Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Nashauri ifutwe for obvious reasons
hii si mara ya kwanza Bill kwenda Pemba na hayuko peke yake
hawa jamaa huwa wanaenda Pemba for obvious reasons ...exclsive na hakuna mambo ya ublicity sasa mindhali mshailikisha na kama mnavyojua tuna LAZY MEDIA ambao kazi yao kushinda JF kunusa nusa news then kesho watatuma watu kwenda Pemba
sasa namna ya kudeal nao ni kama jamaa walivyofanya Namibia wakati Angelina Jolie alipoenda kujifungua
Kuwa shawishi locals kuwa hostile kwa hawa paparazi na kuripoti watu wanaojifisha kwenye vichaka na cameras
Pili of course uongozi kule Pemba kuwa more strict kulinda hadhi ya Pemba kama kisiwa cha ma tourists ambao wanataka Privacy na wasiotaka kusumbuliwa
Mbona Prince Harry alipokuwenda kule hakuna aliyetia neno?
Kuna umuhimu wa MEDIA BLACKOUT na yote kulinda high value tourists kama hawa na kuwaachia VISHUKA wanaotembea na chupa za maji bila kukunua kitu kwa Wakenya ambao wanataka watalii wengi lakini ukiangalia wanachokipata kujazana kwa hao wazungu ni kidogo
Hebu iondoeni kabla akina Kubenea na wenzie hawajaanza kufanya vurugu kele Pemba
hii si mara ya kwanza Bill kwenda Pemba na hayuko peke yake
hawa jamaa huwa wanaenda Pemba for obvious reasons ...exclsive na hakuna mambo ya ublicity sasa mindhali mshailikisha na kama mnavyojua tuna LAZY MEDIA ambao kazi yao kushinda JF kunusa nusa news then kesho watatuma watu kwenda Pemba
sasa namna ya kudeal nao ni kama jamaa walivyofanya Namibia wakati Angelina Jolie alipoenda kujifungua
Kuwa shawishi locals kuwa hostile kwa hawa paparazi na kuripoti watu wanaojifisha kwenye vichaka na cameras
Pili of course uongozi kule Pemba kuwa more strict kulinda hadhi ya Pemba kama kisiwa cha ma tourists ambao wanataka Privacy na wasiotaka kusumbuliwa
Mbona Prince Harry alipokuwenda kule hakuna aliyetia neno?
Kuna umuhimu wa MEDIA BLACKOUT na yote kulinda high value tourists kama hawa na kuwaachia VISHUKA wanaotembea na chupa za maji bila kukunua kitu kwa Wakenya ambao wanataka watalii wengi lakini ukiangalia wanachokipata kujazana kwa hao wazungu ni kidogo
Hebu iondoeni kabla akina Kubenea na wenzie hawajaanza kufanya vurugu kele Pemba