Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
kisiwa cha mnemba kimekodishwa kwa miaka 99 kwa wataliano ( so the local ppl says)
kisiwa hiko hakiko pemba...kiko nje ya unguja ( labda bill gates kapata kisiwa chengine cha kwenda) ....ila kina uwanja wa ndege wake wenyewe, na watalii wa kawaida hawaruhusiwi kwenda ila walioteuliwa maalum kwa kupitia italia.
watu wa local walikipigia kelele sana hicho .......lakini ccm ikaamua kaa kawaida yake kupuuza maneno ya raia
kisiwa hiko hakiko pemba...kiko nje ya unguja ( labda bill gates kapata kisiwa chengine cha kwenda) ....ila kina uwanja wa ndege wake wenyewe, na watalii wa kawaida hawaruhusiwi kwenda ila walioteuliwa maalum kwa kupitia italia.
watu wa local walikipigia kelele sana hicho .......lakini ccm ikaamua kaa kawaida yake kupuuza maneno ya raia