wa kutumia logic za computer kila sehemu mpaka kwenye maamuzi ya ndani, halafu ubishi kama chakula.
Ongea na Cousin anipe link ya Melinda hapa logic hazitatumika zaidi ya hisia tu za kumpeti peti 🤣🤣🤣
 
Yani watu wameishi pamoja katika ndoa mpaka wanaanza kufananana, halafu talaka!

Yani kila watu maarufu walivyokuwa wanafikia talaka, nilikuwa naiona hii couple ngangali sana. Ya kupigiwa mfano.

Nayo imekumbwa na talaka.
Kuta zanyuma zinaheshima yake ,acha tu
 
Mwanamke akiwa na hekima, mchapakazi, na cares humuwezi chokana ndani
On top of that she being your friend always! Hamnaga kuchokana katika mahusiano ya namna hio! You both do crazy stuff together kila mmoja company ya mwenziwe basi raha tu!
 
Imebainishwa kuwa kabla Bill Gate hajamuoa Melinda alikuwa na uhusiano na mwanamke mwingine aliyeitwa Ann Winblad. Kabla ya kugunga ndoa Bill Gate aliomba kibali Ann Winblad na akamkubalia. Ndani ya ndoa Melinda naye alitoa ruhusa kwa Bill Gate na Ann Winblad kukutana walau mara moja kwa mwaka. Hii imekuwa ikitokea ndani ya mika 27 ya ndoa yao

 
Back
Top Bottom