Bill Gates azidi kushushwa kwenye world's rich-list ranking...sasa ashika namba 3!

Kwani hiyo misaada anayotoa Bill gate si ni sehemu ya matumizi ya fedha zake kama ambavyo wengine wanatumia fedha zao kwa mambo mengine Au sivyo?
 
Katika wote nimependa lifestyle ya Mukesh Ambani, amejenga ghorofa kwa ajili yake na familia ndugu jamaa ambapo anaishi nao wote, wakipata mahitaji yao ya kila siku pamoja na yote amenikosha kwenye jenge lenyewe ambalo ni la ghorofa, ghorofa ya kwanza na ya pili ni parking ya magari ya familia nzima yapatayo zaidi ya 100
 
Si sahihi Mkuu.
Tajiri wa kwanza Jeff Bezos ana dola bilioni 125.
Tajiri wa pili Arnault ana dola bilioni 108.
Wakati tajiri wa tatu ni Bill Gates ambaye ana dola bilioni 107, hapo bila kuhesabu zaidi ya dola bilioni 35 alizotoa msaada kwenye Bill & Melinda Gates Foundation.
Hivyo kama ukiweka dola bilioni 35 katika bilioni 107, Bill Gates kiuhalisia bado anakuwa tajiri namba moja kwa sababu atakuwa na dola bilioni 142 ambazo tajiri wa kwanza duniani hajazifikia.
utajiri unapimwa kwa gross turnover ikiwemo charity causes (ambazo kibiashara zinahesabika kama gharama).

so, hiyo 107B humo ndani kuna vyote ulivyovitaja.
 
Bill Gates angetaka kusitisha msaada anaotoa kwa nchi masikini sidhani kama kuna anaeweza kumfikia kwa utajiri. Mpaka sasa ameshatoa "three quoter" ya utajiri wake kusaidia masikini duniani. Fuatilia mfuko wa global fund utajua nini Bill gates anafanya duniani kwa watu masikini ukiwemo wewe hapo.
na bado anatoa sana, kama Mengi alivyokuwa anatoa umlinganishe na bakhresa na Mo dewji pamoja na manji ambao huwa hawatoi kitu kabisa zaidi ya kuwapa ombaomba biriani ambayo hata wema sepetu anaweza kuwapa.
 
Si sawa.

Umesoma walichoandika Bloomberg?

Were it not for Gates’s philanthropic giving, he’d still be the world’s richest person. Gates has donated more than $35 billion to the Bill & Melinda Gates Foundation. Bezos’s net worth is up slightly this year to $125 billion, even after reaching a divorce settlement with MacKenzie Bezos that made her the world’s fourth-richest woman.


utajiri unapimwa kwa gross turnover ikiwemo charity causes (ambazo kibiashara zinahesabika kama gharama).

so, hiyo 107B humo ndani kuna vyote ulivyovitaja.
 
Si sawa.

Umesoma walichoandika Bloomberg?

Were it not for Gates’s philanthropic giving, he’d still be the world’s richest person. Gates has donated more than $35 billion to the Bill & Melinda Gates Foundation. Bezos’s net worth is up slightly this year to $125 billion, even after reaching a divorce settlement with MacKenzie Bezos that made her the world’s fourth-richest woman.

OK. an oversight on my part.
I agree with you, chief. thanks!
 
na bado anatoa sana, kama Mengi alivyokuwa anatoa umlinganishe na bakhresa na Mo dewji pamoja na manji ambao huwa hawatoi kitu kabisa zaidi ya kuwapa ombaomba biriani ambayo hata wema sepetu anaweza kuwapa.
Sio kila mtu anatoa ili watu waone kwamba anatoa.
 
Sio kila mtu anatoa ili watu waone kwamba anatoa.
pumbavu kweli wewe, watu wanatoa waonekane na wengine waige mfano,
acha roho ya umaskini, ukiacha mengi , hao wengine hata msibani hawaendi seuze kutoa.
basi magufuli anayofanya asiweke kamera wala live , maana hatutaki kujua,
sijui utaelimika lini wewe.

Kutoa ni hamasa, voda, tigo na makampuni menhgine wanatoa na vyomba vya habari, diamond te same, wahisani na nchi nyingine wakitoa wanatangaza ili wengine waige, wewe kumbatia umaskini hukomkwenu kongwa, mnaishi nyumba za tembe,
 
Ebola Vipi?
unafahamu chimbuko la ubora ni nn. Ukifuatilia nchi znazopata ebola in ambazo raia wake wanakula chipanzee na kuusambaza ugonjwa uwo kwa nchi yengine.
Ila it doesn't make sense mzungu akutengenezee ugonjwa then et aghalamike kukupa aid / masahada wa matibabu kwel!! Think
Ni time africa tuache ushamba wakudhani upumbavu na umasikini wetu ni tumetengenezewa na wazungu. Yani psychological tunawaacha wazungu wakontuloo maisha yetu na sisi tunaendelea kupreach ushuz kwa our next generation kuwa wazungu wametufanyia hiki na kile ambayo c kweli
 
Si sahihi Mkuu.
Tajiri wa kwanza Jeff Bezos ana dola bilioni 125.
Tajiri wa pili Arnault ana dola bilioni 108.
Wakati tajiri wa tatu ni Bill Gates ambaye ana dola bilioni 107, hapo bila kuhesabu zaidi ya dola bilioni 35 alizotoa msaada kwenye Bill & Melinda Gates Foundation.
Hivyo kama ukiweka dola bilioni 35 katika bilioni 107, Bill Gates kiuhalisia bado anakuwa tajiri namba moja kwa sababu atakuwa na dola bilioni 142 ambazo tajiri wa kwanza duniani hajazifikia.
Ona unathubutu kubishana na source ya kuaminiwa
 
Ebola Vipi?
Ebola ni Viral Infection. Kirusi cha Ebola ni jamii ya Filoviruses (Filoviridae) na kimekuwepo kabla hata ya maendeleo ya Teknolojia ya uhandisi wa vinasaba na mpaka miaka ya sabini ndipo kikaonekana baada ya mlipuko wa ugonjwa wenyewe huko Zaire.

Kilichopo tofauti na hicho ni Conspiracy Theories mbalimbali zinazotumika kama Propaganda Machines na watu ama taasisi mbalimbali kwa ajili ya malengo na maslahi fulani waliyojiwekea.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom