Ukichunguza vizuri utagundua pesa ndio chanzo cha yote.wakati maskini anakosa ela za kumtuliza mpenzi wake tajiri yeye anakua na ela ila hana muda.na kumbuka mara nyingi wanawake wengi wakishajiona wana pesa yakujitosheleza wanaanzaga kiburi na jeuri yakujiona hana cha kupoteza sasa dharau zao ndio zinazopelekea wanaume wanaona isiwe shida.kwahiyo pesa ina athari pande zote.sasa mara nyingi wanawake wengi wanakuaga wajanja,anahakikisha kiburi chake kinakukera kiasi ambacho utakua wakwanza kutaka mtengane ukishindwa hapo unaenda kutafuta mchepuko ambao pia mwanamke wako atatumia gia hiyo hiyo mtengane ili anufaike kwajinsi anavyotaka na jamii itamwona mwanaume kama ndio chanzo cha tatizo.kwahiyo uwe tajiri au maskini kuishi na mwanamke kunahitaji akili nyingi.Bill & Melinda Gates
miaka 27 ya ndoa
mbona wamevumilia mengi sana
Leo nini hicho kikubwa kimewashinda?
wana watoto watatu wakubwa!
sasa Bill si atatakiwa wagawane mali hivyo Bill si atazidi kushuka chini kutoka namba 4 aliyopo?
Mnaoishi Marekani mbona ndoa nyingi za huko zina changamoto sana?
Alianza Jeff wa Amazon
Leo ni Bill Gates!!!
basi hata Jayz ni swala la muda tu na yeye!
Huku Africa tunasema mapenzi ya kweli hayapo kisa umasikini
Je hata hao ambao ni mabilionea sasa shida nini?
Mapenzi sio Pesa!!
Kuna kitu hapo ila sema tu hatujakigundua!
View attachment 1772585
Hapo haiitajiki akili nyingi sababu determinant ni pesa fukuza huyo ingiza mwengine!Ukichunguza vizuri utagundua pesa ndio chanzo cha yote.wakati maskini anakosa ela za kumtuliza mpenzi wake tajiri yeye anakua na ela ila hana muda.na kumbuka mara nyingi wanawake wengi wakishajiona wana pesa yakujitosheleza wanaanzaga kiburi na jeuri yakujiona hana cha kupoteza sasa dharau zao ndio zinazopelekea wanaume wanaona isiwe shida.kwahiyo pesa ina athari pande zote.sasa mara nyingi wanawake wengi wanakuaga wajanja,anahakikisha kiburi chake kinakukera kiasi ambacho utakua wakwanza kutaka mtengane ukishindwa hapo unaenda kutafuta mchepuko ambao pia mwanamke wako atatumia gia hiyo hiyo mtengane ili anufaike kwajinsi anavyotaka na jamii itamwona mwanaume kama ndio chanzo cha tatizo.kwahiyo uwe tajiri au maskini kuishi na mwanamke kunahitaji akili nyingi.
Mh! Kama mabilionea wanapata changamoto hizi sembuse sisi hapa!Bill and Melinda Gates have announced their divorce after 27 years of marriage, saying "we no longer believe we can grow together as a couple".
"After a great deal of thought and a lot of work on our relationship, we have made the decision to end our marriage," the pair tweeted.
Ongea na Cousin anipe link ya Melinda hapa logic hazitatumika zaidi ya hisia tu za kumpeti peti 🤣🤣🤣Kuna cousin ana move kwenye hizo circles anasema Bill Gates ni mtu arrogant sana miaka mingi amekuwa akishangaa Melinda anaishi naye vipi.
Yani wale watu fulani wa kutumia logic za computer kila sehemu mpaka kwenye maamuzi ya ndani, halafu ubishi kama chakula.
ila sasa kwa watu kama Bill, mzigo huwa una gawanywa kwa vishindo sana.Hapo haiitajiki akili nyingi sababu determinant ni pesa fukuza huyo ingiza mwengine!
Kuta zanyuma zinaheshima yake ,acha tuYani watu wameishi pamoja katika ndoa mpaka wanaanza kufananana, halafu talaka!
Yani kila watu maarufu walivyokuwa wanafikia talaka, nilikuwa naiona hii couple ngangali sana. Ya kupigiwa mfano.
Nayo imekumbwa na talaka.
Lazma apewe haki yakeila sasa kwa watu kama Bill, mzigo huwa una gawanywa kwa vishindo sana.
Ni kama yaliyomkuta Jeff Bezos (wa Amazon)!
mama Gates naye atakua kabilionea!
Noma sanausione wanandoa wanatoka nje wanafurahi ukajua Wana furaha
On top of that she being your friend always! Hamnaga kuchokana katika mahusiano ya namna hio! You both do crazy stuff together kila mmoja company ya mwenziwe basi raha tu!Mwanamke akiwa na hekima, mchapakazi, na cares humuwezi chokana ndani
labda mama aliona mipango ya urithi wa Gates kwa watoto haujakaa vizuri akaona isiwe tabu!Lazma apewe haki yake
Wamebaki wahuni watatu😅😅😅 hapo kipengele kinachofuata kwa mzee Buffet tu!Hapa Wamebaki Wajuba Wa3 Tu View attachment 1772994
Huyo ndio mkombozi na chimbuko ya hizi tech unazotumia..hii jeuri ya kucomment hapa imewezeshwa na yeye kwa asilimia 85Ivi anajua kuwa mnapoteza bundle for him.Maana mmemng'ang'ania huyu jamaa
"Huy jamaa"?Ivi anajua kuwa mnapoteza bundle for him.Maana mmemng'ang'ania huyu jamaa