Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria

Yanayoendelea ulimwenguni unaweza kuhisi kuwa kifo ni swala la mzaha sana kwa binadamu wa leo. Damn! People are dying hopelessly and it's real, big time. Hakuna swala la kulilia Mungu, miungu or whatsoever, the power is in our own hands, feets and brain skills. SHAME UPON US!!
 
When you visit the cemeteries nowadays and read the dates and age of the burial marks many are below 30.

Life expectancy for Africans is dwindling rapidly.

We die young! Why ?

When I pick my mum to come to the city she always get sick ,but when she return to village gets well!

Our forefathers and grandmothers used to live longer,bu for us newly African generations that is merely a dream!

To reach 100yrs like our grandfathers is a dream,some die nowadays while sleeping!
 
Na ndio maana serikali yetu ilipiga marufuku GMO, maana haziwezi kuzaa kizazi cha lili, yaani kila ukitaka kulima basi lazima uagize mbegu monsanto, tungekuwa watumwa wa chakula baada ya mbegu zetu za asili kuondoka, mfano South Africa wanaisoma namba kwa GMO seeds, ni watumwa..

MKUU KIKWETE aliruhusu na kunasehemu zipo hizo GMO, umesahahu tuliopitisha seheria Bungeni kuruhusu hili?
 
Back
Top Bottom