Bill and Melinda Gates wakijua kiini cha tatizo la Arusha wanaweza kufuta misaada yote Tanzania

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,438
14,916
Msaada wa Mmarekani huwa una kiambatanishi cha takwa la demokrasia, haki za binadamu na kuheshimu wapinzani.

Sasa kama tatizo la Arusha linahusiana na ubaguzi dhidi ya wapinzani, hawa jamaa ambao wanasaidia mambo mbalimbali nchini kwa mamilioni ya dola, wanaweza kusitisha kila kitu.

Kwa dunia hii ya mitandao ambayo email ya Bill gates iko nje nje, lazima kazinyaka taarifa hizi. Sasa tujiandae kwa maumivu.
 
N.B: hawa ndio wafadhili.wa mradi huo,wanaheshimika sana duniani,wanaingia ikulu ya marekani,uingereza,canada kama wanavyoingia ofisini kwao.

mikakati na mipango yao lazima.inafuatiliwa kwa karibu na mashirika ya kijasusi ya marekani,kwa Tanzania,lazima ubalozi wa marekani utakuwa unalifuatilia kwa karibu sana
 
Msaada wa Mmarekani huwa una kiambatanishi cha takwa la demokrasia, haki za binadamu na kuheshimu wapinzani.

Sasa kama tatizo la Arusha linahusiana na ubaguzi dhidi ya wapinzani, hawa jamaa ambao wanasaidia mambo mbalimbali nchini kwa mamilioni ya dola, wanaweza kusitisha kila kitu.

Kwa dunia hii ya mitandao ambayo email ya Bill gates iko nje nje, lazima kazinyaka taarifa hizi. Sasa tujiandae kwa maumivu.

Tatizo la Arusha ni ujana wa Mrisho na Lema.
 
Nadhani founder wa taifa hili kuna kitu hawakukiweka sawa.... inaumiza sana kuwa mpinzani hapa tz.... Lema inaonekana was so much pressed mpaka akaamua kujilipua.... but why all these..... watu wanajifanya wanasali na nguzo kuu ya dini zetu zote ni kumpenda na kumheshim mwenzio.... tunashindwa nini kwenye hili??
 
Tatizo kubwa lilipo nchini kwetu ni kwamba politics imewekwa mbele ata katika mambo ya msingi na hili limeonekana wazi katika nyanja mbali nchini mpaka kupelekea tunaonekana vituko mbele ya macho yetu wenyewe.
 
1476873363416.jpg
1476873363416.jpg
 
Nimeangalia ile clip Lema anapiga makelele hataki kuambiwa kwanini imekuwa hivyo.
Ni bora tungezijua sababu.
Na ninavyojua misaada yoyote hufuata utaratibu. Lema atueleze sababu ambazo zimesababisha hicho kituko nasi tujadili.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom